Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

oyah wadau mi nipo mkoa huku wiki ya pili imenibidi nijiunge meridian online, sasa wameniambia naingiza pesa via M-Pesa. sasa sina line ya voda. je Nikiweka kw ku2mia line ya m2 mwingine cyo mbaya?! siku mzigo unatema ucje ikaingia kwenye sim yake .......

Grand PA
 

jitahidi ujisajili kupitia line yako. Itakuletea shida sana.
 
Waungwana nilikuwa na tathmini gem mbil hapa kat ya Liverpool vs Real Madrid .... Olympiakos vs Juventus... Kweli juventus anaweza akakubali apigwe gem mbil UEFa na Madrid ampige Liverpool .. Meridian wote wamepewa odds kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…