Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

MATHEMATICS:
jana nmebet game ya ESTONIA NA NORWAY ila naon loser ticket
 
Yaani you must do something au unapewa tu manake tangu nimejiunga nao sijawahi kukutana na bonus. Au kuna some requirements?
Mm nimejiunga leo ,na nimeona jinsi mtu unaweza pata hizo bonus .

Ni hivi , bonus inapataikana baada ya mtu kubet premier league kwa dau la kuanzia Tsh 5000/= , na baada droo huchezeshwa kumpata mtu mmoja ambaye atazawadiwa Bonus ya Tsh 200000/= .

Bet mara nyingi uwezavyo kujijengea mazingira ya kua mshindi.

Droo hiyo inachezeshwa bila kufuaata mpangilio maalumu.
 
mkuu mi natumia huawei p6 nilikumbwa na hilo tatizo hata application yake kwenye playstore ilikua haifanyi kazi

soln hapo niliupgrade android os v 4.2.2 kwenda kitkat v4.4.2...inapiga kazi fresh kabisa...jaribu kuangalia www.huaweinews.com kama kuna os mpya ya y300..

Kaka hakuna Upgrade yeyote , na mpaka sasa nalazimika kutumia laptop , nikiwa siko maeneo ya Computer kwakweli nakosa fursa hiyo .

Ni nn naweza kufanya tena ,niweze kuaacess kwa simu yangu
 
Kaka hakuna Upgrade yeyote , na mpaka sasa nalazimika kutumia laptop , nikiwa siko maeneo ya Computer kwakweli nakosa fursa hiyo .

Ni nn naweza kufanya tena ,niweze kuaacess kwa simu yangu

Unatumia kasimu gani ww
 
SAM PIZZO:

ESTONIA nlimpa zer bet 1 half sikuona payout,nikampa pia zero bet full time naona loser ticket tu,leo pia nimempa wuerzburger kickers zero bet 1 half ni loser ticket
 
Mm nimejiunga leo ,na nimeona jinsi mtu unaweza pata hizo bonus .

Ni hivi , bonus inapataikana baada ya mtu kubet premier league kwa dau la kuanzia Tsh 5000/= , na baada droo huchezeshwa kumpata mtu mmoja ambaye atazawadiwa Bonus ya Tsh 200000/= .

Bet mara nyingi uwezavyo kujijengea mazingira ya kua mshindi.

Droo hiyo inachezeshwa bila kufuaata mpangilio maalumu.

Mi sijuagi bonus inatokeaje ila nimesapataga 14000 bonus 21000 na juzi kati 6000
 
Sasa unatumia huawei Y300 nayo simu
Jamani acheni ubahili
Nunua hata ka htc m7 or samsung s3 or lg g2 na kuendelea kama unapenda kufaidi online betting
 
Unaingiaje
1.Njia ya kwanza.
>nafungua operamini
> nafungua "Google"
> nasearch Meridianbet.co.tz.
>Naclick result
> inaload but inaishia kwnye black .

2. Njia ya pili ..

> naandika direct " www.meridian.co.tz.
> inakuja the same result.

3. Njia ya tatu
> naandika " meridia.co.tz bila kuweka "bet"

4. Njia ya nne .

> narudia njia ya kwanza mpaka ya tatu kwa browser nyingine .

Na matokeo yanakua kama hivii
 
Yaani mimi nimewekeza kwenye vitu vya kuniletea mapato
Laptop HP ENVY M6 touch smart
Mobile phone SAMSUNG NOTE 3
for blog na kubet
 
Back
Top Bottom