Chelsea Ni timu yauaminika,istoshe Wako home hawataikubali fedheha kwa gharama yoyote
Abour leo tena ni siku nimejilipua tena
hahah kwanini
Chelsea,everton,freamunde,oliverense,nice,arsenal,udinese.... Kapu ndo hilo chaguo ni lako
Freamundo kabutua
Mkuu vp madrid na arsenal
aisee hii game imenishangaza sijui ilikua imeuzwa. Mwanzoni mchana freamunde alipewa 1.80 badae masaa mawili kabla ya game akapewa 2.40. Game ikaaanza kufika dk ya 20 akapewa 4.10 kufika dk ya 30 akapewa 6.30 nikaona tayari game nyeusi haiwezekani tim inayoongoza ligi ods zipande haraka haraka kiivo..
freamundo ni kama LUTON au WOLVES..au BRENTFORD.....wote wamepanda madaraja....na wapo kwenye positions nzuri... akikutana na mzoefu wa hilo daraja anapata tabu sana...ndio maana matokeo yao sio consistent...... MCHANA TULISHAURI OLIVEIRENSE(KASHINDAKWA TABU) NA FREAMUNDE WATEME....
dUH ..NIMEWACHEZA WACHINA MTU KAPEWA UNDER/OVER 236, 224, 240...nkasemaaa aaargh kitu gani achan niwajaribu under wote hawa hawa watatu..... duh quarter moja watu wana 70 mwengine 67 ..... nkaona hapana acha niwafatilie kwanza.... la mama yake... yaani kumbe ndio kimbilio la wachezaji wengi wa NBA.... CBAinalipa vizuri almost kama NBA.... young talents wakongwe wengi wanakimbilia huko aseeee..... hata NBA 70 per quarter hawafiki..... nshaliwa hii....sasa kama mtu anaenda half ana 133 (katika 134 si kabakisha 101).... anaenda half 122(katika 224 si kabakisa 102).... kimahesabu za uso tayari....
sure bet
Lille vs PSG , PSG win odd 1.71
Sopron vs Debrecen, Debrecen win odd 1.57
Alloa Ahtletic vs Rangers, Rangers win odd 1.3
Celtic vs Patrick thistle, Celtic win odd 1.17
total odd 4.08
Siamini kinachotokea kwa everton
Mi nimempa sevilla,.grabaII na Chelsea elfu hamsini inatoka 113000
Everton timueni kocha anatukosesha sana hela
hatari sana....mtaji wangu wote nlodunduliza ameondoka nao..... kifupi nimefilisiwa..... yaani acha tu..... ningecheza halftime win ikukua wote tayari .....kumamamake MARTINEZ..... kwa maumivu haya tutaonana mwakani.... BUASHARA NJEMA....NIMEKOMA