Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mi nimempa sevilla,.grabaII na Chelsea elfu hamsini inatoka 113000
 
BragaB washawachomeka kimoja olhaness bado viwili vitimie3-0
 
Freamundo kabutua

aisee hii game imenishangaza sijui ilikua imeuzwa. Mwanzoni mchana freamunde alipewa 1.80 badae masaa mawili kabla ya game akapewa 2.40. Game ikaaanza kufika dk ya 20 akapewa 4.10 kufika dk ya 30 akapewa 6.30 nikaona tayari game nyeusi haiwezekani tim inayoongoza ligi ods zipande haraka haraka kiivo..
 
Mkuu vp madrid na arsenal

usibet mapenzi au kisa timu kubwa.... angalia performance ya timu na timu.... southampton ndio timu yenye form ikifatiwana newcastle..... wanadefense ngumu.... wana rate kubwa sana ya marking...tuckling....attacking...yaani kila idara msimu huu soton ni bora kuliko hata chelsea.... ila somtym timu kama umeamka nayo ....sio mbaya..... ila kwa uzoefu wa EPL mechi ya arsenal ndio ngumu kuliko zote leo.....
 
aisee hii game imenishangaza sijui ilikua imeuzwa. Mwanzoni mchana freamunde alipewa 1.80 badae masaa mawili kabla ya game akapewa 2.40. Game ikaaanza kufika dk ya 20 akapewa 4.10 kufika dk ya 30 akapewa 6.30 nikaona tayari game nyeusi haiwezekani tim inayoongoza ligi ods zipande haraka haraka kiivo..

freamundo ni kama LUTON au WOLVES..au BRENTFORD.....wote wamepanda madaraja....na wapo kwenye positions nzuri... akikutana na mzoefu wa hilo daraja anapata tabu sana...ndio maana matokeo yao sio consistent...... MCHANA TULISHAURI OLIVEIRENSE(KASHINDAKWA TABU) NA FREAMUNDE WATEME....
 
freamundo ni kama LUTON au WOLVES..au BRENTFORD.....wote wamepanda madaraja....na wapo kwenye positions nzuri... akikutana na mzoefu wa hilo daraja anapata tabu sana...ndio maana matokeo yao sio consistent...... MCHANA TULISHAURI OLIVEIRENSE(KASHINDAKWA TABU) NA FREAMUNDE WATEME....

kwa ile tahadhari ya mchana mlionipa nilipunguza mzigo...
 
dUH ..NIMEWACHEZA WACHINA MTU KAPEWA UNDER/OVER 236, 224, 240...nkasemaaa aaargh kitu gani achan niwajaribu under wote hawa hawa watatu..... duh quarter moja watu wana 70 mwengine 67 ..... nkaona hapana acha niwafatilie kwanza.... la mama yake... yaani kumbe ndio kimbilio la wachezaji wengi wa NBA.... CBAinalipa vizuri almost kama NBA.... young talents wakongwe wengi wanakimbilia huko aseeee..... hata NBA 70 per quarter hawafiki..... nshaliwa hii....sasa kama mtu anaenda half ana 133 (katika 134 si kabakisha 101).... anaenda half 122(katika 224 si kabakisa 102).... kimahesabu za uso tayari....

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
sure bet

Lille vs PSG , PSG win odd 1.71
Sopron vs Debrecen, Debrecen win odd 1.57
Alloa Ahtletic vs Rangers, Rangers win odd 1.3
Celtic vs Patrick thistle, Celtic win odd 1.17

total odd 4.08

Sopron 1 - 1 Debrecen
 
hatari.....mkeka wa 2+ anaua arsenal... mkeka wa normal anaua everton aseeee..... shikamooo mhindi..... nibaki na kikaou na volleyball ......
 
Everton timueni kocha anatukosesha sana hela

hatari sana....mtaji wangu wote nlodunduliza ameondoka nao..... kifupi nimefilisiwa..... yaani acha tu..... ningecheza halftime win ikukua wote tayari .....kumamamake MARTINEZ..... kwa maumivu haya tutaonana mwakani.... BUASHARA NJEMA....NIMEKOMA
 
hatari sana....mtaji wangu wote nlodunduliza ameondoka nao..... kifupi nimefilisiwa..... yaani acha tu..... ningecheza halftime win ikukua wote tayari .....kumamamake MARTINEZ..... kwa maumivu haya tutaonana mwakani.... BUASHARA NJEMA....NIMEKOMA

betting ni kama unga huwezi acha kuvuta
 
Back
Top Bottom