Mbuzi Mzee
JF-Expert Member
- Feb 5, 2015
- 348
- 82
mambo ya huyu ashonde sjui draw sjui kufungwa.....leo nimeweka 3+ mechi mbili tu ya buyern na chelsea......odd zinatosha kbsa hizi staki odd nyingi
First half droo.Psgvs chelse na shaktr vs byn odd 4.5 x 150,000 Kesho anamka na 700000 zako kasoro
biashara ngumu sana.....
biashara ngumu sana.....
Mkuu umesahau wakati mwingne hizi tim kubwa zinavurunda na kupigwa au kudroo na vitim vidogo, vipi kama ndo umetupia kalaki au kamilioni kako ka mkopo hapo, weeee masikini mie nitajibebea mbeleko ipi pindi ikitokea ya Bristol City kumpiga Chelsea, balaaa!!
Mkuu nipatie mkeka wako wa leo tafadhari.Nashukuru Jana nilimwotea hii ni kamali tu na bahati