Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mpka sasa mkeka wng unapumua niliweka normal madrid,paok,Roma,celtic na droo kwa vilareal nimepiga nzur tu
cc:deo thnx
 
mpka sasa mkeka wng unapumua niliweka normal madrid,paok,roma,celtic na droo kwa vilareal nimepiga nzur tu

hongera ,mimi tumikeka tuwili twa handcap ya madrid na roma tumerest in peace. Kametema ka normal tu!
 
Kesho ligi nita tupia mkeka mmoja najua lazima nipige hela
 
mi nataka nitumie mpesa,inanshnda kupata timu zote kwani muda unaisha sijamaliza. Hebu nitengenezee wa metz,monaco,leicester city na aberdeem(scotland),normal na handcap

jamaa sheria zao wanataka simu inayotengeneza mkeka ndo ibeti hiyo hyo. Ila mzigo normal unafika buku 19 kwa dau la buku
 
Back
Top Bottom