Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mkeka mrefu,ac milan wamepgwa 4,wakati walikuwa wanaongoza 2. Kamepona kamkeka kadogo.
 
hivi 1+1 na under 2.5 tofauti yake nini? Vipi na ile 3+? Nimeanza jana,kuna kamkeka ka buku3 kametiki ila ule mrefu ac milan wameharibu pia madrid kashnda goli moja tu.

1+1 maanake kila kipindi kiwe na goli,under ya 2.5 maanake mpaka dakika 90 magoli yasizidi 2 na 3+ magoli yawe 3 na kuendelea.
 
1+1 maanake kila kipindi kiwe na goli,under ya 2.5 maanake mpaka dakika 90 magoli yasizidi 2 na 3+ magoli yawe 3 na kuendelea.

thanks mkuu. Halafu nalog in naambiwa player not found wakati jana nimetumia same email
 
Kie kie kie tumieni online kuna kitu kinaitwa "cash out betting" hio ukiweka mkeka mrefuu na ukiwa karibia shinda betting shop.wanakupa offer ya mzaga
 
Nina kahela kangu nilikakopa Saccos, ngoja nijaribu kukazalishia kwenye mikeka kabla hakajaingia rasmi kwenye biashara.

Wadau nianze na timu zipi za uhakika?
 
mkuu kama sio mtaalamu wa kubeti sikushauri kabisa hela ya mkopo toka saccos uitumie kubeti,utakuja kuumia vibaya jitahidi uanze biashara ndugu yangu
 
kie kie kie tumieni online kuna kitu kinaitwa "cash out betting" hio ukiweka mkeka mrefuu na ukiwa karibia shinda betting shop.wanakupa offer ya mzaga

website gani? Na unachukulia wapi? Leta maujuzi mpwa
 
Kie kie kie tumieni online kuna kitu kinaitwa "cash out betting" hio ukiweka mkeka mrefuu na ukiwa karibia shinda betting shop.wanakupa offer ya mzaga

oya tuambie basi inakuaje kuaje hiyo betting.
 
hivi 1+1 na under 2.5 tofauti yake nini? Vipi na ile 3+? Nimeanza jana,kuna kamkeka ka buku3 kametiki ila ule mrefu ac milan wameharibu pia madrid kashnda goli moja tu.

1+1 ni goals both half
under 2.5 ni goal 3 au chini
3+ ni sawa na 2.5 over yana goli 3 na kuendelea
 
Back
Top Bottom