Jamani hela ya mkopo,ada au hela yoyote ambayo huna haki miliki nayo weka mbali na betting... Utalia na kusaga meno
hapa kko watu wanauza nyumba za urithi wanaweka mzigo..
hii kitu mnaitaga sijui kubeti sijui kunini,sipendi hii.
Kamari mkuu. Hapo juu wote ni 'Mateja'.
Kamari mkuu. Hapo juu wote ni 'Mateja'.
mkuu tuwe na misingi ya kuheshimiana, kama unataka umaarufu sio lazma uje na kashfa zipo njia nyingi unaweza tembea ukiwa mtupu mtaani kwenu na ukapata huo umaarufu na sio lazma kutumia jamii forum
Soccer vista ina statistics nzuri sana,natumia almost 5 yrs, au [url]www.soccerway.com [/URL]
How can i bet with/via vodacom mpesa???
*149*19# fuata maelekezo. karibu mikekani investment!
nimeipenda hiyo mikekani investment.. Vipi leo 2nainvest wapi?
leo man city,madrid,napoli,ac milan(alichana mkeka majuzi) sijajua game nyingine leo. Ulijoin meridian betting?
bado sijajoin vipi proces zake unakua unabet online au hadi uwafate pale kwenye kilinge chao cha kariakoo.
Hebu nijuze proces zake
unaingia kwenye website yao,unajoin now,then utapewa acount no.(ina 8 digits),then kuna namba ya mfanyakaz ntakupa ili umtumie hela hata buku5 akuwekee then utalog in na kuanza kubet.
Game za weekend hii ziko poa kweli