Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

cheshe2.pngcheshe.pngsidaa.pngm.png

Kila mbinu jamaa aninichukua.....
 
jana nilitaka kujilipua na laki2 kwa timu 2, 1860 Munchen ll na Lyon , odds jumla zilikuwa 4.2, gemu ya 1860 Munchen ll ilikuwa inaanza saa 10 jioni na Lyon saa moja usiku.

Nikafika betshop mwenge ilikuwa 10 kasoro, gemu ya 1860 Munchen ll ndio ilikua inakaribia kuanza, kukawa umeme umekatika na network zao zinazingua, nikasema mbona leo nitakosa pesa, wakarebisha mambo saa 10 na dk 20 gemu ya 1860 Munchen ll ilikuwa ishaanza. Nikawa naitafuta kwenye live in play ya meridian niicheze live sababu niliangalia matokeao bado walikuwa hawajafungana kwahiyo odds hazijabadilika na nimuweke pamoja na Lyon, nillitafuta wee sikuiona kabisaa.

Nikajiondokea nikasema basi nimekosa ela leo, nikaenda kutafuta timu nyingine kuiweka na Lyon nikaifikiria Juventus, kwahiyo nikarudi beshop nikiwa na timu 2 Lyon na Juventus, lakini nikakumbuka nilivyokuta umeme umekatika pale betshop nikasema labda was warning sign nisije lazimisha nikapigwa za uso. Baadaye naangalia matokeo Lyon kadrwa 0-0 japo 1860 Munchen ll alishinda1-2! Nikasema mama yangu saivi laki2 ingekuwa imeshakwenda na maji, sasa sijui kuna ukweli kweny hizi warning sign, ebu ngoja nimuulize Pasco .

mkuu ni kweli mimi mwenyewe jana nilitaka kumbetia liver na spurs . wakati naelekea kwenye ofis za premium nikasahau ela mezani niliporudi nikachukua ela nikaondoka nilipofika njiani nikagundua mlango sijafunga ikabidi nirudi tena home kufunga mlango. muda huo wote nawaza huyu shetani wa kusahau anataka kuninyima ela nini. wakati huo nawaza nitupie laki 3 nipate M.1 na zaidi .nilipofika kwenye ofis husika mhusika hayupo ameenda kula basi nikajisemea kimoyomoyo huyu shetani kafanikiwa kuninyima ela .baadae nikaamua kuelekea kucheki game roho iliniuma sana liver walipopata goli kwa sababu ya kukosa ile milioni lakini baada ya dk 90 nilicheka sana. Kwa hiyo nimejifunza wakati mwingine inabidi kukubaliana na mazingira tu
 
Last edited by a moderator:
halafu wakuu mbet leo ukiingia inakuletea maelezo tofauti kwamba M-BET Beta
*18** . sasa nashindwa niingize data zipi nipate menu ya mechi. naombeni msaada wakuu
 
halafu wakuu mbet leo ukiingia inakuletea maelezo tofauti kwamba M-BET Beta
*18** . sasa nashindwa niingize data zipi nipate menu ya mechi. naombeni msaada wakuu

mbona mi ipo kawaida tu... Halafu wameanzisha online na wenyewe
 
Back
Top Bottom