what telegram group? sinaga hata h8yo telegram mkuu, yes zingine naedit mwenyewe zingine natoa kwa watu naojua wako vizuri kuedit,
na kushare humu ni vile tu natamani kuhelp pia wenzangu sababu pia nlisaidiwaga sana zamani nlipoanza betting, nilipigwa mpaka, but watu ambao hata siwafahamu they helped me, nkawin sana tena sana tena sana, gari yangu ya kwanza nilinunua cas of betting tena bet nloibaga kwa nigerian guy na ikawin, so relax , ukitaka cheza usipotaka tulia, si lazima ujue natoa wapi, au nalipwa?[emoji50]