Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Huu mkeka leo umetoboa imebak timu moj tu ya kesho. Kam mliufuata
Screenshot_20240423-001226.jpg
 
Huchoki😂😂😂
Punguza makasiriko!
Nikipost code unaumia!?... Ama unauza odds!?

Nnae code ni mimi...anaumia mwingine!
Dah ..hii nchi ngumu aisee...

Ama hako kahela nakobetia kanakuuma?!

Elewa ukiliwa wewe ...sio wote wanaliwa!... Pambana na hali yako mkuu!..... Kumbe mipasho bado haijaisha humu!....

Haya sitapost tena mkuu ili usiendelee kuumia chief!
 
Punguza makasiriko!
Nikipost code unaumia!?... Ama unauza odds!?

Nnae code ni mimi...anaumia mwingine!
Dah ..hii nchi ngumu aisee...

Ama hako kahela nakobetia kanakuuma?!

Elewa ukiliwa wewe ...sio wote wanaliwa!... Pambana na hali yako mkuu!..... Kumbe mipasho bado haijaisha humu!....

Haya sitapost tena mkuu ili usiendelee kuumia chief!
Choka bwana. Au kausha ufe mwenyewe huko, mipasho hatuachi, hela yako ila lazma tukuonee huruma.
 
Jana mikeka 4,unakufa mmoja mi 3 imeenda .odds za kibabe kubeti ni Bahati odds ya 1047 imetoa odds ya 87 time moja inaua
 
Back
Top Bottom