Mtu mbalimbali
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 551
- 895
sawa nishaseti mitambo,nasubiri code hiyoNdani ya dakika 5, zaidi ya hapo kutakuwa kuna shida ya mtandao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa nishaseti mitambo,nasubiri code hiyoNdani ya dakika 5, zaidi ya hapo kutakuwa kuna shida ya mtandao
View attachment 3078552
🔥ACCUMULATOR OF THE DAY ON PARIPESA.
Booking Code: 76VR8
Jisajili PARIPESA na Ubeti Hapa 👇👇
PariPesa
PariPesa
PROMO CODE WEKA 👉👉 TIPS2424 ILI UPATE BONUS YA MPAKA TZS 250000 AMBAYO UTAITUMIA KWA KUBETIA.
Hivi kampuni Gani Haina cash out kati ya hizo zenye mfumo wa 1xbetView attachment 3079389
GUYS GOD DID 5.3 MILLION BAGGED💰💰
11+ ODDS ON PARIPESA BOOOM ✅🔥✅🔥🔥
Jisajili PARIPESA Leo Na Deposit 20000 - 100000. Jisajili Kwenye Link Hii Hapa Chini 👇👇.
PariPesa
PariPesa
PROMO CODE WEKA 👉👉 TIPS2424
Sijafuatilia mkuuHivi kampuni Gani Haina cash out kati ya hizo zenye mfumo wa 1xbet
View attachment 3079259
MIDNIGHT GAMES ON PARIPESA. WAKE UP TO BOOM ON PARIPESA.
CODE YA MKEKA: B2GJY
Jisajili PARIPESA na Weka Bet Yako Hapa 👇👇
PariPesa
PariPesa
PROMO CODE WEKA 👉👉 TIPS2424
timu za italy ni inter akiwa home tu, ndio tuwe tunampa!Na Roma ya itali je',,,,, nipe maujanja fundi wa mikeka
Jamaa anasema hatujui kubeti,,,, binafsi nilimpa DC pia maana ulikuwa ni mkeka wa siku mbili na niliweka 200k kwa odds 9 jumla zilikuwa,, na alibaki yeye, braga na atletico na zote niliwapa win drawtimu za italy ni inter akiwa home tu, ndio tuwe tunampa!
roma dc alibaki yeye, nikalala nikijua nitaamka na ya supu, saizi naangalia kapigwa!
italy inaonekana wamerudi michezo yao ya kubet
Tayari pesa imetoka.Nadhani wana shida kwenye mtandao
Kuna Roma na Napol. Hua nawapita kama siwaoni.timu za italy ni inter akiwa home tu, ndio tuwe tunampa!
roma dc alibaki yeye, nikalala nikijua nitaamka na ya supu, saizi naangalia kapigwa!
italy inaonekana wamerudi michezo yao ya kubet
Sasa hivi mtandao umerudi?Tayari pesa imetoka.
Nimetoa alfajiriSasa hivi mtandao umerudi?
Huyu pweza anakeraJamaa anasema hatujui kubeti,,,, binafsi nilimpa DC pia maana ulikuwa ni mkeka wa siku mbili na niliweka 200k kwa odds 9 jumla zilikuwa,, na alibaki yeye, braga na atletico na zote niliwapa win draw
Anyway ndo betting maana kuna mtu akiotea anaona wengine hawana akili na hawajui kufikili
Binafsi timu za Italy hata awe inter sitothubutu kuzigusa kwa option yeyote,,, nitavumilia ligi tatu tu Spanish, england na German na France ni win draw basi
Safi sana mkuu.Nimetoa alfajiri
Wakiongozwa na kampuni ya Sport Pesa yaani wale hata ukila hela ndogo wanakupunguzia odd wakulipe kidogo. Kuna siku niliweka stake ya sh 100 tuu ikawa inaleta 7000 mkeka ukatiki wakanilipa 3000 na odds zikabadilika uzuri zamani ilikuwa ukibet wanakutumia copy ya mkeka kwenye meseji ila nikawapotezea ingekuwa hela kubwa ningedeal nao. Siku hizi wameacha kutuma copy ya team ulizobet kwenye meseji wanapunguza odds vibaya...hao ndio vinara wa wiziWakamalia leo niliona jamaa Kenya, anasema wanabeti Aviator lakini wakila hela nyingi akaunti zinafutwa.
Kuna mmoja anasema alikula wakamwambia athibitishe yeye sio roboti.
Hapa kwetu nakumbuka wakati nipo chuo kuna hii kampuni inawadhamini simba(hiyo hiyo inayokaa tumboni) jamaa flani walishinda hawakupewa pesa yote, ilikuwa hivi waliweka mkeka online then waka screenshot halafu mechi zilipoisha wakakuta wameliwa. Kuangakia vizuri kuna mechi wao hawakuziweka zimebadilishwa wakawekewa zilizo zingua. Wakafatilia wakapewa hela kidogo tena kwa mbinde sana.
Why nakupa hii, kuna IT yupo kampuni moja maarufu hapa Tanzania anasema huwa ndio michezo kubadilisha timu hasa kama umeweka mkeka wa timu 30 au hata 50 wengine, hapo wanakuwa na imani huzikumbuki zote, lakini hata ukikumbuka wana nguvu ya mfumo unachoonesha huwezi washitaki.
So kama wewe umewekeza ku bet online hakikisha unatoa copy ya mkeka wako iwe screenshot au record ila hakikisha uko makini jamaa hawataki kuliwa sasa hivi.
Acha uongo Leta huo mkeka wako uliobet 200k ukampa RomaJamaa anasema hatujui kubeti,,,, binafsi nilimpa DC pia maana ulikuwa ni mkeka wa siku mbili na niliweka 200k kwa odds 9 jumla zilikuwa,, na alibaki yeye, braga na atletico na zote niliwapa win draw
Anyway ndo betting maana kuna mtu akiotea anaona wengine hawana akili na hawajui kufikili
Binafsi timu za Italy hata awe inter sitothubutu kuzigusa kwa option yeyote,,, nitavumilia ligi tatu tu Spanish, england na German na France ni win draw basi