Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kampuni mpya zimejipanga zina option nyingi lakini akina sportpesa wamekomaa na option 17 tu.

Fikiria eti ukitaka simba na yanga wote kwenye game zao washinde first half hakuna hiyo option.

Kinachombeba sportpesa ni kwa vile alikuja mapema hapa bongo halafu payment method zake hazisumbui.
Shukuru Mungu hiyo option ya 1hlf umeikosa
 
Esperance[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
Huyu mpuuzi bwana kuna mkeka nimecash out faster kumhofia yy dah kuja kucheki vzr kumbe sikumweka bwana niliyemweka ni Etohel sahel. Nimejipunja mkwanja hlf alibaki yanga tu
 
nimexash out 6k mkeka ambao ulitakiwa kutoa 109k kisa ajax goli 2 anakuja kuzitoa mwishoni kabisa
 
Mrusi ndio kampuni gani??
1. Ixbet
2. Melbet
3. Betwinner
4. Megapari
5. 888starz
6. Betandyou
7. Helabet
8. Paripesa
9. Mrbet na yenyewe nadhani ni ya ukanda huo huo maana walinitumiaga meseji kuwa 22bet sasa ni mrbet.
 
1. Ixbet
2. Melbet
3. Betwinner
4. Megapari
5. 888starz
6. Betandyou
7. Helabet
8. Paripesa
9. Mrbet na yenyewe nadhani ni ya ukanda huo huo maana walinitumiaga meseji kuwa 22bet sasa ni mrbet.
Lakini zote hizi hazina live games nyingi kama sportybet. Mfano hiyo 888starz wamepigwa Pini kutumia makampuni ya siku...so hawezikani ku deposit hela
 
Bora kubet booking, niliweka bookings over 2.5 first nikafuta nikampa mazima (kilichotokea ndo hiki tena)
Mimi nilifurahi dakika ya 15 alikuwa na odds 2 nikaishi naye bila kujiuliza mara 2. Matokeo yake zimetika kadi 5 1H hiyo.
Screenshot_20240929-213057_888starz~2.jpg
 
Bora kubet booking, niliweka bookings over 2.5 first nikafuta nikampa mazima (kilichotokea ndo hiki tena)
Mimi nilifurahi dakika ya 15 alikuwa na odds 2 nikaishi naye bila kujiuliza mara 2. Matokeo yake zimetika kadi 5 1H hiyo.View attachment 3110531
Lakini zote hizi hazina live games nyingi kama sportybet. Mfano hiyo 888starz wamepigwa Pini kutumia makampuni ya siku...so hawezikani ku deposit hela
Ujue hao wengine huwa wanazilundika live games kwa pamoja kwa mfano betika lakini mrusi huwa anapangilia kila ligi na game zake.
 
Hizi timu zimeamua kuwakazia wakubwa kmc wamepaki basi wote kumi wako golini kwa yanga wanavizia counter tu
 
Nimempa Yanga but simuelewi na cash out button kanji kaiweka kwake
 
haya mambo yapo
 

Attachments

  • Screenshot_20240929_220247_Chrome.jpg
    Screenshot_20240929_220247_Chrome.jpg
    129.8 KB · Views: 3
Back
Top Bottom