Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Treni nililo post ni hili lililo baki hai hali ni tete...kama likichanika inabidi nipunguze mechi kwenye matreni yangu hadi kuwa mechi zisizo zidi 24
 

Attachments

  • Screenshot_20241003-124413_SportyBet.jpg
    Screenshot_20241003-124413_SportyBet.jpg
    90.2 KB · Views: 4
Tia laki ...home to win both waves odds 2.5 😇😇😇tulia tuli na pakiti ya ubuyu mwekundu ukisubiri kulipwa pesa yako ...ngoja mimi nikaweke kaelfu 5000 tu

Pia cheza hii ngumu kumeza tia hata 20000 kisha weka one cut ya hivi 830000 kwa 150000😇😇😇👇

SPORTYBET.....

21ADB1A
Sawa, ngoja nijaribu mpendwa
 
Hivi Paok ana kitu gani kinawafanya kwenye code kutembea sana,,,,,
Binafsi tangu tajiri yao alipotishia bastora uwanjani kuwa refa anawahujumu ni kama wadau wameisusa hii timu japo kwa sasa wanajitafuta ,,,, matokeo wanayoyapata ni kwa nguvu zao cyo kama nyakati zile
 
pm6937.jpg

MKEKA WA SIKU KWENYE PARIPESA ⚽

🟢 Betia PARIPESA. Kama Huna Akaunti Ya PARIPESA Jiunge Kwenye Link Hizo Hapo Chini

Jisajili Hapa👇

PariPesa

PariPesa

Promo Code: TIPS2424

📌 Jipatie 250000 Bure Kwenye PariPesa Kama Utajiunga Leo Na Kuweka Promo Code TIPS2424 Na Kudeposit.

Code Ya Mkeka: ZFB8C
 
Jamani mjumbe hauwawi

Leo Mwanitesa united anashinda kilaini hamtaamini
Usiziache hizo odd 3 za man u zikupite hivi hivi

Stake what you can afford to lose
Nilishampa direct mapema kabisaa
 
Back
Top Bottom