Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

hii tabia ya timu kubadili majina inatuathiri sana wakamaria kuchambua mechi. unachambua mechi unaona timu hazikuwahi kukutana. kumbe zimeshakutana mara kibao, ila timu moja imebadili jina. mwisho wake unafanya maamuzi yasiyo sahihi, wa kufungwa unampa ashinde
 
Hii ngumu kumeza vp inaweza kutoa simba to win both half ? Ngoja tusubiri
 

Attachments

  • Screenshot_20241004-154444_SportyBet.jpg
    Screenshot_20241004-154444_SportyBet.jpg
    125.6 KB · Views: 5
-f1vcoq.jpg

FREE EXPRESS ON PARIPESA

Code Ya Mkeka: VE692

📌 Jiunge PARIPESA Kwa Kubonyeza Link Hizo Hapo Chini 👇.

PariPesa

PariPesa

Promo Code: TIPS2424 to

📌 Pata Bonus Ya 250000 Kwenye PARIPESA Ukijiunga Leo Na Kuweka Promo Code TIPS2424
 
Kwa mliowahi kula hela ya bonasi sportpesa nauliza hiyo hela hapo ya bonasi anapewa kila mshindi wa bonasi kama ilivyo au mnagawana kwa idadi yenu
 

Attachments

  • Screenshot_20241004-163123.jpg
    Screenshot_20241004-163123.jpg
    51.6 KB · Views: 5
Hii ngumu kumeza inasonga simba to win both half
 

Attachments

  • Screenshot_20241004-165534_SportyBet.jpg
    Screenshot_20241004-165534_SportyBet.jpg
    121.8 KB · Views: 5
Kwa mliowahi kula hela ya bonasi sportpesa nauliza hiyo hela hapo ya bonasi anapewa kila mshindi wa bonasi kama ilivyo au mnagawana kwa idadi yenu
Hapo chini wameandika winners waliopata hizo game hapo, na blue hayo maandishi kila mtu kama ni laki Aya kama ni hamsini haya mechi zako zilipokomea, ila una uhuru kati ya 17 we ukaweka 13 au 14 ni wewe ata ukacheza tu zote 17
 
Ni shughuli sana kuangalia mpira kwenye timu unayoishabikia halafu unakua umebeti

Hapa naona kama Costal watarudisha vile ili mradi bet yangu ilost 😂
 
Ni shughuli sana kuangalia mpira kwenye timu unayoishabikia halafu unakua umebeti

Hapa naona kama Costal watarudisha vile ili mradi bet yangu ilost 😂
Aiseeeeee

Costal wamechomoa kudadeki
 
Back
Top Bottom