Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mie sikutaka kujizonga

Nikitaambaa nao na Bookings over 2.5 kama nilivyosema Mchana

Kuanza Mechi ya Arsenal na na wenzie hapo chini wote [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji122][emoji122][emoji122]

View attachment 3133026
Safi , nilutembea na bookings gemu ya aston villa nliweka 3 katoa 6 kama sio 5
 
Sio mbaya nabetia hela yake kupata hela yake.
Screenshot_20241023_003125_SportyBet.jpg
 
Sasa uliweka Tsh 50...Cashout milioni na zimebaki mechi3 unaacha!?? Aseee
Aliweka draw no bet ko haiwez kucashout, cashout inakuja lkn inagoma Kwa sababu kwny mkeka Kuna option ya draw no bet. Kwenye terms and conditions za sportbety wameeleza hlo kwamba option ya draw no bet Haina cashout
 
Jamani kuna mdada jana kanitumia link ya biko sport akidai wana bonasi nzuri ukiweka laki wanakuongezea mtaji wa laki inakua laki mbili

nikaweka hela laki moja kweli ikasoma laki mbili nikabet mikeka miwili cha ajabu link haifunguki mpaka sasa sijui hawa biko ni matapeli
 
-hjox36.jpg

CHINA BASKETBALL 🏀

Booking Code: PUDSS

Haupo PARIPESA? Jisajili Kwenye Link Hizo Hapo Chini 👇

PariPesa

PariPesa

Promo Code: TIPS2424

Tumia Promo Code TIPS2424 Wakati Unajiunga Upate Bonus Ya Mpaka TZS 300,000 .
 
Hizi treni zangu tangu huu mwez uanze hajizawah fika mwisho wa Kituo.

Naomben odda 5 tu Sportybet.
 
Kumekucha ndugu zangu
Leo siku nyingine ya kumuumiza muhindi

Mimi kwa upande wangu naconsider kuwa odds ndogo ndizo zenye kuleta mafanikio unaweza ukapanga mkeka wa odds sizizodi tano ukastek high ukapata pesa
Mimi huwa nasatake laki ods zangu ni 1.50 hadi 5

Huwa naliwa lakini siku muhindi akinila nami nakuwa nishamla vya kutosha kwa mfano jumamosi nilipata faida 34k jumapili nikapata 96k jumatatu 200k na jana 400k ikitokea leo kanila najua siku 3 mbele nmla yeye

Tutafute mitaji ukiwa na unavet 2000 inakulazimu uweke odds nyingi upate zaidi ndio chance za kuliwa zinaongezeka
 
Jamani kuna mdada jana kanitumia link ya biko sport akidai wana bonasi nzuri ukiweka laki wanakuongezea mtaji wa laki inakua laki mbili

nikaweka hela laki moja kweli ikasoma laki mbili nikabet mikeka miwili cha ajabu link haifunguki mpaka sasa sijui hawa biko ni matapeli
Jaribu juifungua kwa vpn
 
Back
Top Bottom