LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,483
- 3,369
Helabet na 1xbet kwasasa wamesajilowa bongo na wanalipa kodi na wana ofisi kwasasa.
Tumia hizo kampuni kila kitu zinafanana na Paripesa.
Aisee tangu jana nimeweka pesa kwenye account ya 1XBET mpk sasa hiyo balance haijasoma ila nilijaribu nyingine ikasoma.
Lakini Tsh 7,500/= kwenye line imetoka na selcom nina msg yao ila ac ya bet empty haijafika