Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Sasa mateso yote hayo yanini mkuu, Yani uweke Hela uanze kutuma sijui ma email manini , mbona uku sijawah sikia lawama kutoka kampuni zengine, sportbety mbona Haina hzo mambo Yani una deposit na ku withdrawal utakavo ww , hyo kampuni ya mchongo tu , kampuni za mrusi za mchongo , nshawah weka Hela afu kwny kiwithdrawal hakuna mitandao ya bongo ya simu , hzo lawama za Kila siku uku basi jua Wana kasoro sana kwny maswala ya Hela naeza SEMA ni matapeli, Kila ukipita Uzi wanalalamika paripesa tu na si kampuni zengine
kwangu mm kwa haya makampuni ya mrusi hapa bongo aliye na nafuu na ina utulivu kwenye ishu ya pesa ni Betwinner tu angalau anaaminika kuliko hao wengine
 
Ndio ila katuweka kwenye wakati mgumu sana alipoanza kipindi cha pili wakati alikua anaongoza
Mpira haupo hivyo kama unavyofikiri na kaa ukijua timu inaweza ikashinda dakika yoyote na inaweza kugunguwa dakika yoyote ile chamuhimu husiamini matokep mpaka muamuzi amalize mechi.
 
Cashout inapanda na kushuka na muda mwinge inaondoka kabisa
 
Back
Top Bottom