Hii ni code yako nimecopy na kupaste kwenye Paripesa na mbona inakata kodi?Mkuu Paripesa Hawana Kodi. Jaribu kutumia uone.
Mkuu hata mimi natumia 1xbet na Megapari ambazo hazijasajiliwa Tz lakini najua na ninabet at my own risk.. hata nikidhulumiwa sina pa kwenda kushitaki
Lakini wewe hii gia ya kuwadanganya watu kuwa Paripesa imesajili Tz ni UONGO na huna hata moja unalolijua zaidi ya kulipwa kamisheni yako mtu akijiunga kwa promo code yako na kudeposit