Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

buqhvy.jpg

10 ODDS 🏆

Code: 3KGPN

Jisajili PariPesa Hapa Na Kuweka Promo Code TIPS2424 Upate Bonus. 👇

https://cutt.ly/hwKXFbXz

https://cutt.ly/hwKXFbXz

Promo Code: TIPS2424
Jiunge
Telegram 👉 Kayombo Tips ⚽🥎🏈🎾🎱🏀
 
Back to the business

DIGESTION YA LEO
Mambo ya kuzingatia kwa wazee wa DIRECT WIN

Aston Villa Vs Celtic
Wote wamefuzu kwenye knock out stage ya 9 hadi 24...... LAKINI Villa akishinda ana nafasi nzuri zaidi ya kwenda 8 Bora wa juu yao wakivurunda

Barca Vs Atalanta
Barca kafuzu 8 bora, Atalanta ili awe na UHAKIKA wa 8 bora ni LAZIMA amfunge Barca

Leverkusen Vs Sparta
Leverkusen ili afuzu 8 bora ni LAZIMA apate matoke vinginevyo anaweza kuangukia kwenye knock out stage, Sparta has nothing to lose or gain

Bayern M Vs Slovan
Bayern kafuzu knock out stage ya 9-24, akishinda asubirie miujiza kuingia 8 bora,
Slovan has nothing to lose or gain

Dortmund Vs Shaktar
Dortmund kafuzu knock-out stage ya 9-24 akishinda labda miujiza ndio itampeleka 8 bora
Shaktar ana wastani mbaya wa magoli hata akishida

Zagreb Vs Milan
Ili Milan awe na UHAKIKA wa 8 bora ni LAZIMA ashinde vinginevyo ategemee miujiza
Zagreb akishinda aombee miujiza itokee ili kufuzu knock out stage ya 9-24

Salzburg Vs Atletico
Ili Atletco awe na UHAKIKA wa 8 bora ni LAZIMA ashinde
Salzburg has nothing to lose or gain

Girona Vs Arsenal
Asenal ni kama vile kashavuzu 8 bora kwa wastan mzuri wa magoli
Girona hana cha kupata wala kupoteza

Inter Vs Monaco
Inter naye ni kama shafuzu 8 bora akiwa na wastani mzuri wa magoli.
Monaco akishinda atakua kajitenenezea mazingira mazuri ya 8 bora iwapo wa juu yake wakichemka

Juve Vs Benfica
Juve kafuzu knock out stage 9-24 ila akishinda miujiza inaweza kumpeleka 8 bora wajuu yake wakichemka
Benfica ili awe na HUHAKIKA wa knock out stage inabidi apate matoke

Lile Vs Feyenoord
Hawa wote wamevuzu knock out stage LAKINI atakaye shinda anaweza kubahatisha kwenda 8 bora iwapo wa juu yao watachemka

Man City Vs Brugge
Man U ni LAZIMA ashinde ili kwenda knock out stage
Brugge anahitaji DRAW tu ili afuzu knock out stage

PSV Vs Liverpool
Liverpool kashafuzu 8 bora
PSV ni kama amekwisha fuzu knock out stage kwa idadi nzuri ya wastani wa magoli

Stade Vs Madrid
Wote wamefuzu knock out stage, ni miujiza pekee itakayo mpeleka Madrid 8 bora akishinda

Stuttgat Vs PSG
Wote ni kama wamefuzu knock out stage kwa wastani mzuri wa magoli dhidi ya Shaktar anayewafukuzia na wastani mbovu wa magoli

Young boy Vs Crivena
Hawa wote wamejichokea wanakamilisha ratiba tu

Sturm Vs Leipzing
Hawa nao hoi wanakamilisha ratiba tu

Kazi kwako
 
Back to the business

DIGESTION YA LEO
Mambo ya kuzingatia kwa wazee wa DIRECT WIN

Aston Villa Vs Celtic
Wote wamefuzu kwenye knock out stage ya 9 hadi 24...... LAKINI Villa akishinda ana nafasi nzuri zaidi ya kwenda 8 Bora wa juu yao wakivurunda

Barca Vs Atalanta
Barca kafuzu 8 bora, Atalanta ili awe na UHAKIKA wa 8 bora ni LAZIMA amfunge Barca

Leverkusen Vs Sparta
Leverkusen ili afuzu 8 bora ni LAZIMA apate matoke vinginevyo anaweza kuangukia kwenye knock out stage, Sparta has nothing to lose or gain

Bayern M Vs Slovan
Bayern kafuzu knock out stage ya 9-24, akishinda asubirie miujiza kuingia 8 bora,
Slovan has nothing to lose or gain

Dortmund Vs Shaktar
Dortmund kafuzu knock-out stage ya 9-24 akishinda labda miujiza ndio itampeleka 8 bora
Shaktar ana wastani mbaya wa magoli hata akishida

Zagreb Vs Milan
Ili Milan awe na UHAKIKA wa 8 bora ni LAZIMA ashinde vinginevyo ategemee miujiza
Zagreb akishinda aombee miujiza itokee ili kufuzu knock out stage ya 9-24

Salzburg Vs Atletico
Ili Atletco awe na UHAKIKA wa 8 bora ni LAZIMA ashinde
Salzburg has nothing to lose or gain

Girona Vs Arsenal
Asenal ni kama vile kashavuzu 8 bora kwa wastan mzuri wa magoli
Girona hana cha kupata wala kupoteza

Inter Vs Monaco
Inter naye ni kama shafuzu 8 bora akiwa na wastani mzuri wa magoli.
Monaco akishinda atakua kajitenenezea mazingira mazuri ya 8 bora iwapo wa juu yake wakichemka

Juve Vs Benfica
Juve kafuzu knock out stage 9-24 ila akishinda miujiza inaweza kumpeleka 8 bora wajuu yake wakichemka
Benfica ili awe na HUHAKIKA wa knock out stage inabidi apate matoke

Lile Vs Feyenoord
Hawa wote wamevuzu knock out stage LAKINI atakaye shinda anaweza kubahatisha kwenda 8 bora iwapo wa juu yao watachemka

Man City Vs Brugge
Man U ni LAZIMA ashinde ili kwenda knock out stage
Brugge anahitaji DRAW tu ili afuzu knock out stage

PSV Vs Liverpool
Liverpool kashafuzu 8 bora
PSV ni kama amekwisha fuzu knock out stage kwa idadi nzuri ya wastani wa magoli

Stade Vs Madrid
Wote wamefuzu knock out stage, ni miujiza pekee itakayo mpeleka Madrid 8 bora akishinda

Stuttgat Vs PSG
Wote ni kama wamefuzu knock out stage kwa wastani mzuri wa magoli dhidi ya Shaktar anayewafukuzia na wastani mbovu wa magoli

Young boy Vs Crivena
Hawa wote wamejichokea wanakamilisha ratiba tu

Sturm Vs Leipzing
Hawa nao hoi wanakamilisha ratiba tu

Kazi kwako
Nishaogopa
 
Back
Top Bottom