Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

mbuzi kashafanya yake amekula mikeka yangu mitatu bila huruma.
Gundu la Rahimu limehamia kwangu
 
city leo chana mikeka ***** zake
kashindwa funga hata goli moja
 
Asee mimi hii biashara nmepumzika kwa mda.... upepo wa kanjibahi ulinikata japo mwanzo nlimpiga sana......

Ndio mpira ulivyo kaka, usikate tamaa hasira zako zote utamaliza kesho.

city leo chana mikeka ***** zake
kashindwa funga hata goli moja

Wazee za kulalia ni:
Napoli, feeyenord,Atl. madrid.


Tupoze machungu na hiyo hapo.

ila tatizo watu wanweka Mikeka mikubwa sana, ni muhimu kuweka mikeka midogo at most timu 3.
 
Mimi nilimpa fiorentina,swansea,nacional,napoli,real&atletco. Mzee wa mikeka mirefu
 
Back
Top Bottom