Mikiki ya kisiasa imeathiri sana mood ya Rais Samia, hayo yameonekana jana huko Songea

Mikiki ya kisiasa imeathiri sana mood ya Rais Samia, hayo yameonekana jana huko Songea

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Ukweli ni kwamba japo maandamano yalizuiwa kwa nguvu zote na Polisi, taswira ya rais Samia imeendelea kuathirika mbele ya watanzania na jumuiya ya kimataifa.

Katika hotuba ya rais Samia ya kufunga tamasha la kitamaduni mjini Songea mtu angeweza kuona kuwa hakuwa na ile sauti na hisia zake za kujiamini ndani kama kawaida.

Sauti yake ilikuwa haina utulivu na nguvu kama tulivyozoea. Naamini maandamano na kamatakamata vimemweka rais Samia kwenye stress iliyosababisha a change in mood.
 
Washauri wake Walimuingiza chaķa....yale maandamano yangeruhusiwa wala watu pia wasingejitokeza wengi wa kuweza kuleta vurugu.

Pia polisi kama wangekuwa makini zaidi wakayalindq kwa kutumia hiyo nguvu waliyotumia kuyazuia, huyu mama heshima yake ingeongezeka japo kidogo.
 
Ukweli ni kwamba japo maandamano yalizuiwa kwa nguvu zote na Polisi, taswira ya rais Samia imeendelea kuathirika mbele ya watanzania na jumuiya ya kimataifa.

Katika hotuba ya rais Samia ya kufunga tamasha la kitamaduni mjini Songea mtu angeweza kuona kuwa hakuwa na ile sauti na hisia zake za kujiamini ndani kama kawaida. Sauti yake ilikuwa haina utulivu na nguvu kama tulivyozoea. Naamini maandamano na kamatakamata vimemweka rais Samia kwenye stress iliyosababisha a change in mood.
Weka picha
 
Ukweli ni kwamba japo maandamano yalizuiwa kwa nguvu zote na Polisi, taswira ya rais Samia imeendelea kuathirika mbele ya watanzania na jumuiya ya kimataifa.

Katika hotuba ya rais Samia ya kufunga tamasha la kitamaduni mjini Songea mtu angeweza kuona kuwa hakuwa na ile sauti na hisia zake za kujiamini ndani kama kawaida. Sauti yake ilikuwa haina utulivu na nguvu kama tulivyozoea. Naamini maandamano na kamatakamata vimemweka rais Samia kwenye stress iliyosababisha a change in mood.
Huko Songea si ndio kule kulifuka moshi ambao mpaka leo haujulikani ulitoka wapi na chanzo chake ninini!?
 
Ukweli ni kwamba japo maandamano yalizuiwa kwa nguvu zote na Polisi, taswira ya rais Samia imeendelea kuathirika mbele ya watanzania na jumuiya ya kimataifa.

Katika hotuba ya rais Samia ya kufunga tamasha la kitamaduni mjini Songea mtu angeweza kuona kuwa hakuwa na ile sauti na hisia zake za kujiamini ndani kama kawaida. Sauti yake ilikuwa haina utulivu na nguvu kama tulivyozoea. Naamini maandamano na kamatakamata vimemweka rais Samia kwenye stress iliyosababisha a change in mood.
Kwani wewe mtoto wako mtukutu, akikosa maadili , mara kaiba kuku wa mtu, mara mlevi, mara kamtia binti wa shule mimba, furaha unaitoa wapi!
 
Ukweli ni kwamba japo maandamano yalizuiwa kwa nguvu zote na Polisi, taswira ya rais Samia imeendelea kuathirika mbele ya watanzania na jumuiya ya kimataifa.

Katika hotuba ya rais Samia ya kufunga tamasha la kitamaduni mjini Songea mtu angeweza kuona kuwa hakuwa na ile sauti na hisia zake za kujiamini ndani kama kawaida. Sauti yake ilikuwa haina utulivu na nguvu kama tulivyozoea. Naamini maandamano na kamatakamata vimemweka rais Samia kwenye stress iliyosababisha a change in mood.
Na bado
 
Ukweli ni kwamba japo maandamano yalizuiwa kwa nguvu zote na Polisi, taswira ya rais Samia imeendelea kuathirika mbele ya watanzania na jumuiya ya kimataifa.

Katika hotuba ya rais Samia ya kufunga tamasha la kitamaduni mjini Songea mtu angeweza kuona kuwa hakuwa na ile sauti na hisia zake za kujiamini ndani kama kawaida. Sauti yake ilikuwa haina utulivu na nguvu kama tulivyozoea. Naamini maandamano na kamatakamata vimemweka rais Samia kwenye stress iliyosababisha a change in mood.
Anajiendekeza tu haya yote kayataka yeye
 
Kama kusaini hati ya watu kunyongwa waliotiwa hatiani kwa makosa ya kuua ni ngumu, unawezaje kuruhusu magenge ya kihuni kuteka na kuua watu wasiokuwa na hatia halafu ukabaki vile vile?

Maelezo ya Sativa yanasikitisha sana! kumbe ndio maana bangi haiwezi kwisha sababu kati ya wateja/wavutaji ni watu wanaopaswa kuiondoa bangi Tanzania..hivi sifa kuwa usalama wa taifa lazima uwe mkatili?

Vyama vya siasa na wanaharakati wote..shirikianeni kuandaa documentary ya watu kutekwa na kuuawa na dola, ushahidi upo dhahiri kabisa, halafu ipelekwe ICJ huko hakuna kinga kwa mtu yeyote..! msipoteze muda na maandamano..ya nini?
 
Kama kusaini hati ya watu kunyongwa waliotiwa hatiani kwa makosa ya kuua ni ngumu, unawezaje kuruhsu magenge ya kihuni kuteka na kuua watu wasiokuwa na hatia halafu ukabaki vile vile??? hivi sifa kuwa usalama wa taifa lazima uwe mkatili??
Vyama vya siasa na wanaharakati wote..shirikianeni kuandaa documentary ya watu kutekwa na kuuawa na dola, ushahidi upo dhahiri kabisa, halafu ipelekwe ICJ huko hakuna kinga kwa mtu yeyote..! msipoteze muda na maandamano..ya nini?
Dunia ina unafiki mwingi ndugu
 
Back
Top Bottom