Mikiki ya kisiasa imeathiri sana mood ya Rais Samia, hayo yameonekana jana huko Songea

Mikiki ya kisiasa imeathiri sana mood ya Rais Samia, hayo yameonekana jana huko Songea

Huko Songea si ndio kule kulifuka moshi ambao mpaka leo haujulikani ulitoka wapi na chanzo chake ninini!?
Mtazamo wangu wa hiki Kinachoendelea naona kinaratibiwa na CCM wenyewe na wamefanikiwa sana kumchonganisha na wananchi. Kama Rais angepata uweredi kidogo wa kuwasikiliza Wapinzani tangu awali nakuhakikishia angependwa kuliko mtangulizi wake. Hajui ndani ya chama chake wanamtengenezea zengwe achukiwe. Kumbuka yeye ni mtu toka visiwani na hii Tanganyika ni dude kubwa mno. 1. Angepaswa alete katiba mpya haraka sana 2. COVID-19🦠😷angewatoa Bungeni 3. Angefanikisha utawala wa sheria . Hapa asingekuwa na wa kumpinga
 
Ukweli ni kwamba japo maandamano yalizuiwa kwa nguvu zote na Polisi, taswira ya rais Samia imeendelea kuathirika mbele ya watanzania na jumuiya ya kimataifa.

Katika hotuba ya rais Samia ya kufunga tamasha la kitamaduni mjini Songea mtu angeweza kuona kuwa hakuwa na ile sauti na hisia zake za kujiamini ndani kama kawaida.

Sauti yake ilikuwa haina utulivu na nguvu kama tulivyozoea. Naamini maandamano na kamatakamata vimemweka rais Samia kwenye stress iliyosababisha a change in mood.
 
Ukweli ni kwamba japo maandamano yalizuiwa kwa nguvu zote na Polisi, taswira ya rais Samia imeendelea kuathirika mbele ya watanzania na jumuiya ya kimataifa.

Katika hotuba ya rais Samia ya kufunga tamasha la kitamaduni mjini Songea mtu angeweza kuona kuwa hakuwa na ile sauti na hisia zake za kujiamini ndani kama kawaida.

Sauti yake ilikuwa haina utulivu na nguvu kama tulivyozoea. Naamini maandamano na kamatakamata vimemweka rais Samia kwenye stress iliyosababisha a change in mood.
Bado atapata stress sana asipobadilisha jeshi la polisi.
 
Ukweli ni kwamba japo maandamano yalizuiwa kwa nguvu zote na Polisi, taswira ya rais Samia imeendelea kuathirika mbele ya watanzania na jumuiya ya kimataifa.

Katika hotuba ya rais Samia ya kufunga tamasha la kitamaduni mjini Songea mtu angeweza kuona kuwa hakuwa na ile sauti na hisia zake za kujiamini ndani kama kawaida.

Sauti yake ilikuwa haina utulivu na nguvu kama tulivyozoea. Naamini maandamano na kamatakamata vimemweka rais Samia kwenye stress iliyosababisha a change in mood.

Yaani akitoka huko, kama hatasafiri nje ya nchi au kwenda Kizimkazi au kwa Wajomba wake Uarabuni kupata mapumziko ya kiakili basi nitamsifu Daktari wake kwa kazi nzuri.
 
Ukweli ni kwamba japo maandamano yalizuiwa kwa nguvu zote na Polisi, taswira ya rais Samia imeendelea kuathirika mbele ya watanzania na jumuiya ya kimataifa.

Katika hotuba ya rais Samia ya kufunga tamasha la kitamaduni mjini Songea mtu angeweza kuona kuwa hakuwa na ile sauti na hisia zake za kujiamini ndani kama kawaida.

Sauti yake ilikuwa haina utulivu na nguvu kama tulivyozoea. Naamini maandamano na kamatakamata vimemweka rais Samia kwenye stress iliyosababisha a change in mood.
Damu za watu zinazomwagwa ni nzito. Kifo cha kuawa na kutupwa maporini huko sio kifu tu hivi kama raisi alivyosema mbele za uma
 
Ukweli ni kwamba japo maandamano yalizuiwa kwa nguvu zote na Polisi, taswira ya rais Samia imeendelea kuathirika mbele ya watanzania na jumuiya ya kimataifa.

Katika hotuba ya rais Samia ya kufunga tamasha la kitamaduni mjini Songea mtu angeweza kuona kuwa hakuwa na ile sauti na hisia zake za kujiamini ndani kama kawaida.

Sauti yake ilikuwa haina utulivu na nguvu kama tulivyozoea. Naamini maandamano na kamatakamata vimemweka rais Samia kwenye stress iliyosababisha a change in mood.
Yeye ndio ameagiza wapinzani watekwe na kuuwawa, sasa anajua bado ana wajibu wa kuwakilisha ripoti ya mauaji hayo.
 
Ukweli ni kwamba japo maandamano yalizuiwa kwa nguvu zote na Polisi, taswira ya rais Samia imeendelea kuathirika mbele ya watanzania na jumuiya ya kimataifa.

Katika hotuba ya rais Samia ya kufunga tamasha la kitamaduni mjini Songea mtu angeweza kuona kuwa hakuwa na ile sauti na hisia zake za kujiamini ndani kama kawaida.

Sauti yake ilikuwa haina utulivu na nguvu kama tulivyozoea. Naamini maandamano na kamatakamata vimemweka rais Samia kwenye stress iliyosababisha a change in mood.
Bora hata wewe bado una guts za kumsikiliza huyu Mama.
Mie nime acha kama ilivyo kuwa kwa Magufuli.
Yaani hata jina lake sipendi litajwe mahali nipo.
Amekuwa Rais wa kupokea taarifa za uongo toka kwa wasaidizi wake, na hazifanyii kazi ana zipeleka kwa waajiri wake kama alivyo andikiwa. Mbaya sana..
 
Back
Top Bottom