Hiyo hofu ya mungu kaitoa wapi!Ana Hofu ya MUNGU
Lazima Roho imsute
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo hofu ya mungu kaitoa wapi!Ana Hofu ya MUNGU
Lazima Roho imsute
Ruangwa si ipo Lindi mkuuIle ilikuwa Ruangwa Ntwara Ndugu sio Songea !😳
Ni Rufiji na siyo songea jamani wangoni si wachawi.Huko Songea si ndio kule kulifuka moshi ambao mpaka leo haujulikani ulitoka wapi na chanzo chake ninini!?
Umeongea point. Wangewaruhusu wala isengeleta shida ila kitendo cha kuzuia ni kuzid kujichimbia kaburi. Washauri wanazingua sanaWashauri wake Walimuingiza chaķa....yale maandamano yangeruhusiwa wala watu pia wasingejitokeza wengi wa kuweza kuleta vurugu.
Pia polisi kama wangekuwa makini zaidi wakayalindq kwa kutumi hiyo nguvu waliyotumia kuyazuia, huyu mama heshima yake ingeongezeka japo kidogo.
Ni Ruangwa,Lindi,siyo mtwara.Ntwara sio Songea mkuu
Sasa Ruangwa ipo mtwara? Alafu unaweza kuta wewe unajiita msomi.Ile ilikuwa Ruangwa Ntwara Ndugu sio Songea !😳
Kampen za uchaguzi bado hazijafika. Mta mboost na urojo wa forodhan na supu ya pwezq. Utasikia, Nimechoka nishikien Mic, Kabudi huko wapi marazia kampen. Wacha nikapumzike kizimkazUkweli ni kwamba japo maandamano yalizuiwa kwa nguvu zote na Polisi, taswira ya rais Samia imeendelea kuathirika mbele ya watanzania na jumuiya ya kimataifa.
Katika hotuba ya rais Samia ya kufunga tamasha la kitamaduni mjini Songea mtu angeweza kuona kuwa hakuwa na ile sauti na hisia zake za kujiamini ndani kama kawaida.
Sauti yake ilikuwa haina utulivu na nguvu kama tulivyozoea. Naamini maandamano na kamatakamata vimemweka rais Samia kwenye stress iliyosababisha a change in mood.
Mlikatazwa,babu yenu alikwenda kufanya nini ?Kuna mtu yeyote uliona ameandamana jana au watu walikamatwa wakiwa wanazungumza na waandishi wa habari? Bado mbashabikia ushenzi wa vyombo vya dola kwa raia?
Ndio huko huko wamekata tu maeneo ila ndio huko lindi ntwara ndio huko hukoNi Ruangwa,Lindi,siyo mtwara.
SawaIlikua Lindi na sio Mtwara.
Uko sahihi lakini ameyataka mwenyewe.Ukweli ni kwamba japo maandamano yalizuiwa kwa nguvu zote na Polisi, taswira ya rais Samia imeendelea kuathirika mbele ya watanzania na jumuiya ya kimataifa.
Katika hotuba ya rais Samia ya kufunga tamasha la kitamaduni mjini Songea mtu angeweza kuona kuwa hakuwa na ile sauti na hisia zake za kujiamini ndani kama kawaida.
Sauti yake ilikuwa haina utulivu na nguvu kama tulivyozoea. Naamini maandamano na kamatakamata vimemweka rais Samia kwenye stress iliyosababisha a change in mood.
Hakuna kitu kama hiko,Lindi ni Lindi na mtwara ni mtwara.Ndio huko huko wamekata tu maeneo ila ndio huko lindi ntwara ndio huko huko
Jibu lake mbona jepesi tuu.Swali ni jepesi tu" nani anateka na kuua watu"
Ndio hivyo hivyo umeeleweka mkuu kwa hio ni ntwaraHakuna kitu kama hiko,Lindi ni Lindi na mtwara ni mtwara.
Kama mikoa imekatwa mingi tu lakini hatuhalalishi kuwa mkoa Fulani kwa sababu zamani ulikuwa ni mmoja na mkoa Fulani basi hadi Leo ni kitu kimoja kilekile.
Geita na Mwanza,simiyu na shinyanga,Manyara na Arusha,Njombe na Iringa,Songwe na Mbeya,Lindi na Mtwara. Leo Kila mkoa unajitegemea
Siyo kweli.Ndio hivyo hivyo umeeleweka mkuu kwa hio ni ntwara
Umefafanua mwenyeweSiyo kweli.
Ule moshi sijui ilikuwaje..?Huko Songea si ndio kule kulifuka moshi ambao mpaka leo haujulikani ulitoka wapi na chanzo chake ninini!?
Ana hofu ya Mungu gani huyo asiye na akiliAna Hofu ya MUNGU
Lazima Roho imsute