Mikiki ya kisiasa imeathiri sana mood ya Rais Samia, hayo yameonekana jana huko Songea

Mikiki ya kisiasa imeathiri sana mood ya Rais Samia, hayo yameonekana jana huko Songea

Rais wa Waganga wa kienyeji…..Wallah Samia ataacha Legacy ya waganga wa kienyeji na uchawi kwa kivuli cha uchief…
 
Washauri wake Walimuingiza chaķa....yale maandamano yangeruhusiwa wala watu pia wasingejitokeza wengi wa kuweza kuleta vurugu.

Pia polisi kama wangekuwa makini zaidi wakayalindq kwa kutumia hiyo nguvu waliyotumia kuyazuia, huyu mama heshima yake ingeongezeka japo kidogo.
Issue sio maandamano....

Issue hapa ni Rais Samia, TISS na polisi wake watuambie ndugu zetu waliowateka, na tunajua wanawatesa huko waliko au wameshawaua tayari, wako wapi....?

Tunawataka ndugu zetu wote kuanzia kina Deusdedith Soka, Mlay, Mbise, kina Kombo na wengi wote aidha wakiwa hai au wamekufa....

Aidha tunataka IGP Wambura, DGIS Mombo, DCI Ramadhani Kingai na Waziri Masauni waachie nafasi za uongozi haraka bila kuchelewa....

Na mwisho, Samia Suluhu Hassan ni wazi kuwa ameshindwa na haiwezi kazi ya u - Rais. Na kwa sababu hii tunamtaka na yeye aachie ngazi na aondoke mara moja, hatumtaki na hatumhitaji...

Ndio maana ya #SAMIA MUST GO#
 
Naam body language speaks louder….
Anasumbuka.
Kuna shida mahali ni kubwa kuliko tunavyofikiri.
Wanaomtumbukiza shimoni siku si nyingi watajua hawajui.
It’s too late aliruhusu mwenyewe familia na walam be waongoze nchi wanavyotaka
Hii itamgharimu sana.

Vyama vya siasa vile vilivyoungana vifutwe vyote. Wanagawana ruzuku kama peremende. Wanafanya biashara zao kwa pesa za ruzuku. nccr sijui tapea nk tunawazooom tu. Hivi ni vyama mfu.
Pesa ya walipa kodi ifanye mambo ya kuliinua Taifa sio kuwapa hawa wazi&&@$ walafi. Mbatia mlimhukumu kumbe Nanyi ni yaleyale

Kila mtu Atavuna alichopanda
Amini Amini siku yaja!
 
Anajiendekeza tu haya yote kayataka yeye
Saint Ivuga samahani mkuu. Kuna tukio la mwalimu mstaafu kule Same lililetwa huku miaka minne au mitatu iliyopita, amepotea mwaka 2006. Ktk jitihada za kuandaa kaburi baada ya mtu kufariki nyumbani kwake, walimkuta kumbe kashazikwa siku nyingi.

Ilidaiwa huenda wanafamilia yake walihusika kumhujumu ili wale pensheni. Nakumbuka ulidai humu huyu ni mwalimu wako wa zamani.

Kesi yake inaendeleaje?
SAMAHANI LAKINI.
 
Vitu vinajiri nje ya uwezo wake, president ni cabinet yeye huyu unaemuona ni mwakilishi hivyo kama anakumbwa na Hali hiyo maana yake sio matwaka yake binafsi na haamini kama yanatokea mbele ya macho yake
 
Ukweli ni kwamba japo maandamano yalizuiwa kwa nguvu zote na Polisi, taswira ya rais Samia imeendelea kuathirika mbele ya watanzania na jumuiya ya kimataifa.

Katika hotuba ya rais Samia ya kufunga tamasha la kitamaduni mjini Songea mtu angeweza kuona kuwa hakuwa na ile sauti na hisia zake za kujiamini ndani kama kawaida.

Sauti yake ilikuwa haina utulivu na nguvu kama tulivyozoea. Naamini maandamano na kamatakamata vimemweka rais Samia kwenye stress iliyosababisha a change in mood.
Ameanza kujuwa kucopy and paste ya mwendazake haitamsaudia inabidi ajitafute mwenyewe. Na kujitafuta uzeeni sio mchezo.
 
Ukweli ni kwamba japo maandamano yalizuiwa kwa nguvu zote na Polisi, taswira ya rais Samia imeendelea kuathirika mbele ya watanzania na jumuiya ya kimataifa.

Katika hotuba ya rais Samia ya kufunga tamasha la kitamaduni mjini Songea mtu angeweza kuona kuwa hakuwa na ile sauti na hisia zake za kujiamini ndani kama kawaida.

Sauti yake ilikuwa haina utulivu na nguvu kama tulivyozoea. Naamini maandamano na kamatakamata vimemweka rais Samia kwenye stress iliyosababisha a change in mood.
Kakimbia mji, ukweli ni huu, Chadema wana nguvu sana sana TZ, nilichoshuhudia jana sina shaka ht kdg, hawa jamaa wakipewa haki sawa na CCM hakika watalia mchana kweupe....
 
Back
Top Bottom