Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

Arusha nilikaa Sakina na nikaa Moshono pale njia Ng'ombe...
Kwa mkoa ambao una jihusisha na Kilimo pia na ufugaji....haiwezekani gharama ya chakula ikawa sawa na Dar...
  • Barabara nyingi ni kuwekwa Moram kuliko rami,Vumbi mwanzo mwisho
  • Stendi yenu ni Haibu,yani hata ya Kibaha kubwa.
  • Uwanja wa ndege ni haibu
  • Usafiri wa umma kuna maeneo saa 4 hakuna
  • Jiji pekee lenye kutumia vipanya kwenye usafiri mpaka sasa.

Aya sasa nenda Wilaya za Monduli na Longido....
Ndiyo utajua shida za maji katika huo mkoa....
Kweli ukae na kuilinganisha Arusha na Dar...!
mentality ya Chugga ni nchi ndiyo ina waharibu....
 
Mzee ingia youtube andika mafuriko karatu ujionee maana mimi siwezi kuandika aya ndefu kitu ambacho hata kwenye vyombo vya habari walionyesha
Mi siyo Fan wa Arusha kiivyo,,,
Ila kwenye ukweli utazungumzwa....
Ni nadra sana kwa hali ya namna hiyo kutokea....
Sehemu prone kwa mafuriko nchi hii zajulikana na Arusha si mojawapo....
 
We umefika ukonga na chanika? Mbande? Tandale. We mimi ninaishi dar. Yani kama sio shughuli, nikipata mzigo wa maana, naenda kuishi Arusha, wala sio kipengele. Maji ni shida hatari.
 
Kama unataka hela fanya kazi na watu wa Dar es salaam , au mikoa ya kaskazin hasa Kilimanjaro na Arusha hawa watu hawana bambamba, wamenyooka Sana , mikoa mingine wanaunga unga sana
Wewe mpaka leo unaamini watu wa Kaskazini tu ndo wanafanya biashara? Endelea kuwa na akili hizo za miaka ya 90 huko!
Yaani maeneo kama Mwanza,Kahama,Mbeya Iringa,Morogoro kwako hawajui biashara?
 
DSM umechemka
 
Vipi kuhusu bei ya vyakula kwa mikoa uliyoitaja!!!
 
Kuna baadhi ya watu hawalisikii hilo joto. Mfano, ofinisi AC, garibinafsi AC, nyumbani AC, nyumba ya Ibada AC, supermarket AC, etc.
 
DSM umechemka
Sawa,
kwenye vipengele vipi Dar ipo nyuma...
Wewe mpaka leo unaamini watu wa Kaskazini tu ndo wanafanya biashara? Endelea kuwa na akili hizo za miaka ya 90 huko!
Yaani maeneo kama Mwanza,Kahama,Mbeya Iringa,Morogoro kwako hawajui biashara?
Siku akifika Kahama atashangaa...
 
Chuggastan babaake!!
 
We umefika ukonga na chanika? Mbande? Tandale. We mimi ninaishi dar. Yani kama sio shughuli, nikipata mzigo wa maana, naenda kuishi Arusha, wala sio kipengele. Maji ni shida hatari.
Mkuu
Kuanzia Kata ya Pugu ,Pugu Kajiungeni,Majohe,Buyuni,Chanika,Msongola a,Zingiziwa,Mvuti hadi Mbade...
Kuna Visima binafsi zaidi ya 1,000...
Tena watu wanachota maji bure....
Mimi nakaa Kigezi kata ya Buyuni...
shida ipi ya maji ipo Chanika...

Jake wewe ushafika Ketumbeine na Longido mjini mkoani Arusha? ...uone palivyo na balaa la ukame na Joto....
Wamasai wanatembea Km zaidi ya 10,just kumfikisha mtoto hospitali...
 
2011 Nipo Mbeya mjini,,,
Mvua kubwa ilipiga, mazao yalisombwa na maji...na Kuna walisombwa na maji kule ikuti,maiti zao zikaenda kuopolewa pale kwenye karakana ya Tazara karibia na kota zao.
Sawa ila Dar ni hatarishi.Kama walikuwa mabondeni ulitaka wasisombwe na maji? Dar Iko bondeni ,Dar kama Kigamboni tambarare maji hayatoki yaani ni majanga tupu.kuishi huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…