Milioni 3 na mbususu wapi na wapi? Wanawake badilikeni

Wataingia mkataba wa maandishi? Maana huyo dem anaweza kubadilika na hiyo pesa ni ndefu
Kaka, utaambiwa Biashara inayumba, kwakua hamna maandishi itakua imeisha hiyo!!!

Kwa maandishi iyumbe, isuyumbe, marejesho yako palepale.
 
Huyo anakukimbiza kwa kizinga

Mbinu nzuri sana ya kumkimbiza mwanaume anayekusumbua na wewe uko na mtu wako na hutaki other affairs ni kumpiga kizinga cha ukweli, mwingine ataishia kukublock tu na simu hapokei.

Million tatu kwa uchumi wa Samia lazima ufungue uzi aisee

Nimewaibia mbinu kutoka kwenye kikao chetu
 
Nimesema mwanzo, Mimi Sina habari za kukufukuzia wiki, mwezi ,miezi, Sinaga... Na Kwa kadiri siku zinaenda huenda nitakua nikishaongea Mara Moja, hueleweki naacha ujitafakari mwenyewe.

( Kama umesoma na kuelewa Uzi wote ).. niyeye aliyenitafuta baada ya ukimya wake wa muda mrefu .

Hata hivo Nikitaka nimtie Leo namtia , in facts yeye sio wakwanza au wa mwisho kua na Mwanaume na Bado akalika... Haya mambo ni maelewano tu.


Na ndio Sababu hata yeye nilipomwambia Leo tuonane. Lodge, kakubaki na ananisihii sana, "Ukishachukua chumba niambie ".


ukweli ni kwamba, huyu anahisi Mimi mjinga.
 
Achana nae

Wala usiende hata huko Lodge

Mtu wa aina huyo kwa mtazamo wangu hakufai, muuzaji tu kama wauzaji wengine.

Kama mkristo nenda kanisani kasali then nakaa na familia yako.
 
Achana nae

Wala usiende hata huko Lodge

Mtu wa aina huyo kwa mtazamo wangu hakufai, muuzaji tu kama wauzaji wengine.

Kama mkristo nenda kanisani kasali then nakaa na familia yako.
Hapa umenielewa vizuri. Unajua wee waweza kua na Mpenzi wangu, Kuna wakati umeyumba kiuchumi Sasa ikiwa unamtaka Msaada was Mkopo ..anakupa ..ikiwa unamtaka Msaada usokua marejesho yaan Bure m..ni yeye wakuamua.


Ila hii habari ya Nifanyie hivi,, ILI uanze kula Mbunyee 🤣

Naona kaogopa kusema tu oyaaaa, nauzaa!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]pole aiseh
 
Hyo type ya mademu ya mjini sema anajifunza baada ya kuskia stori kwa wenzake.

Ukimpa hyo hela naamini baada ya mwezi atakuletea stori nigei 50k nikasuke, nipe 100k ya kula Mara mama anaumwa inatakiwa 500k mie Nina 200k hyo yote anataka akufukuze ili mtemane kwenye Ile 3m na ukiwa unampa inamana mtaendelea kuwa wapenzi na Ile 3m ndo usahau kuipata hata muwe mmeandikishiana mahakamani.

Hawa wanawake wa sikuhz wanakuwa na win-win situation mchongo usiokuwa na ushuru yaan ukiendelea kulea penzi Ile 3m hupati na ukikataa kulea penzi Ile 3m hupati.

Vijana wasikuhz hiz akili hawana ndio Mana unaskia mtu kapiga sijui kaua sababu n Hawa wadada wa win-win situation.
 
Hujaelewa iyo million 3 kifurushi iko unlimited unamla mwaka mzima [emoji28][emoji28][emoji28]hujajiongeza kishkaji sema kuitoa kwa mkupuo parefu mwanangu toa ule mambo mwaka mzima .
Ukishampa baada ya mwezi anabadilika anakukwepa mzee baba huo ni mtego tu.
Ukishampa baadae anaanza maneno ya nyodo"Kwa hiyo kwa vile ulinisaidia hicho kimilioni 3 chako ndio unataka unisumbue tugandane kama ruba,si ndio"
Na kwa vile umempa mwenyewe kwa ridhaa yako huna pa kumshitaki.
 
Tajiri hapa Duniani usicheke Umasikini na Gereza .


Kama unaweza Toa Milioni 3 ndio upewe Mbususu, utakua TAHIRA ,ZOBA, DOMO ZEGE ,BOYAAA JINGA KABISA.
Yes Wakati hata hao celebrities wanaoiwakilisha Tanzania Ukilala nao unalipa chini ya Laki 5,Malaya wa viwango kabisa wanalipwa Laki 1 au 2 kwa usiku kucha.
 
Combo pack😂😂..sema nini umeenda kasi sana,ungemwambia aje muongee kwanza ila usimamalize mazungumzo siku moja,then ungekuja kuichakataa mbususu kirahisi sana bila hata mia
 
Kwani kama humtaki mtu ni lazima umpige vizinga, just be straight, nina mtu wangu period.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…