Milioni 350 za faini ya kina Mbowe zinazorudishwa na mahakama unashauri zifanye kazi gani?

Milioni 350 za faini ya kina Mbowe zinazorudishwa na mahakama unashauri zifanye kazi gani?

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Ni kiasi cha US$ 150,000 sawa na milioni 350.
  1. Zijenge ofisi makao makuu?
  2. Zisaidie kulipa faini na mawakili wa kesi zilizobaki?
  3. Zisaidie mchakato wa katiba mpya?
  4. Zinunue kiwanja cha ofisi makao makuu Dodoma au Dar es salaam.
  5. Zisaidie ujenzi wa ofisi za kanda?
  6. Zinunue vitendea kazi vya chama.
  7. Zigawanywe kwa viongozi waliohukumiwa.

Maoni yenu tafadhali.

================
53D299D9-0B41-4DFD-8335-620E883FC330.jpeg
 
Ni kiasi cha US$ 150,000 sawa na milioni 350.
  1. Zijenge ofisi makao makuu?
  2. Zisaidie kulipa faini na mawakili wa kesi zilizobaki?
  3. Zisaidie mchakato wa katiba mpya?
  4. Zinunue kiwanja cha ofisi makao makuu Dodoma au Dar es salaam.
  5. Zisaidie ujenzi wa ofisi za kanda?
  6. Zinunue vitendea kazi vya chama.
  7. Zigawanywe kwa viongozi waliohukumiwa.

Maoni yenu tafadhali.
ww ndio mbowe? embu waacheni. pesa yao watakaopanga matumizi ni wao. sio nyie
 
Ni kiasi cha US$ 150,000 sawa na milioni 350.
  1. Zijenge ofisi makao makuu?
  2. Zisaidie kulipa faini na mawakili wa kesi zilizobaki?
  3. Zisaidie mchakato wa katiba mpya?
  4. Zinunue kiwanja cha ofisi makao makuu Dodoma au Dar es salaam.
  5. Zisaidie ujenzi wa ofisi za kanda?
  6. Zinunue vitendea kazi vya chama.
  7. Zigawanywe kwa viongozi waliohukumiwa.

Maoni yenu tafadhali.
... kwanza zinarudishwa kwa nani? Sio kwa wahusika kwa maana Halima atarudishiwa; Bulaya atapewa zake; Mashinji naye vivyo hivyo ataingiziwa kwenye akaunti yake. Kama ndivyo, wazo lako litawezekana?
 
Ni kiasi cha US$ 150,000 sawa na milioni 350.
  1. Zijenge ofisi makao makuu?
  2. Zisaidie kulipa faini na mawakili wa kesi zilizobaki?
  3. Zisaidie mchakato wa katiba mpya?
  4. Zinunue kiwanja cha ofisi makao makuu Dodoma au Dar es salaam.
  5. Zisaidie ujenzi wa ofisi za kanda?
  6. Zinunue vitendea kazi vya chama.
  7. Zigawanywe kwa viongozi waliohukumiwa.

Maoni yenu tafadhali.
Apewe mwenyekiti, kurudisha fedha alizokopesha chama.
 
Kamati kuu itaona lililojema na kupitshisha maamuzi ..✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽
... Mkuu, zinarudishwa kwenye Chama au kwa wahusika akina Halima, Bulaya, na Mashinji waliolipa faini?
 
Back
Top Bottom