- Thread starter
- #41
Kwa wadhaminiKwahiyo Jamhuri itazirudisha kwa nani?
1.Kwa Chama.
2. Kwa wakina Mbowe, Mashinji, Mnyika, Mdee n.k
3. Au kwa waliochangia.
Mimi navyoona namba 2 ndio jibu, maan hao ndio walipigwa faini hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wadhaminiKwahiyo Jamhuri itazirudisha kwa nani?
1.Kwa Chama.
2. Kwa wakina Mbowe, Mashinji, Mnyika, Mdee n.k
3. Au kwa waliochangia.
Mimi navyoona namba 2 ndio jibu, maan hao ndio walipigwa faini hiyo.
Kabisa mkuuKweli haki ya mtu hucheleweshwa tu ila ipo siku hupatikana.
Ngoja vikao halali vya vyama vikae vipange matumizi sahihiNi kiasi cha US$ 150,000 sawa na milioni 350.
- Zijenge ofisi makao makuu?
- Zisaidie kulipa faini na mawakili wa kesi zilizobaki?
- Zisaidie mchakato wa katiba mpya?
- Zinunue kiwanja cha ofisi makao makuu Dodoma au Dar es salaam.
- Zisaidie ujenzi wa ofisi za kanda?
- Zinunue vitendea kazi vya chama.
- Zigawanywe kwa viongozi waliohukumiwa.
Maoni yenu tafadhali.
Kwahiyo Jamhuri itazirudisha kwa nani?
1.Kwa Chama.
2. Kwa wakina Mbowe, Mashinji, Mnyika, Mdee n.k
3. Au kwa waliochangia.
Mimi navyoona namba 2 ndio jibu, maan hao ndio walipigwa faini hiyo.
Kwani wewe ni Chadema????Ni kiasi cha US$ 150,000 sawa na milioni 350.
- Zijenge ofisi makao makuu?
- Zisaidie kulipa faini na mawakili wa kesi zilizobaki?
- Zisaidie mchakato wa katiba mpya?
- Zinunue kiwanja cha ofisi makao makuu Dodoma au Dar es salaam.
- Zisaidie ujenzi wa ofisi za kanda?
- Zinunue vitendea kazi vya chama.
- Zigawanywe kwa viongozi waliohukumiwa.
Maoni yenu tafadhali.
dah, una uhakika kuwa ajachanga!!Kwani ulichanga?
Unajua zilitoka wapi?
Nakuona wewe ni mwanaume lkn una vinasaba vya kike.
Naunga mkono hojaWajenge ofisi kuu ya chama na ya kisasa kabisa ya Makao Makuu Dar es Salaam. Waachane kabusa na mawazo ya kuzitumia hizo hela kwenye zile oparesheni zao.
kama ulichanga nenda kadai.Ni mchango wa wananchi.
Hao walio tu saliti karma ita deal nao effectivelyUmeonaee, halafu tulizichanga kwa hazira zile hela, wengine tuliowachangia wakaja kusaliti chama, Mungu atawaadhibu
Mataga nyie kupenda kwenu ndoa za Mombasa na kuchimbwa mafuta, mmechimbwa na ubongo na hatujuhi tuwasaidiaje.... Mkuu, zinarudishwa kwenye Chama au kwa wahusika akina Halima, Bulaya, na Mashinji waliolipa faini?
Wale covid 19 hawawezi kubaki salama kwani hakuna binadamu yoyote yule atakayejaribu kuihujumu Chadema na akabaki salama.Umeonaee, halafu tulizichanga kwa hazira zile hela, wengine tuliowachangia wakaja kusaliti chama, Mungu atawaadhibu
Walie bata tu.Ni kiasi cha US$ 150,000 sawa na milioni 350.
- Zijenge ofisi makao makuu?
- Zisaidie kulipa faini na mawakili wa kesi zilizobaki?
- Zisaidie mchakato wa katiba mpya?
- Zinunue kiwanja cha ofisi makao makuu Dodoma au Dar es salaam.
- Zisaidie ujenzi wa ofisi za kanda?
- Zinunue vitendea kazi vya chama.
- Zigawanywe kwa viongozi waliohukumiwa.
Maoni yenu tafadhali.
sio nyingi kiasi hichoHizi hela zijenge ofisi za Makao Makuu kila Kanda.
Tulichanga wanachama na wapenda haki watanzania zitaenda kwa chama.zinarudi kwenye mfuko wa chama kama zilitoka kwenye huo mfuko
Wanaolipwa watachagua walipwe kupitia account gani. Za Mashinji hatuzitakiYes kama zililipwa kutoka acvount ya chama basi zitarusishwa kwenyw acviunt ya chama, na ni maki ya chama maana tukichanga kwa dhumuni la kukisaidia chama chetu pendwa
Umeonaee, halafu tulizichanga kwa hazira zile hela, wengine tuliowachangia wakaja kusaliti chama, Mungu atawaadhibu
Zile zina nuksi kabisa maana lazima zina harufu ya mwendazake big up kwa Rev. Msigwa hakutaka hii laanaWanaolipwa watachagua walipwe kupitia account gani. Za Mashinji hatuzitaki
Mch Msigwa alipata maono😅😅Zile zina nuksi kabisa maana lazima zina harufu ya mwendazake big up kwa Rev. Msigwa hakutaka hii laana