Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,221
- 6,940
Nataka kujua nafasi yako katika maamuzi ya hizi pesa kwanza, pia kujua nini vipau mbele vyenu kama chama kwa sasa?Ni kiasi cha US$ 150,000 sawa na milioni 350.
- Zijenge ofisi makao makuu?
- Zisaidie kulipa faini na mawakili wa kesi zilizobaki?
- Zisaidie mchakato wa katiba mpya?
- Zinunue kiwanja cha ofisi makao makuu Dodoma au Dar es salaam.
- Zisaidie ujenzi wa ofisi za kanda?
- Zinunue vitendea kazi vya chama.
- Zigawanywe kwa viongozi waliohukumiwa.
Maoni yenu tafadhali.