Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Umeanza lini kutibu watu To yeye ?Yeah,Hauna shida na mtu huo ujani.....pole sana.Nipo mbeya hapa,je unaweza pita Kwa home nikutibie? Somehow Yaan🧐
😳Ooo kumbe nawe mjanja....sasa Subiri😉
Haya katibiwe sasa, to yeye mgonjwa wako huyo.Naona naona
Et upo mbeya eeh😳Ooo kumbe nawe mjanja....sasa Subiri😉
Nakaaga pale, nakuonagaga kila siku.🤣Mi kazi yangu Kila siku ni kuibadili mada kuwa maada afu Yabisi
🤣🤣🤣Ndio namuuliza kama Yuko mbeyaHaya katibiwe sasa, to yeye mgonjwa wako huyo.
Sio mbea huyo ni mcheshi.🤣🤣🤣Ndio namuuliza kama Yuko mbeya
🤣🤣Yeah,ivo Yaan nizoee....ukianzisha mada ukitaka thread itembee nialike niingize mautumbo yangu....utapenda🤗Nakaaga pale, nakuonagaga kila siku.
Sasa unabembeleza sasa.Et upo mbeya eeh
Ndio nmejua sasa 😂 kumbe unatibu hadi phobia na ukichaa na hausemi, sijapenda🤣🤣🤣We,hivi hujui kuwa niliacha ualimu saivi mi ni doctor?
Yes... Ila sio ya mimea ioNa wewe ulikuwa nayo hii disorder?
Yeah,mbeya mkuu...karibu sana🤣🤣🤣Ndio namuuliza kama Yuko mbeya
Kwa kweli nilijua hii thread haitafikisha hata page mbili lakini naona kungwi umeingia🤣🤣🤣🤣Yeah,ivo Yaan nizoee....ukianzisha mada ukitaka thread itembee nialike niingize mautumbo yangu....utapenda🤗
Mutumbo hata samaki anayo na analiwa, we yamwage hapa.🤣🤣Yeah,ivo Yaan nizoee....ukianzisha mada ukitaka thread itembee nialike niingize mautumbo yangu....utapenda🤗
Oops,sor boss.Natibu mkuu.Karibu sanaNdio nmejua sasa 😂 kumbe unatibu hadi phobia na ukichaa na hausemi, sijapenda
Ahaa sawa dadaYes... Ila sio ya mimea io
Lakini sahivi nipo safi hata nikiona kitu kinafanania siangalii naacha mapema kabisa
🤣🤣🤣🤣🤭Mutumbo hata samaki anayo na analiwa, we yamwage hapa.