Mimea hii inanikosesha (inaninyima) Raha kabisa

Mkuu umepimamimba?
 
Nadhani watu karibia wote hawapendi ila wengi hawajui kwa jina lake ndio maana wajaelewa sehemu zinazoota zina sifa ya kuwa nyepenyepe inayotia kinyaa zikokomaa Sana zinajenga utando utando wa kijani mpaka Kama ukuta inaoza inareta kinya
Sana kiongozi
 
pole nakuelewa me sina hiyo nina heliophobia ya kuogopa jua au nikiwa kwenye jua nahisi ngozi inaburn kabisa kumbe ni psychological tu..
Yeap binadamu tumeumbwa tofauti sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…