Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
hayo ni majukumu ya wamama kuogesha watotoThis is masculinity toxic notion. Kuna watoto hapo, kwanini unaona anajikomba kwa mkewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hayo ni majukumu ya wamama kuogesha watotoThis is masculinity toxic notion. Kuna watoto hapo, kwanini unaona anajikomba kwa mkewe?
Sawa.hayo ni majukumu ya wamama kuogesha watoto
kila mtu afe na majukumu yakeUnaweza kukuta unahangaika na kitoto cha Shule hapo,unafikiri kitakuelewa?
😀
Hii nalo ni tatizo kubwa,Mungu mwenyewe alimpenda Adam na matunda ya bure bustanini lakin wapi, jamaa wakamsaliti
Wife ana rafiki yake ,huwa analalamika kuwa mumewe anakaa mno nyumbani ,why hatoki kutembea tembea ,muda wote yuko hom
"Kijiwe cha vijana na wazee wa hovyo"🤣🤣Uko vizuri mkuu hongera sana, wewe ni baba Bora ambao mnapigwa vita sana katika jamii ya kiafrika.
Naomba chagua siku moja ya kurudi walau tatu au saa mbili usiku nyumbani, siku hii iwe maalumu kwa kupita kijiweni, kijiwe kilicho karibu na mtaani kwako wanakoshinda vijana na wazee wa hovyo. Just to keep up na mambo ya mtaani. Au kupita baa na rafiki yako mwanaume, mkaongee ya kiume. It's healthy!
Una watoto wangapi mkuu? Usije kuta tunashauriana na mwanachuo hapa.hayo ni majukumu ya wamama kuogesha watoto
Yaani ni ngumu uleee wanao hivyo alafu baadae wakukatae,,wasiwe na upendo na wewe uzeeni...Safi sana masai dada mleta mada ataeleweka na wakubwa tu,hawa vijana ndio watakao mponda tena bila hata ya wao kuweka ratiba zao ili na wao tuwasome.
Mimi:
Naamka saa 9 au 10 alfajiri. Nasali hadi saa 11 au 11:30. Naanza fanya kazi zangu kwenye Laptop kuanzia saa 11:30 alfajiri hadi saa 1:30 Alfajiri.
Saa 1:30 hadi 1:45 ni kuoga na kujiandaa kwenda Kazini. Saa 9:30 alasiri narudi toka Kazini. Naenda Shambani au kuangalia mifugo hadi saa 12:45 au saa 1:00 Usiku.
Hiyo saa 1:00 nitaoga na kufanya kazi kidogo kwenye laptop huku naingia mtandaoni na saa 2:00-3:00 usiku nakula Msosi huku naangalia taarifa ya habari. Saa 3:00 naingia kusali then saa 3:30 au 4:00 Nalala.
Ni Baba wa watoto 4, siwaogeshi wala wafulia wala shughulika nao. Mama yao na dada yao wanafanya hayo.
Malengo yako ya kimaisha ni yapi?RATIBA YA ASUBUHI
- Naamka saa 11 au 12 kutegemeana na shughuli za siku.
- Nikiamka saa 11 ujue na shughuli na mama yoyo.
- Nikiamka saa 12 cha kwanza nachukua nguo za watoto( wawili wanafunzi) na zangu na kuzinyoosha.
- Muda huo wife anakuwa anapambana na kuwaogesha. Akimaliza kuwaogesha nampokea kuwapaka mafuta na kuwavalisha ( muda huo wife anakuwa anawapikia breakfast).
- Baada ya hapo naenza kujiandaa mwenyewe kwa ajili ya kwenda kwenye miangaiko. Asubuhi huwa natoka nao hadi kwenye kituo ambacho huwa wanachukuliwa na school bus.
- Wakishachukuliwa mm ndo huwa naenda kutafuta usafiri wa kwenda kwenye mihangaiko yangu.
RATIBA YA JIONI
- Huwa najitahidi by saa 11 niwe home.
- Nakuta watoto wamerudi muda si mrefu, so naoga then naanza fanya nao home work.
- Wakamimaliza homework natafuta kinywaji changu pendwa na kuanza kusip nikisubr msosi wa usiku..
- Wadau kwa ratiba yangu hii nyie mnaionaje, ratiba yako wewe ipoje?
Safi sana, kuna jinga moja humu linajiita deepond,
Lenyewe likitoka kazini lazima lipite kwa mchepuko mamaj likapewe tako liache elfu 10.
Nafkiri watoto hata hawajui baba yao nani
Kwahio ukituona kijiweni unatuona wazee wa hovyo? Binti umenisikitisha sana.
Pitia kwa mganga atengue limbwata ulilolishwa.RATIBA YA ASUBUHI
- Naamka saa 11 au 12 kutegemeana na shughuli za siku.
- Nikiamka saa 11 ujue na shughuli na mama yoyo.
- Nikiamka saa 12 cha kwanza nachukua nguo za watoto( wawili wanafunzi) na zangu na kuzinyoosha.
- Muda huo wife anakuwa anapambana na kuwaogesha. Akimaliza kuwaogesha nampokea kuwapaka mafuta na kuwavalisha ( muda huo wife anakuwa anawapikia breakfast).
- Baada ya hapo naenza kujiandaa mwenyewe kwa ajili ya kwenda kwenye miangaiko. Asubuhi huwa natoka nao hadi kwenye kituo ambacho huwa wanachukuliwa na school bus.
- Wakishachukuliwa mm ndo huwa naenda kutafuta usafiri wa kwenda kwenye mihangaiko yangu.
RATIBA YA JIONI
- Huwa najitahidi by saa 11 niwe home.
- Nakuta watoto wamerudi muda si mrefu, so naoga then naanza fanya nao home work.
- Wakamimaliza homework natafuta kinywaji changu pendwa na kuanza kusip nikisubr msosi wa usiku..
- Wadau kwa ratiba yangu hii nyie mnaionaje, ratiba yako wewe ipoje?
Kwa hiyo sisi tusioshinda mda mwingi na watoot sio wababa wazuri?Kuna wenzio ni kushinda bar na marafiki hawana muda na watoto
Mwanaume mzuri ni yule muda mwingi anashinda na familia yake
Duh yaani wewe ndio unasema yeye hajazaliwa kuishi anavyoishi?Malengo yako ya kimaisha ni yapi?
Hujazaliwa kuishi hivyo kaka.
Upo sahihi mkuuUnajua Binadamu tunatofautiana,kuna wengine wanafikiri kusaidia kazi za Nyumbani au kumsaidia mkeo kazi basi hupunguza uanaume wako! kuna aina za kazi za home unaenjoy kuzifanya na inakua ni kama burudani kwako,mfano ukipiga Pasi nguo za Shule za wanao,kuna feeling fulani unaipata.
Tunapaswa kubadilika, wanaume uzeeni huwa wanabaki wapweke sana. Watoto wote wanahamia kwa mama.Yaani ni ngumu uleee wanao hivyo alafu baadae wakukatae,,wasiwe na upendo na wewe uzeeni...
Kuna tatizo kubwa bongo wababa wengi huko mbeleni watoto hawawajali kwasabbu hawana kumbukumbuku za upendo na good memories kama hizi....yaani hana cha kukumbuka kizuri kitakachomfanya akutunze na wewe uzeeni...
Wababa wanachojua ni kutoa matumizi na ada za watoto...
Watoto hawajui hizo za pesa..wanahitaji muda wako kama anavyofanya mama yao...
Ni nadra mama watoto wamkatae huko mbele sio kwamba kwa sabbu ya kuzaa tu hapana....ni kwa sabbu ya muda unao spend na watoto katika maisha yao
Wewe kila siku unarudi uko tungi everyday ....mtoto anatengeneza kumbukumbu gani juu yako hapo mbele?