Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza rais Samia

Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza rais Samia

Bora kutega sikio kwenye shimo la choo kusikiliza inzi wakigombea mafii kuliko kumsikiliza huyo bushiri
Ndio shida yetu, tunadhani tunaweza geuza mkaa kuwa almasi.

Huyo mama anakaka kwenye baraza la mawaziri (probably, yeye ndio mwenye uwezo mdogo) kwenye mkutano. Ana washauri wataalamu ambao wana kazi ya coaching,

Ili kuona uwezo wake ni kumuacha a free-flow; sijawahi kukutana nae. Lakini uwezo wake ni mdogo sana.

Ndio ukweli
 
Ndio shida yetu, tunadhani tunaweza geuza mkaa kuwa almasi.

Huyo mama anakaka kwenye baraza la mawaziri (probably, yeye ndio mwenye uwezo mdogo) kwenye mkutano. Ana washauri wataalamu ambao wana kazi ya coaching,

Ili kuona uwezo wake ni kumuacha a free-flow; sijawahi kukutana nae. Lakini uwezo wake ni mdogo sana.

Ndio ukweli
Kanuni ya kiuongozi inasema wapumbavu uchaguana wao kwa wao na wenye akili uchaguana wao kwa wao..


hivyo nchi ikiwa na rais mpumbavu basi uchagua wapumbavu wenzie kuongoza na kumshauri ...pia nchi ikiwa na rais mwenye akili uchagua wenye akili kuongoza na kumshauri .....SASA MSHAURI WA RAIS WAKO MMOJAWAPO NI MWIGURU CHEMBA YA MAVII.... UNATEGEMEA NINI ?
 
Kama kweli Nchi hii kuna wazalendo wa kweli na wana uchungu wa Nchi hii na wanataka kukumbukwa katika historia ya Nchi hii, hata kama ni CCM wenyewe, watuletee mgombea mwingine wa Urais mwaka 2025.
Mama apumzike na apewe heshima yake yote kama Rais mstaafu.
 
Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.

Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.

Hana uwezo hata chembe.

That says a lot ueledi wa civil services,

It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Kwa katiba yetu ni sawa na power struggle za Europęan monarchy. Unakuta mtoto anarithi kwa tamaduni au mtu wa mbali anautwaa ufalme kwa kanuni.

Waelevu wanaona isiwe tabu vita, kumtoa huyu mtu.

Muwe wakweli raisi Samia hana uwezo kabisa.
Wewe ndiyo una uwezo, au siyo?
Mkuu 'Mayor', wakati mwingine ni vizuri nawe uwe ni mkweli kwa nafsi yako.

Hivi kweli hujui Samia kafikaje hadi hapo alipofika? Unajuwa Tanzania kuna chama (cha siasa?), kinacho jitambulisha kuwa ni Chama Cha Mapinduzi (CCM)? Sasa anzia hapo kujuwa aliko tokea Samia na kufika hadi hapo alipo sasa. Usimlalamikie mtu mwingine kwa ujio wa Samia kwenye picha; ingawa Kikwete ndiye anaye julikana kuwa mtu wa mwanzo mwanzo kumpandisha kwenye 'pedestal.'
Katiba ni shida nakubali, lakini shida zaidi pia ni civil services.

Nchi inayojitambua haiwezi ongozwa na mtu kama Samia.

Ni vipi huyu mama, kaweza kupenya hadi kuwa makamu wa raisi; Samia uwezo wake ni mdogo mno (akili zake ni ndogo mno), huo ndio ukweli.

Raisi Samia, kafikaje kwenye radar ya ulinzi wa nchi kudhani anaweza kuwa makamu wa raisi.

This is not OK.
Mwaka 2022 nilishituka Sana kusikia kutoka kwa mmojawapo wa Vigogo wa Chama Chao akitamka kwamba "Mwenyekiti wa chama tuliyenaye Sasa Hana mvuto wa kisiasa."
Nilishituka Sana kusikia kauli hii kutoka kwa mtu wa kaliba ile, kwa sababu sikutegemea kabisa kwa mtu huyo kwamba angeweza kutamka maneno haya kutokana na yeye kuwa 'kada kindakindaki' wa hicho chama chao.
 
Kuna criteria’s za mtu ambae ni coachable kwa nafasi ya uraisi.

Samia ni un-coachable simply kwa sababu uwezo wake ni mdogo mno.

Tatizo unaliona lipo kwenye civil servants, wengi ni uwezo wao mdogo sana.

Asilimia kubwa ya senior civil servants wa TRA awaelewi hata sheria za kodi, leave alone the changes which comes with the new budget. But most don’t understand the accounting principles behind the VAT act.

Ni hivi, sasa kumuongelea huyo raisi wenu Ndio shida kabisa.

Ndio maana, sioni tatizo la Tanzania kama Samia; isipokuwa 90% ya senior civil servants hawana sifa ya nafasi walizonazo.

Na wengi hawajawahi ata kusoma vitabu vya siasa it’s obvious. I can’t waste my time to justify that kwa sababu hata kwenye hili jukwaa la siasa I can go as far as to say 99% ya wachangiaji hawajawahi kusoma kitabu cha siada at foundation level.

Ndio uhalisia
Civil servants wetu ni uwezo mdogo kupindukia.
Nina marafiki ambao ni watumishi wa umma, yaani mpaka naona aibu mimi kuwa ni rafiki zangu.
 
Mwaka 2022 nilishituka Sana kusikia kutoka kwa mmojawapo wa Vigogo wa Chama Chao akitamka kwamba "Mwenyekiti wa chama tuliyenaye Sasa Hana mvuto wa kisiasa."
Nilishituka Sana kusikia kauli hii kutoka kwa mtu wa kaliba ile, kwa sababu sikutegemea kabisa kwa mtu huyo kwamba angeweza kutamka maneno haya kutokana na yeye kuwa 'kada kindakindaki' wa hicho chama chao.
Nina shemeji yangu ni mwenyekiti wa CCM wa mkoa fulani,anasema wazi CCM "ilipatwa" na Tanzania "ilipatikana" kuwa na mwenyekiti na rais huyu.
 
Samiah sio wa kumshambulia hivi!

Samiah ni zao la mfumo wetu mbovu na katiba mbovu!

Ameonyesha uwezo wake ndio huo aliojaaliwa na Muumba!Sasa atafanyaje zaidi!!?

Mfumo ndio utakua umepatia au kukosea!
Umeandika jambo la msingi sana ndugu.
Tanzania hatuna tabia ya kuwa na "succession plan" kuanzia ngazi ya familia mpaka taifa.

Huo mfumo ndio hauna kabisa mipango.
 
Understand, that was a "tongue in chick" response; which incidentally is turning into reality for the majority of leaders in government!

Leo hii ukimwamsha usingizini kiongozi yeyote, hasa wa kuteuliwa; mawaziri wote; wakuu wote wa vitengo; mwambie akutajie maneno kumi tu kwa haraka haraka. Hukosi kusikia Samia, pochi la mama; Samia kajenga, n.k.,

Hii imekuwa kama nchi ya laana. Watu wazima akili zime waruka kichwani.
TANROAD iko hoi mda wowote inakata moto
 
Kafulila na kundi lake wamepewa udalali.

Nchi haina tena state crafters ambao ni nadra kuwapata na hata tukiwapata hawaishi muda mrefu.

Tusione nchi za wenzetu zipo kama zilivyo zimeundwa na state crafters.

Sasa utaniuliza statecraft ndo nini?

Ni uwezo wa mtu au watu wanoongoza kutengeneza stratejia kwa maslahi ya nchi ili nchi hiyo isimame kiuchumi, kidiplomasia na kijeshi katika eneo lake.

Hivyo ni ufundi wa kuunda taifa la namna hiyo na hujumuisha pamoja na yote watu muhimu wa Civil Service ambao nao pia ni lazima kuwe na stream nzuri inokwenda kadi vyuo vikuu kutafuta talents kwa ajili hiyo ya kusaidia statecraft process.

Graduate wa leo katika nchi ziliondelea azungumza lugha moja na kiongozi wa nchi kuhusu mazingira na diplomasia ya uchumi akiandaliwa kuwa kiongozi wa kesho.

Ni kazi ngumu ila hakuna mkate mgumu mbele ya chai.
BRIGHTEST!

... ama mambo ya 'Twist of Faith'--kwa umma wenyewe, tena moja kwa moja.

Tujifunze 'Sala na Kazi'...

Kila mtu abebe mzigo wake!.

Revolution pertains to Freedoms, Liberty takes revolutionary movement to ‘Evolutionary’ prospects of Being and Becoming. In this regard, Love-Beauty-Strength-Resolve are possible through ‘coded Christ Consciousness’--the Golden Consciousness. Thus, ‘JAH LOVE’ in Rasta Culture is possible intonation of senses and sensibilities for ‘coded Christ Consciousness’. With JAH LOVE, field influences are possible for transforming Fraternity to Oneness, Justice to Abundance, Peace to Harmony and Freedom to Liberty.

States of Liberty, Oneness, Abundance and Harmony are diagonal to Freedom, Fraternity, Justice and Peace… Through the cube of transformation in ‘NOWNESS’, the inverse of ‘INSIGHT’ and ‘TRIZANIUM’ can be deduced. In this regard, systems view and thinking is an ‘evolutionary’ process in sentience, conscience and consciousness. Thus the ‘DHAMMA’ of Buddha is simply transformation from one cube of Being unto the dynamic Cube-ing of ALL AND EVERYTHING—All forms and energetics being eternally self referring. Then again the Wheel of Dhamma having ‘Eight Spokes’ is akin to a Trizanium within the Trizanium… And this makes Buddhism the only ‘Godless religion’…

The diagonal inner and outer squares of freedom-fraternity-justice-peace and Liberty-Oneness-Abundance-Harmony constitute the 21st century ‘Dhamma Yantra’ – An instrument for arresting intelligible contexts of all religions and/or paths articulating ‘forms and energetics’. In this regard, it is the ‘inverse’ of Outer and Inner circles of the ‘All Seeing Eye’ along with its implied 3 freedom keys of Christ Consciousness, Islam and Dhammapada.

The implications of Dhammapada, Christ Consciousness and Islam are the functional secrets of ‘virtual cube, three dimensional perspectives of transforming cube and central dot of ‘Spin’--Spin for the Whole Mandala.

Spin is key to the Swastika, kundalini of transformation, consciousness intrigues of intention and attention.
Hmmm
+++++++

View: https://www.youtube.com/watch?v=8yX5EcODDLI
 
Mwisho wa siku hii mada ilikuwa ni “Tafakuri” kama kichwa cha habari.

Sema sasa kuna mod mchawi aliebadili kichwa cha habari na kuweka maneno yake.

Vinginevyo ‘bi-tozo’ mie nakupenda mengine ni uchonganishi wa JF.

Kwetu kumekucha 👋👋👋 sijapata kuona kumbe kuna mods wagombanishi humu salaleh.
 
Samiah sio wa kumshambulia hivi!

Samiah ni zao la mfumo wetu mbovu na katiba mbovu!

Ameonyesha uwezo wake ndio huo aliojaaliwa na Muumba!Sasa atafanyaje zaidi!!?

Mfumo ndio utakua umepatia au kukosea!
Umeandika jambo la msingi sana ndugu.
Tanzania hatuna tabia ya kuwa na "succession plan" kuanzia ngazi ya familia mpaka taifa.

Huo mfumo ndio hauna kabisa mipango.
"Hana mvuto wa kisiasa."
sio mvuto, uwezo hana.
 
Kiongozi yeyote huwa hazaliwi na kuwa kuwa kiongozi...

Mtu yeyote huwa hazaliwi na kuwa kwenye kada aliyopo akiwa ameshapevuka...

Sisi sote tunazaliwa, tunakuzwa na walio wakubwa wetu, wakati fulani nasi tunakuwa wakubwa na kubebeshwa ama kubeba majukumu...

Shida huanza katika msingi ambao ni makuzi na malezi, Waafrika tangu wakiwa wadogo wanakuwa wameandaliwa kushindwa kwa sababu katika hali ya utoto hakukiwa na makuzi ya kuja kuwa kinara wa kuyakabili maisha na changamoto zake...

Ili tuweze kufika salama tuendako, tupambane kwanza na UJINGA...
 
Back
Top Bottom