Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza rais Samia

Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza rais Samia

Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.

Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.

Hana uwezo hata chembe.

That says a lot ueledi wa civil services,

It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Kwa sababu huna akili. Siku ukiwa na akili utamsikiliza huyu transformer wa uchumi uliohalibiwa na mwendazake
 
Kuna mifumo miwili.

Civil services ambao ni ulinzi wa nchi na wa sio wa mzaha kabisa kwenye ascendency. Na sina shika wa succession planning yao.

Na kuna mifumo ya vyama vya siasa (which we shouldn’t care about their nonsense) kama civil services ni imara.

Shida inakuja kwenye vyama vya siasa (huko kwenye mifumo yao ni hovyo), na kwa katiba yetu hii Ina compromise stability ya civil services kwa madaraka ya mtu wa hovyo anaeweza pewa nchi (kama ilivyo sasa).

This is not accident (hii inaonyesha pia ni kwamba civil ni weak) kukubali kuachia raisi ateuwe watu anavyojisikia.

Kwa kifupi ni kwamba kwa upande wa siasa (ain’t nobody cares) Ila kwa upande wa civil na namna ya kuongoza nchi. Kwa jicho la watu waliokaa nje hakuna watu wenye uwezo wa kuongoza nchi. Na wengi wao hawajawahi kusoma vitabu vya siasa na kuelewa namna ya kuongoza nchi ndio uhalisia.

Kazi ya kuongoza nchi sio ya mzaha
MAZUNGUMZO KWENYE HUU UZI YAKISHONWA VIZURI YATAJENGEA UWEZO WANAJAMII WANAOJITAFUTA KATIKA UKWELI WA MAMBO

Wanajamii, kwa uwingi wao, bado hawajajijenga kimawazo na mafikara ili 'washike barabara' hatamu za maendeleo ya kweli ya UTU na vitu.

Mzee George Ayittey amepata kusema: Demokrasia ya Magharibi, ilivyo ni Taasisi, ni Anasa ambayo jamii ya Waafrika hawawezi kuimudu gharama yake... Hili ni shauri lililo ni mbegu ya U-JUA-JI kuhusiana na taasisi na mifumo.


View: https://www.youtube.com/watch?v=MgbSDcd8J88

Ikiwa humu katika jukwaa hili tutaongeza nuru ya kuzungumza kuhusu 'Taasisi' na 'Utaasisi' basi mwangaza bora utaimulikia jamii yetu na basi hii kuja kuondekana na unaivu wa kimifumo.

Sasa, jamii ya watanzania walio wengi, wanaweza 'kulalama' kuhusu mengi -- mengi kuhusu utawala na maendeleo na kumbe hawana misingi fasaha ya ukweli wa mambo ya jamii na maendeleo. Kwa mfano, hata amani ya nchi inamizizi ya jitahada za wale wale wanaokosolewa labda kana kwamba 'hawajui walitendalo'.

Siasa pasipo mapana sahihi ya uono na ufikirifu mifumo ni 'sarakasi na mkate' kwa 'umma unaojitafuta'.

Kila mwanajamii anahitaji kutambua na kujitambua, kadiri ilivyobora, asili ya utaifa na unchi-dola wa mazingira yake ya utamaduni na ustawi. Hili kiufundi, linaleta chachu ya uzalendo wa kweli na kujitoa kwa moyo wote kuijenga na kuilinda nchi--kadiri ya vipawa, uwezo na mazingira wezeshi ya kiutendaji.

Katika sura ya uadilifu, kila mwanajamii ni 'jeshi la kujenga taifa' na pia ni 'jeshi la ulinzi' kwa utamaduni na ustawi wa jamii yake. Namna yeyote inayowafanya wanajamii wajigawanye kwa misingi ya 'majukumu' yao, ama tuseme kada zao ndipo kwenye 'mzizi wa fitina' ya ndani kwa ndani ya ustawi wa kweli wa jamii.

Labda kujifunza asili ya matatizo ya sura za nchi na tawala kwa muktadha wa 'Jeshi la Ulinzi' ama 'Serikali ya kiraia' vinaweza kuleta chachu ya kubaini adui mkubwa wa maendeleo ya UTU na jamii ni ukosefu wa utashi bora wa kiroho miongoni mwa wanajamii. Tukilifahamu hili kwa kina, basi linatuwajibisha sisi sote--tutie mkazo mkubwa kwenye kuitambua na kuiishi misingi ya kiroho ya taifa na utu wake...

Hata amani ya taifa ya Tanzania haielei tu--imeundwa! Kazi hii hainabudi kushughulisha wote kwa ajili ya kusudi la UTU BORA na UJAMAA.

Kwa kule kulikofahamika ni 'Ulimwengu Mpya' Amerika, hayo yalijengewa misingi Marekani; na sanamu ya Liberta pale kisiwa Liberty, New York inatukumbusha hili. Mbadala wake kijamii mabadilikoni, muktadha wa 'mambo ya nyakati', ni 'Afrika Mpya' ambavyo kazi inaendelea...

Kule Amerika >'Libertas'< yuko 'kisiwani' akiinua 'Mwenge wa uhuru' na kushikilia Tabula Ansanta--Kibao cha 'Sheria'--Sheria Kuu iliyo ni 'Upendo' katika Imani na Tumani. Kwamba 'Ulimwengu Mpya', Marekani, ni nchi ya kusudi kwa wote kuja kustawi na kuwa huru--nchi ya waliohuru.

Kwa Afrika, na tena Afrika Mashariki, >'Hekima ni Uhuru'< ndiyo 'upande wa pili' wa 'Tabula Ansarta'.

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kinachotokea mkoa ulio ni 'Bandari ya Salama', nembo yake ni 'Vesika Paisisi' yenye 'Nchi Kijani, Bahari, Mwenge na Kitabu'. Na basi kwa Afrika, Kielelezo cha 'Pambazuko Afrika', ilivyo ni 'Atlantisi Mpya', ndiyo sanamu ya >'Renasansi Afrika'< kule Dakar, Senegali. Mwalimu Kambarage alikuwa na ufahamu kuhusu haya yote, kwa namna ya rohoni, na mawaidha yake katika kijitabu 'TUJISAHIHISHE'(1962) alikazia msingi wa Elimu na Uwajibikaji ndani ya muktadha wa 'madaraka' na 'ustawi' wa jamii -- Elimu kutojinasibu na 'ubinafsi' na 'kujiinua' katika 'utu na utumishi'. Na basi, 'Uhuru na Umoja' ni msingi wa 'UPENDO na Kujaliana', ilivyo ni namna MAMA, kama vile 'Hekima na Amani' ni UONGOZI ilivyo ni namna BABA. Ustawi, kiufikirifu na Uono Mifumo, ni 'MWANA'.​

Kuzungumzia Ujamaa, Mwalimu Nyerere alilizungumza hili bayana tu; ni wajibu wetu sisi watu wa Tanzania kubaini namna sahihi za kuenendana na makusudi ya 'ushawishi ndani ya ushawishi mwingine'--hata kwa ufundi usiyokamilifu wa 'Demokrasia/Domoghasia'...​
Mwalimu Kambarage Nyerere, alipokuwa anazungumza kuhusu Ujamaa, kiuono na ufikirifu mifumo, alikuwa akijinasibu na kitu tunachokwenda kukifahamu kama 'Jeometria ya Utendekavyo Maamuzi' ambavyo ni kadiri pia kusema: ikiwa 'fahamu za watu/wanajamii' hazitanuki kupita miktadha ya ELIMU 1.0, tabia, mienendo na vitendo vyao huzaa 'Matriksi' ilivyo ni >'MCHE MRABA--KUBU'< ya 'UDHALIMU'. Lakini ikiwa fahamu za watu/wanajamii zinatanuka kufaa ELIMU 2.0 hili huleta >'TETRAHEDRONI'< ya >'NYOTA ya UKOMBOZI'<...

Basi Mwalimu alikuwa na Mwangaza wa haya, na kwa wakati alizungumza ya kufaa kwa umma; kuna yanayofaa kufahamika wakati unapokuwa sahihi -- yakifahamika kabla ya wakati sahihi, badala ya kuleta matunda thabiti, yataleta matunda legevu katika muktadha wa maendeleo na ustawi wa umma. Hapa tulipo, kama wanajamii, tunao ufunguo wa kukadirisha ikiwa tunda letu la kujinasibu na 'kujua ilivyobora' linakwenda kuwa ni thabiti ama legevu... Hapa tulipo, ni kama vile tunakaribia kujitazama katika kioo-->ili kuachana na 'utoto'<...

Kwa hivyo Mwalimu Kambarage Julius Nyerere alikuwa anajua fika mapelekeo ya kusema: Ujamaa pia ni tabia na vitendo, ujamaa ni uhusiano wa mtu na mtu na mtu na umma, ni usawa na utu, ni kuheshimu na kuheshimiana, ni haki na ni wajibu na mambo haya hayapatikani kwa amri wala kwa sheria... Huu ni 'Uono na Ufikirifu Mifumo'; Mtu wa uono na ufikirifu mifumo huona mambo kwa 'mahusiano na vitendo' na wala si 'miundo' na 'udhibiti'. Ushawishi wa mambo huwa na sura mbili kwa wakati mmoja, kutoka juu kuja chini na hapo hapo kutoka chini kuelekea juu... Ndivyo basi kwa nini 'kuheshimiana', kiujamaa, ni 'udugu'--si 'ubwana mkubwa na ubwana mdogo'... Ni 'haki' na 'wajibu' ambavyo mambo haya hayapatikani kwa 'amri' wala 'sheria'...

Kwa muktadha huu, ni vema kutambua: kule kufikiria kwetu Katiba kama 'Sheria mama' inaweza kuleta 'haki' na 'wajibu' kuna namna ni ufikirifu mushkeli wa kielimu, ELIMU 1.0... Ukosefu wa maadili na kutothamini mipaka ya mambo kwa 'jicho la staha' na 'nidhamu' haya ni mapungufu ya 'kitabia' katika 'Utu' wa mtu... Mtu wa daraja la chini la akili, husukumwa utendaji wake na 'vina vya tafsri' ya mambo vilivyo ni vya juu juu--hata kwa taratibu za maisha yake. Mtu wa namna hii ni rahisi kudhibitiwa kiakili kwa >'mifumo ya usadikifu'< na 'mienendo ya kipambe'-->maisha ya mkumbo<... Hili lafanya kwanini 'Sheria na Amri' ni vitu vya kufaa watu wa ufahamu wa chini kiakili, lakini 'uwajibikaji' na 'kujituma' ni nasibu ya 'ufahamu wenye kuinuka/kuchachuka'... Yesu amepata kuzungumza busara ya jambo hili hili katika muktadha wa 'Utaasisi na Mapokeo': Musa aliwapa watu >'Sheria za Taratibu za Maisha'< kwa shauri ya 'Mioyo' yao ilikuwa ni migumu...​
 
Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.

Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.

Hana uwezo hata chembe.

That says a lot ueledi wa civil services,

It’s a shitty county (ndio uhalisia).
mbona unashambulia bila hoja ya msingi...
 
Kiongozi yeyote huwa hazaliwi na kuwa kuwa kiongozi...

Mtu yeyote huwa hazaliwi na kuwa kwenye kada aliyopo akiwa ameshapevuka...

Sisi sote tunazaliwa, tunakuzwa na walio wakubwa wetu, wakati fulani nasi tunakuwa wakubwa na kubebeshwa ama kubeba majukumu...

Shida huanza katika msingi ambao ni makuzi na malezi, Waafrika tangu wakiwa wadogo wanakuwa wameandaliwa kushindwa kwa sababu katika hali ya utoto hakukiwa na makuzi ya kuja kuwa kinara wa kuyakabili maisha na changamoto zake...

Ili tuweze kufika salama tuendako, tupambane kwanza na UJINGA...
Mkuu waweza kuwa sawa au sio sawa ila kiongozi hupatikana kutokana na mfumo uliopo wa kutambua vipaji.

Kunakuwa na shule maalum na baadae vyuo maalum hadi kiongozi sahihi apatikana.

Mfumo huo pia waweza kuwa "compromised" na kukapatikana watu ambao hawana sifa za kuongoza.
 
Tlaatlaah
Lucas Mwashambwa
Njooni leo hapa lazima myakanyage,njooni mjibu hoja

Ova
Nimeshaeleza jambo hili kwa kina gentleman,

kwanza nimefurahia sana na kwakweli nimepongeza uamuzi na hatua alizochukua huyo kijana, mathalani hiyo ya kuamua kutokuskiza watu na kuamua kujikita kwenye kilimo, sekta ambayo Dr.Samia suluhu Hassan amefanya mageuzi na mapinduzi ya maana sana, na kufanya mazingira ya kilimo kua kimbilio la vijana kama huyo..

na nimuhakikishie tu, atatoboa maisha sana huko Asibabaike na maneno ya watu.

serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan ataendelea kua kuchochea cha vijana wengi nchini kufikia ndoto na matarajio yao ya maisha.🐒

Mungu ibariki Tanzania 🌹
 
Nimeshaeleza jambo hili kwa kina gentleman,

kwanza nimefurahia sana na kwakweli nimepingeza uamuzi na hatua alizochukua huyo kijana, mathalani hiyo ya kuamua kutokuskiza watu na kuamua kujikita kwenye kilimo, sekta ambayo Dr.Samia suluhu Hassan amefanya mageuzi na mapinduzi ya maana sana, na kufanya mazingira ya kilimo kua kimbilio la vijana kama huyo..

na nimuhakikishie tu, atatoboa maisha sana huko Asibabaike na maneno ya watu.

serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan ataendelea kua kuchochea cha vijana wengi nchini kufikia ndoto na matarajio yao.🐒

Mungu ibariki Tanzania 🌹
Kilimo mnalima nyie kwa maneno
Haha au mnawalimisha wenzenu kwa meno
Nyie mnajulikana mnaishi kwa tantalila 😄

Ova
 
Kilimo mnalima nyie kwa maneno
Haha au mnawalimisha wenzenu kwa meno
Nyie mnajulikana mnaishi kwa tantalila 😄

Ova
kijana kachukua uamuzi mgumu kuachana na maneno ya watu na kuamua kwenda kulima, wewe unambeza gentleman, why lakini aise?

kwahiyo unaona hayo ni maamuzi ya mchezo mchezo? unadhani kwanini hakusema bora akapige debe au kufanya kazi za saidia fundi akaamua bora akalime?🐒
 
Nimeshaeleza jambo hili kwa kina gentleman,

kwanza nimefurahia sana na kwakweli nimepingeza uamuzi na hatua alizochukua huyo kijana, mathalani hiyo ya kuamua kutokuskiza watu na kuamua kujikita kwenye kilimo, sekta ambayo Dr.Samia suluhu Hassan amefanya mageuzi na mapinduzi ya maana sana, na kufanya mazingira ya kilimo kua kimbilio la vijana kama huyo..

na nimuhakikishie tu, atatoboa maisha sana huko Asibabaike na maneno ya watu.

serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan ataendelea kua kuchochea cha vijana wengi nchini kufikia ndoto na matarajio yao.🐒

Mungu ibariki Tanzania 🌹
Umekuwa ukitumia neno mapinduzi makubwa ya kilimo au "agriculture revolution".

Mapinduzi makubwa ya kilimo ni mabadiliko ya kimkakati katika kilimo na ni muhimu yaani "significant" katika njia mpya au invetion, ugunduzi mpya au discoveries, au matumizi ya teknolojia mpya njia ambazo zitabadili na kuongeza uzalishaji na kiwango cha uzalishaji.

Je, mapinduzi hayo yapo kwenye ngazi zipi uzalishaji au teknolojia, uzalishaji mbegu, teknoljia mpya katika uzalishaji mbegu bora za mazao au maeneo yapi?

Tupatie Case studies au success stories za watu kutoka kwenye kilimo ndani ya miaka 10 ilopita ambao ni wapya si watu walewale?

Ukizungumza mapunduzi ya kilimo uwe tayari kufafanua.

Si tu kusema kisiasa kwamba watu wapewa mapesa wayatupe kwenye kilimo.

Tusizungumze tu neno mapinduzi makubwa ya kilimo kisiasa wakati bado kuna changamoto kubwa khasa uzalishaji wa mazao kama miwa.
 
Umsikilize au usimsikilize haikusaidii kitu ila kama wewe ni mtumishi au Waziri lazima utatekeleza orders zake utake au usitake.

Mwisho mtu asiye na uwezo angeshindwa kuihimili Nchi vinginevyo ni shida zako binafsi.

Bad news kwako Mr uwezo ni kwamba Samia yupo Hadi 2030 na huna uwezo wa kumtoa Wala kumfanya chochote 😆😆😆😆
 

Attachments

  • 5744975-8bcb85f1807b40dfe9b1bdf5a6eabbb0.jpg
    5744975-8bcb85f1807b40dfe9b1bdf5a6eabbb0.jpg
    8 KB · Views: 2
Katiba ni shida nakubali, lakini shida zaidi pia ni civil services.

Nchi inayojitambua haiwezi ongozwa na mtu kama Samia.

Ni vipi huyu mama, kaweza kupenya hadi kuwa makamu wa raisi; Samia uwezo wake ni mdogo mno (akili zake ni ndogo mno), huo ndio ukweli.

Raisi Samia, kafikaje kwenye radar ya ulinzi wa nchi kudhani anaweza kuwa makamu wa raisi.

This is not OK.
CCM ndio chama

Hiyo ni nyuzi yako tena ukamsifia Samia kabisa.
 
Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.

Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.

Hana uwezo hata chembe.

That says a lot ueledi wa civil services,

It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Fanya hivi… nenda katukane ikulu halafu ndo utajua kwamba ana uwezo ama hana yaani utashenyentwa bila hata kumuona huyo samia
 
Kuna criteria’s za mtu ambae ni coachable kwa nafasi ya uraisi.

Samia ni un-coachable simply kwa sababu uwezo wake ni mdogo mno.

Tatizo unaliona lipo kwenye civil servants, wengi ni uwezo wao mdogo sana.

Asilimia kubwa ya senior civil servants wa TRA awaelewi hata sheria za kodi, leave alone the changes which comes with the new budget. But most don’t understand the accounting principles behind the VAT act.

Ni hivi, sasa kumuongelea huyo raisi wenu Ndio shida kabisa.

Ndio maana, sioni tatizo la Tanzania kama Samia; isipokuwa 90% ya senior civil servants hawana sifa ya nafasi walizonazo.

Na wengi hawajawahi ata kusoma vitabu vya siasa it’s obvious. I can’t waste my time to justify that kwa sababu hata kwenye hili jukwaa la siasa I can go as far as to say 99% ya wachangiaji hawajawahi kusoma kitabu cha siada at foundation level.

Ndio uhalisia
Hapo ndio nimekuelewa level za watumishi wengi wa umma ni incompetent
 
Ra

Rafu za uteuzi wa Mgombea Urais 2015. Baada ya Magufuli kupita na akataka Hussein Mwinyi awe Makamu akachomekewa Mwanamke kama alivyochomekewa Samwel Sitta kwenye Uspika. Mcheza michezo hiyo anajulikana na huenda akaendelea kucheza ili mradi ananufaika nayo.
Kwa nini alimteua tena 2020??
 
Back
Top Bottom