Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza rais Samia

Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza rais Samia

Hakuna mtu punguani aliyekuwa na uwezo wa kutuokoa na hili zimwi na hakufanya wajibu wake kama Mabeyo. Yule mpuuzi ni mjinga asiyejua nini maana ya uzalendo. Alishindwaje kupindua serikali na kuhakikisha watanganyika wanaongoza nchi Yao kwa maslahi ya vizazi vijavyo kama magufuli, majaliwa na kina kabudi walivyofanya? Yani Mabeyo hata kama katiba imesema ujinga yeye anaufuata huo upuuzi kisa katiba imesema! Mimi nisingewafikisha hapo watanganyika wenzangu asilani
 
I am not motivated on gaining materials which I don’t think I have worked hard to gain them.

Nor being comfortable to gain positions which I don’t think, I earned them on merit.

Probably there was something na malezi yetu ya ‘Arusha School’ kwa miaka yetu, alichosema Mange ndio uhalisia wa wengi wetu, hatuko comfortable na kupewa vitu ambavyo atujavipagia.

Personal imefikia hatua, vigogo wakubwa wa usalama wanataka nirudi naona kama vile sistahili.

Siamini kwenye mafanikio ya kupewa, isipokuwa ya kuyapigania. Na tafsiri yangu ya mafanikio na mtu kama Lugumi ni tofauti sana.
Swali ni wangapi wanaweza kuwa kama wewe? Ni madiwani wawili tu walikataa udiwani baada kushuhudia uchakachuaji ili kuwapendelea! Rais Shein kule Zenj 2015 alikubali maalimu aapishwe akili ndogo Kikwete akamkwapua uadilifu kwa kuchakachua kwa nguvu! It is about integrity!!
 
Katiba ni shida nakubali, lakini shida zaidi pia ni civil services.

Nchi inayojitambua haiwezi ongozwa na mtu kama Samia.

Ni vipi huyu mama, kaweza kupenya hadi kuwa makamu wa raisi; Samia uwezo wake ni mdogo mno (akili zake ni ndogo mno), huo ndio ukweli.

Raisi Samia, kafikaje kwenye radar ya ulinzi wa nchi kudhani anaweza kuwa makamu wa raisi.

This is not OK.
Katiba ndio ilimuweka mzee, hata kama humkubali , iko hivi kama rais akitokea bara basi makamu atatokea kisiwa.

Kutokana na vuguvugu la kisiasa kwa kipindi kile, ilibidi watu wa chama waangalie ni namna gani ya kutuwin watanzania.

Sasa kwa kuwa wapiga kura wengi ni wanawake, ikaja agenda ya kuleta mgombea mwenza awe mwanamke ili kuwin kura nyingi za wanawake(maana ndio wapiga kura).

Sasa kuzoom upande wa pili kisiwa, dodo likamdondokea mazeri(Huyu mama, Mungu kampa bahati ya mtende, Mwenyezi Mungu ambariki tena na tena)

Na kwa kuwa kazi(majukumu) za umakamu huwa zinajulikana ni mbili tu,
1) Kupanda maua
2) kuzindua majengo
(Hii kazi hata wewe mtoa mada unaiweza)


Ikawa ndo vile tena, ukipanga jambo, mwenyezi Mungu nae anapanga lake, na kwa kuwa sheria ni msomeno kinywe kikombe cha uchungu taratiiiibu, muda wake ukiisha utachagua mwingine.

Mie sio mpenzi wa siasa, ila mama amejitahidi sana asee!!!

Safari za Dodoma siku hizi ni kama unaenda hapo kkoo tu.
 
Tanzania hatuna mgombea binafsi. Nilitegemea kama kulaumu ulaumu waliomwezesha kufika hapo. Labda kuna uwezo wanauona ambao wewe hujaweza kuutambua.
 
Mwaka 2022 nilishituka Sana kusikia kutoka kwa mmojawapo wa Vigogo wa Chama Chao akitamka kwamba "Mwenyekiti wa chama tuliyenaye Sasa Hana mvuto wa kisiasa."
Nilishituka Sana kusikia kauli hii kutoka kwa mtu wa kaliba ile, kwa sababu sikutegemea kabisa kwa mtu huyo kwamba angeweza kutamka maneno haya kutokana na yeye kuwa 'kada kindakindaki' wa hicho chama chao.
Wenyekiti wa vyama wapo wengi. Weka ushahidi wa uyasemayo, la sivyo unabaki kuwa ni uzushi wako tu.
 
Katiba ndio ilimuweka mzee, hata kama humkubali , iko hivi kama rais akitokea bara basi makamu atatokea kisiwa.

Kutokana na vuguvugu la kisiasa kwa kipindi kile, ilibidi watu wa chama waangalie ni namna gani ya kutuwin watanzania.

Sasa kwa kuwa wapiga kura wengi ni wanawake, ikaja agenda ya kuleta mgombea mwenza awe mwanamke ili kuwin kura nyingi za wanawake(maana ndio wapiga kura).

Sasa kuzoom upande wa pili kisiwa, dodo likamdondokea mazeri(Huyu mama, Mungu kampa bahati ya mtende, Mwenyezi Mungu ambariki tena na tena)

Na kwa kuwa kazi(majukumu) za umakamu huwa zinajulikana ni mbili tu,
1) Kupanda maua
2) kuzindua majengo
(Hii kazi hata wewe mtoa mada unaiweza)


Ikawa ndo vile tena, ukipanga jambo, mwenyezi Mungu nae anapanga lake, na kwa kuwa sheria ni msomeno kinywe kikombe cha uchungu taratiiiibu, muda wake ukiisha utachagua mwingine.

Mie sio mpenzi wa siasa, ila mama amejitahidi sana asee!!!

Safari za Dodoma siku hizi ni kama unaenda hapo kkoo tu.
Kiongozi, hii mada ilikuwa kama ‘poser’ tu kwa upande wa mwanzilishi.

Shida ni hiyo title iliyowekwa na moderator mmoja mchawi kama ‘leading statement’.

Vinginevyo asubuhi njema
 
Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.

Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.

Hana uwezo hata chembe.

That says a lot ueledi wa civil services,

It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Umsikilize au usimsikilize haikusaidii kitu ila kama wewe ni mtumishi au Waziri lazima utatekeleza orders zake utake au usitake.

Mwisho mtu asiye na uwezo angeshindwa kuihimili Nchi vinginevyo ni shida zako binafsi.

Bad news kwako Mr uwezo ni kwamba Samia yupo Hadi 2030 na huna uwezo wa kumtoa Wala kumfanya chochote 😆😆😆😆
 
Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.

Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.

Hana uwezo hata chembe.

That says a lot ueledi wa civil services,

It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Acha mihemko si kila usichokielewa wewe na wenzako hawakielewi muache mama aupige mwingi
 
Ra
Katiba ni shida nakubali, lakini shida zaidi pia ni civil services.

Nchi inayojitambua haiwezi ongozwa na mtu kama Samia.

Ni vipi huyu mama, kaweza kupenya hadi kuwa makamu wa raisi; Samia uwezo wake ni mdogo mno (akili zake ni ndogo mno), huo ndio ukweli.

Raisi Samia, kafikaje kwenye radar ya ulinzi wa nchi kudhani anaweza kuwa makamu wa raisi.

This is not OK.
Rafu za uteuzi wa Mgombea Urais 2015. Baada ya Magufuli kupita na akataka Hussein Mwinyi awe Makamu akachomekewa Mwanamke kama alivyochomekewa Samwel Sitta kwenye Uspika. Mcheza michezo hiyo anajulikana na huenda akaendelea kucheza ili mradi ananufaika nayo.
 
Ana shida gani Samia?

Mbona mimi nampenda sana na natamani aendelee zaidi
 
Understand, that was a "tongue in chick" response; which incidentally is turning into reality for the majority of leaders in government!

Leo hii ukimwamsha usingizini kiongozi yeyote, hasa wa kuteuliwa; mawaziri wote; wakuu wote wa vitengo; mwambie akutajie maneno kumi tu kwa haraka haraka. Hukosi kusikia Samia, pochi la mama; Samia kajenga, n.k.,

Hii imekuwa kama nchi ya laana. Watu wazima akili zime waruka kichwani.
Hatari sana
 
Ukisema akili hana nadhani si kauli sahihi kwani yeye ndie first citizen, hivyo heshima ni ya kulazimika nadhani labda useme mawazo yake yametekwa.

Kuna jamaa humu alileta mada inohusu state capture kaongelea namna state inavyoweza kuwa chini ya watu fulani ambao ndo wenye maamuzi.

Kisha mie pia kuna mada humu niliongelea kuhusu madhara ya nchi kuruhusu mfumo wa Kleptokrasia ambao pia ni mfumo unokuwa chini ya watu wachache na viongozi ambao huiba na kujilimbikizia mali za taifa.

Hivyo hata kama hyupoo kiongozi ambae amefumbwa na mifumo kama hiyo si kwamba hana akili ila huwaza namna ya kuchomoka lakini bado ana kuwa limited ni maamuzi yepi yatatimizwa au kuzimwa na mifumo hiyo.

Kwa bahati mbaya yaonekana nchi yetu imekumbwa na mifumo yote miwili yaani "double knock factors".
Katiba ya Tanzania inampa uhuru mkubwa mno Rais. Hakuna raia wa Tanzania anayeweza mtishia Rais au kumkwamisha, Rais akikwama ujue ni suala la uwezo wake mdogo.
 
Huko wala usijali waziri wa mambo ya nje kwa sasa, ni mtaalamu.

Lakini Samia akili hana, lazima tukubaliane kwenye hilo watanzania.

Kafikaje hapo halipo MaCCM yanajua yenyewe succession planning. Mimi binafsi siwezi kukaa kikao ata cha mtaa kitachoongozwa na Samia.

Huyu mtu Kafikaje hapo na Generał Mabeyo kabisa aliwapinga watu apewe nchi is beyond me.

Samia akili hana, huo ni ukweli usiopingika.
Samia amekufanya nini bro!?
 
Bado hujaeleweka, kwa mfano ameshindwa kuongoza nini?

Mbona Uchumi unakuwa, Mikopo kwa Wanafunzi wa level zote Diploma & Degree ipo, Mikopo kwa Wakulima inapatikana, Miradi mikubwa inaendelea kutekelezwa

Umeona kuna Mkwamo wapi?
mfumuko wa bei,
kuzibiti/kupunguza matumizi ya serikali.
kutapanya maliasili [bandari,mbuga wanyama vitalu] kwa magabacholi wa uarabuni [wajomba]
 
Umsikilize au usimsikilize haikusaidii kitu ila kama wewe ni mtumishi au Waziri lazima utatekeleza orders zake utake au usitake.

Mwisho mtu asiye na uwezo angeshindwa kuihimili Nchi vinginevyo ni shida zako binafsi.

Bad news kwako Mr uwezo ni kwamba Samia yupo Hadi 2030 na huna uwezo wa kumtoa Wala kumfanya chochote 😆😆😆😆
Haya bhana.
 
Back
Top Bottom