Mimi mkataa ndoa naangamia rohoni: Nishaurini ili nipone


Mbona una "accuse" watu na hoja chafu hivi...

Mimi Nina uhusikaje na ushoga.

Na walioacha ndoa zao wakawa single NA WAO NI MASHOGA??

#YNWA
 

Amen.

#YNWA
 
Mi naungana na mdau aliyesema uache kiburi, ongea na watu upate uhamisho uhamie iliko biashara yako.

Ukishafanikiwa kuhama ndipo utaweza kujifanyia assessment ikiwa unaipenda kazi yako au hauipendi tena.

Jitahidi kuifanya biashara yako ijiendeshe bila micromanaging, all successful business hazihitaji uwepo ili ziende, zinahitaji uajiri watu sahihi ili ziende, kama biashara haijafikia kiwango hiki elewa kuwa bado haijakua, endelea kuilea ikomae hapo baadae utaacha kazi.

Nasisitiza: unaweza dhani unakichukia kitu kumbe una hasira nacho, ondoa hasira ndio utajua unakichukia au haukichukii.

NB. Kama biashara yako haikulipii mshahara, haikuhudumii kwa chochote, haikulishi bado haijakua, Tz biashara nyingi za watumishi ni za aina hii, mtu anahisi biashara yake ni kubwa kumbe ni kitengo cha kutakatishia pesa zinazochotwa, uhalisia utakuja ikiwa mrija x wa pesa utafungwa.

Kila la heri mwenyekiti WAWANDO (wa wakataa ndoa)
 

Kifupi biashara yangu huzalisha faida ya 40,000 na zaidi Kwa siku.

#YNWA
 
Kiufupi wewe hushauriki na haina haja kukushauri labda ukishindwa upande wa kataa ndoa kataa kuoa ndio ntskushauri ila Kwa Sasa ubaki hivyo hivyo kibaharia.
 
Em niajiri mm chap nikusimamie hyo biashara Yako we ufanye kazi
 
Endelea kutafuta uhamisho,Mwajiri kukomenti kuwa bado anakuhitaji sio jibu la msingi mtumishi anapoomba uhamisho.Kama una sababu ya msingi ya kuomba uhamisho,omba copy ya barua yako nenda Tamisemi watakusaidia.

Hata kama ni mimi nisingekuwa na amani kwenye kazi kwenye halmashauri ambayo walikutuhumu wakakusimamisha kazi alafu wakakurudisha tena kazini.

Pia kitu ambacho ukifahamu ndugu ni kuwa ukiacha kazi mwenyewe hilo deni la mkopo utalipa tu kwa namna ya mkataba wa mkopo unavyosema.
 
Kuacha kazi ni vita iliyopo mioyoni mwetu wengi inahitaji roho ngumu kuacha kazi ila IPO siku nitaamua
 
wee jeurika na ako ka biznes utakuja kutamani kufuta koment humu..

hayo ni maisha yao na siri ya mafanikio katu akuna ataekuambia vyote zaid utaambiwa juujuu tu ili uzoleke km mzoga.
Usimtishe bhana watu wengi tu wameacha kazi na maisha yanasonga fresh,,kusaini km mfungwa Kila siku ni utumwa..
 
Ushauri wangu ni kuwa chukua ofisi Y na ugawanye na fani X huku ukizingatia kuwa hiyo Y ukiiongezea kakitu kadogo kwa chini inaweza kugeuka X na hiyo X ukiifutia kakitu kadogo kwa chini inageuka kuwa Y

Baada ya hapo ujue duniani ukishakuwa mtu mzima na hujafa ukiwa mtoto machaguo ni mawili uoe au uolewe kwakua umekataa kuoa chaguo la pili litakufaa.

Fata msimamo wako
 
Ungekuwa mzalendo ungepambana kuzirudisha 1.5Triliiliiiiiiiiiiiion na hapo kati Kuna 7.5B wewe unataka tufanye kazi km punda huku nyie mkitanua kwenye V8.... Walioshika mpini hawataki mifumo imara Ili waendelee kupiga .... Boss wangu nishamwambia muda wa kazi ukiisha tusisumbuane we have family to feed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…