Sasa kitendo cha kuchuma wote mali maana yake amekusaidia majukumu yako, mfumo dume unataka mume umhudumie mkeo kwa mali ulizochuma mwenyewe, bila kutegemea akusaidie majukumu yakohaina noma ila kwenye mali labda tulizochuma wote, kama alinikuta nazo BIG NOOOOOO
Apana sio halali kuendelea na mfumo dume, kila mmoja apambane chakula kiwekwe mezani mkizinguana mkashindwana, kila mmoja apite kushoto .Lakini kwa mfano kama wewe mkuu huwa unasema unakataa ndoa kwa sababu wanawake wanafuata pesa na mali kwenye ndoa, maana yake ni kwamba unataka wanawake nao wajitafutie pesa na mali zao wasitegemee za mwanaume si ndio, sasa nakuuliza je unaona ni sahihi wewe kutaka mfumo dume kumtawala mwanamke ikiwa hutaki kutekeleza majukumu yako juu ya mwanamke wako
Toa mashoga hapo, ushoga hauhusiani na matatizo au kutokua na akili, sijuagi kwann huwa mnahusisha nalo hili.
Mbona mashoga ndo wanao ongoza ku run dunia kwa sasa, wakiwa wana deliver vitu mbali mbali vinavyorahisisha maisha ktk nyanja zote.
Hapa sijazungumzia wale wanaofanya ushoga kama sexual identity yao bali wale wanaofanya ushoga ili kutafuta urahisi wa maisha na hao ndio wengi sasa mimi sijui kuwatofautisha kwa majina ndio maana nikawa address tu kama mashoga, mimi huwa siwalaani mashoga na at times huwa nawatetea lakini huwezi kuwaweka kundi moja watu kama kina Steve Jobs au Tim Cook na hawa vijana wa mitaani wanaofanya ushoga kama kazi ili wapunguze ukali wa maisha na si kwamba eti wanapenda, ndio maana nikawaweka kundi moja na machawa maana wao wanaona hizo ni kazi lakini ukweli ni kwamba hawana akili kiasi cha kuwalinganisha na baadhi ya wanawake"Ushoga ni ukosefu wa akili" Wewe ni mjinga kama wajinga wengine .
Oohh kwa michango yako huwa nadhani na wewe ni muumini wa mfumo dume mkuu, kiukweli wanaume wengi ni wanafiki sana wanataka mfumo dume kwa wake zao ila kwa mabinti zao hawautaki, ukiwauliza vipi unataka binti yako naye amtendee mumewe kama vile unavyotaka mkeo akutendee wewe hawana majibuApana sio halali kuendelea na mfumo dume, kila mmoja apambane chakula kiwekwe mezani mkizinguana mkashindwana, kila mmoja apite kushoto .
Ndio maana tunaukataa mfumo dume kwa kuwapa mabinti zetu elimu na kuwafanya wajiamini na kujipambania kama tufanyavyo wanaume .
Humu watu wanataka mfumo dume kimaneno ila kimatendo wanapambana binti zao waende shule za maana wajitambue, na kuwa na maarifa ya kujipambania.
Sasa kitendo cha kuchuma wote mali maana yake amekusaidia majukumu yako, mfumo dume unataka mume umhudumie mkeo kwa mali ulizochuma mwenyewe, bila kutegemea akusaidie majukumu yako
Huo mfumo umepitwa na wakati ukiiendekeza kila siku utakua na makasiriko ,mwisho wa siku unakufa bila furaha, watu huwa wanabadilika.Oohh kwa michango yako huwa nadhani na wewe ni muumini wa mfumo dume mkuu, kiukweli wanaume wengi ni wanafiki sana wanataka mfumo dume kwa wake zao ila kwa mabinti zao hawautaki, ukiwauliza vipi unataka binti yako naye amtendee mumewe kama vile unavyotaka mkeo akutendee wewe hawana majibu
Kiongozi hata mimi pia sikubaliani na mfumo dume. Palipo na mfumo dume hakuna UPENDO. Na sisi wanaume tumeelekezwa kumpenda mwanamke. Kupenda ndani yake kuna kujali, kumlinda, kumuelekeza kwa staha, kumtekelezea mahitaji yake na vyote vinavyoendana na upendo. Mwanamke ameelezwa amtii mwanaume.Sawa hatujakataa hilo lakini huo utawala unakuja pamoja na majukumu juu ya hao wanawake, uzi wangu unasema kama unataka kumtawala mwanamke basi ni lazima umhudumie bila kutaka naye akufanyie hivyo, mkishaanza kutaka kusaidiwa majukumu yenu na wanawake hapo ndipo mfumo dume unapokosa maana na kuanza kupingwa
Mfumo dume ni jambo ovu pia.Mkuu hakuna jipya chini ya jua maovu yote yalianza tangu kipindi cha agano la kale, kipindi ambacho mfumo dume ulikuwa umeshika hatamu na feminism ilikuwa haina hata dalili, au wewe unaweza ukaniambia ni maovu gani ambayo hayakuwepo enzi hizo na je mfumo dume umefanya nini kuzuia maovu yaliyokuwepo
Nina majibu manne kwenye hii paragraph yako.Mkuu unaposema "mali mbona ni za mwanaume ila mkiachana zinakatwa 50/50" unamaanisha nini, je wakati wa ndoa yenu ulikuwa unamsaidia kufanya majukumu ya nyumbani ikiwemo kulea watoto tangu wakiwa wachanga, na je alikuwa hakupi ile heshima na utii kama mwanaume au hayo hayawi considered
Lakini hoja nyingineMkuu unaposema "mali mbona ni za mwanaume ila mkiachana zinakatwa 50/50" unamaanisha nini, je wakati wa ndoa yenu ulikuwa unamsaidia kufanya majukumu ya nyumbani ikiwemo kulea watoto tangu wakiwa wachanga, na je alikuwa hakupi ile heshima na utii kama mwanaume au hayo hayawi considered
LakiniMkuu unaposema "mali mbona ni za mwanaume ila mkiachana zinakatwa 50/50" unamaanisha nini, je wakati wa ndoa yenu ulikuwa unamsaidia kufanya majukumu ya nyumbani ikiwemo kulea watoto tangu wakiwa wachanga, na je alikuwa hakupi ile heshima na utii kama mwanaume au hayo hayawi considered
4.Mkuu unaposema "mali mbona ni za mwanaume ila mkiachana zinakatwa 50/50" unamaanisha nini, je wakati wa ndoa yenu ulikuwa unamsaidia kufanya majukumu ya nyumbani ikiwemo kulea watoto tangu wakiwa wachanga, na je alikuwa hakupi ile heshima na utii kama mwanaume au hayo hayawi considered
Sasa kama hilo lipo kwanini ukatae kutangulia mbele kwenda kupambana na jambazi kwa kigezo cha maumbile??Na hata hivyo mbona wapo wanawake wengi tu wanaopambana na wanaume katika mazingira tofauti tofauti na wanashinda, nilichogundua wanawake wengi bado wanasita kuitumia hiyo 50/50 kwa asilimia mia kwa sababu wanaume wengi bado mnataka mfumo dume, siku mkiachana kabisa na mfumo dume basi hata wanawake nao watakubali kufanya hayo mnayotaka wafanye bila hiyana
Kwanza nataka nijue, nawewe ni mmoja wapo wa hao wanaofanya kazi ngumu??Na ukizingatia siku hizi wanawake wengi tu wanafanya kazi ngumu mnazoziita za kiume kuna hadi makomandoo wanawake kwenye majeshi ya nchi mbalimbali, ila ninyi hadi leo bado mnakomaa kwamba majukumu ya nyumbani ni ya mwanamke na kwamba bado mwanaume anatakiwa amtawale mwanamke, sasa kwa mitazamo hiyo wanawake wanaona kama mnataka kuwatapeli yani eti wakubali majukumu sawa ndio muwape haki sawa
Inawezekana ukawa na majukumu mengi kakini yasiwe magumu.Lakini kumbe shida yenu mnataka wafanye majukumu mengi zaidi huku hiyo haki sawa yenyewe mnasuasua kuwapa na mnaitafutia visingizio vingi, na kama nilivyosema hii haki sawa kwa asilimia kubwa ililenga zile day to day activities sasa mambo ya kupigana vita na kupambana na majambazi siyo day to day activities kwenye individual life, kuna wanaume wengi tangu wanazaliwa hadi wanakufa wazee hawajawahi kupigana vita au kupambana na majambazi kabisa
Na mahali tulipe wote.Ndio, kuna msemo unasema "with great authority comes great responsibility" yani kila mamlaka makubwa huambatana na majukumu makubwa, lakini jambo la kushangaza ni kwamba wanaume wengi hasa wa kiafrika wanayataka hayo mamlaka tu ila majukumu hawayataki
Mimi naona ifike pahala dunia iachane rasmi na mfumo dume na haki sawa ishike hatamu, kwa sababu wanaume hawataki tena majukumu hivyo hata hayo mamlaka hayawafai, wanaume wengi hawataki haki sawa ila wanataka majukumu sawa tena ikibidi mwanamke ndio afanye zaidi ya mwanaume
MImi naona kusiwe tena na mgawanyo wa majukumu yani hata kazi za nyumbani zifanywe na wote kama ambavyo kutafuta pesa limekuwa ni jukumu la wote, majukumu ya mwanamke yabaki yale ya asili na ya kimaumbile tu ambayo ni kubeba ujauzito, kuzaa na kunyonyesha, hayo tu ndio ambayo mwanaume hawezi kuyafanya ila majukumu mengine yote ya nyumbani kama kupika, kuosha vyombo, kufua, kusafisha nyumba, kulea watoto tangu wakiwa wachanga mfano kuwasafisha, kuwauguza wakiumwa, nk yafanywe na wote kwa usawa kabisa
Na vile vile kwa mfano mume akiweka laki mezani na mke naye aweke laki mezani mahitaji yote ya nyumbani wanunue kwa usawa bills zote walipe kwa usawa, na watoto wao wawahudumie kwa usawa ikiwemo kuwalipia ada na mahitaji yao mengine yote kwa usawa, hiyo ndio maana halisi ya 50 50 siyo mmoja anamtegea mwenzie eti mtu anataka pesa mtafute wote na bills mlipe wote, ila kazi za nyumbani na kulea watoto afanye mmoja na bado huyo mmoja amtii mwenzie na amlee kama anavyowalea watoto wake, what kind of cockamamie logic is this
Na jambo jingine naona pia tuachane na suala la mwanaume kumtawala mwanamke kila mtu ajitawale mwenyewe kusiwe na habari za kichwa cha familia, yani hakuna tena kusema kwamba mwanamke anatakiwa amtii mumewe kila mtu awe na maamuzi juu ya maisha yake mwenyewe, kusiwe na wa kumuongoza mwenzake na pia kusiwe na habari za kuoa wala kuolewa tena bali iwe ni kuoana
Mnawalaumu wanawake kuwa wanadai haki sawa halafu hawataki majukumu lakini mnasahau kwamba sababu ya wao kukataa hayo majukumu ni kwa sababu mnataka wafanye yale ya kwenu tu, ila ya kwao bado mmewaachia wenyewe hamtaki kuyafanya yani huwezi kumuambia mwanamke ajitafutie pesa zake na akusaidie majukumu, halafu hapo hapo bado unataka huyo mwanamke akufanyie majukumu ya nyumbani na bado akupe heshima na utii
Kwanza hapo huyo mke anakuwa siyo msaidizi tena bali ni kama business partner tu hivyo ondoa kichwani suala la kumlazimisha akutii, hivi mnadhani mwanamke aliambiwa amtii mwanaume kwa misingi gani kama siyo kuhudumiwa maana huwezi kukitawala kiumbe usichokihudumia, hakuna binadamu mwenye akili timamu anayefurahia kutawaliwa na binadamu mwenzie asiyewajibika kwa lolote juu yake na kiuhalisia ukitoa huduma zinazohusisha pesa hakuna wajibu mwingine mwanaume alionao juu ya mwanamke
Kama ikiwa mtoto anamtii mzazi wake kwa sababu amemzaa na amemlea, watu wa dini wanaitii miungu yao kwa sababu wanaamini imewaumba na inawapa uhai, je mwanamke anapaswa amtii mumewe kwa sababu gani, tena hata mtoto mwenyewe akishatoka kwao akaanza kujitegemea kinachobaki kwa mzazi wake ni ile heshima tu kuwa amemzaa, lakini huyo mzazi anakuwa hana mamlaka tena ya kumpangia mtoto maisha yake mfano afanye kazi gani au arudi nyumbani muda gani kwa sababu hamhudumii tena
Sasa inashangaza pale mwanaume anapotaka mkewe atafute pesa wasaidiane maisha kwa kisingizio kwamba mke naye ana mikono miwili na miguu miwili, ila huyo huyo mwanaume haoni ajabu kumtawala huyo mke mwenye mikono miwili na miguu miwili kama yeye, yani imefikia hatua wanaume wanaona uchungu kugawana mali na wake zao na wengine ndio kabisa hawataki kuoa kwa kisingizio kwamba eti wakishafanikiwa wake zao watadai talaka ili wagawane mali
Yani hawaconsider tena yale majukumu yote ambayo wake zao wanawafanyia pamoja na utii ambao wake zao wanawapa, siku hizi wanadai kwamba kila mtu ajitafutie pesa zake na ikitokea wameachana kila mtu aondoke na chake, lakini cha kushangaza kwenye majukumu mengine hawasemi kila mtu afanye kwa usawa na kwenye suala la mamlaka hawasemi kila mtu ajitawale mwenyewe
Wale waumini wa ukristo hasa wanaume kama mmeamua kufuata maandiko basi fuateni yote, na kama mmeamua kuyapuuzia basi yapuuzieni yote msichague yale yanayowanufaisha ninyi tu halafu mengine mnajifanya hamyaoni, kwa sababu maandiko yanasema mume ndio atakula kwa jasho na si mke, halafu mbele ndio yanaendelea kwamba mwanaume atamtawala mwanamke, yule mke mnayemuota wa Mithali 31 yalikuwa mawazo binafsi ya mfalme Suleiman na si maagizo ya muumba
Hivo basi ifike pahala wanaume mchague moja kati ya mwanamke mfanyakazi/mfanyabiashara au mama wa nyumbani, na aina yoyote utakayochagua hapo lazima ukubaliane na sifa zinazoambatana na aina hiyo ya mwanamke siyo unachagua mfanyakazi/mfanyabiashara mnasaidiana majukumu, halafu hapo hapo unataka awe kama mama wa nyumbani au unachagua mama wa nyumbani halafu hutaki kumhudumia unaanza kumuona golikipa
Hii 50/50, imekuwa strategy ya muda mrefu ya mabeberu kusambaza ushoga duniani.Ndio, kuna msemo unasema "with great authority comes great responsibility" yani kila mamlaka makubwa huambatana na majukumu makubwa, lakini jambo la kushangaza ni kwamba wanaume wengi hasa wa kiafrika wanayataka hayo mamlaka tu ila majukumu hawayataki
Mimi naona ifike pahala dunia iachane rasmi na mfumo dume na haki sawa ishike hatamu, kwa sababu wanaume hawataki tena majukumu hivyo hata hayo mamlaka hayawafai, wanaume wengi hawataki haki sawa ila wanataka majukumu sawa tena ikibidi mwanamke ndio afanye zaidi ya mwanaume
MImi naona kusiwe tena na mgawanyo wa majukumu yani hata kazi za nyumbani zifanywe na wote kama ambavyo kutafuta pesa limekuwa ni jukumu la wote, majukumu ya mwanamke yabaki yale ya asili na ya kimaumbile tu ambayo ni kubeba ujauzito, kuzaa na kunyonyesha, hayo tu ndio ambayo mwanaume hawezi kuyafanya ila majukumu mengine yote ya nyumbani kama kupika, kuosha vyombo, kufua, kusafisha nyumba, kulea watoto tangu wakiwa wachanga mfano kuwasafisha, kuwauguza wakiumwa, nk yafanywe na wote kwa usawa kabisa
Na vile vile kwa mfano mume akiweka laki mezani na mke naye aweke laki mezani mahitaji yote ya nyumbani wanunue kwa usawa bills zote walipe kwa usawa, na watoto wao wawahudumie kwa usawa ikiwemo kuwalipia ada na mahitaji yao mengine yote kwa usawa, hiyo ndio maana halisi ya 50 50 siyo mmoja anamtegea mwenzie eti mtu anataka pesa mtafute wote na bills mlipe wote, ila kazi za nyumbani na kulea watoto afanye mmoja na bado huyo mmoja amtii mwenzie na amlee kama anavyowalea watoto wake, what kind of cockamamie logic is this
Na jambo jingine naona pia tuachane na suala la mwanaume kumtawala mwanamke kila mtu ajitawale mwenyewe kusiwe na habari za kichwa cha familia, yani hakuna tena kusema kwamba mwanamke anatakiwa amtii mumewe kila mtu awe na maamuzi juu ya maisha yake mwenyewe, kusiwe na wa kumuongoza mwenzake na pia kusiwe na habari za kuoa wala kuolewa tena bali iwe ni kuoana
Mnawalaumu wanawake kuwa wanadai haki sawa halafu hawataki majukumu lakini mnasahau kwamba sababu ya wao kukataa hayo majukumu ni kwa sababu mnataka wafanye yale ya kwenu tu, ila ya kwao bado mmewaachia wenyewe hamtaki kuyafanya yani huwezi kumuambia mwanamke ajitafutie pesa zake na akusaidie majukumu, halafu hapo hapo bado unataka huyo mwanamke akufanyie majukumu ya nyumbani na bado akupe heshima na utii
Kwanza hapo huyo mke anakuwa siyo msaidizi tena bali ni kama business partner tu hivyo ondoa kichwani suala la kumlazimisha akutii, hivi mnadhani mwanamke aliambiwa amtii mwanaume kwa misingi gani kama siyo kuhudumiwa maana huwezi kukitawala kiumbe usichokihudumia, hakuna binadamu mwenye akili timamu anayefurahia kutawaliwa na binadamu mwenzie asiyewajibika kwa lolote juu yake na kiuhalisia ukitoa huduma zinazohusisha pesa hakuna wajibu mwingine mwanaume alionao juu ya mwanamke
Kama ikiwa mtoto anamtii mzazi wake kwa sababu amemzaa na amemlea, watu wa dini wanaitii miungu yao kwa sababu wanaamini imewaumba na inawapa uhai, je mwanamke anapaswa amtii mumewe kwa sababu gani, tena hata mtoto mwenyewe akishatoka kwao akaanza kujitegemea kinachobaki kwa mzazi wake ni ile heshima tu kuwa amemzaa, lakini huyo mzazi anakuwa hana mamlaka tena ya kumpangia mtoto maisha yake mfano afanye kazi gani au arudi nyumbani muda gani kwa sababu hamhudumii tena
Sasa inashangaza pale mwanaume anapotaka mkewe atafute pesa wasaidiane maisha kwa kisingizio kwamba mke naye ana mikono miwili na miguu miwili, ila huyo huyo mwanaume haoni ajabu kumtawala huyo mke mwenye mikono miwili na miguu miwili kama yeye, yani imefikia hatua wanaume wanaona uchungu kugawana mali na wake zao na wengine ndio kabisa hawataki kuoa kwa kisingizio kwamba eti wakishafanikiwa wake zao watadai talaka ili wagawane mali
Yani hawaconsider tena yale majukumu yote ambayo wake zao wanawafanyia pamoja na utii ambao wake zao wanawapa, siku hizi wanadai kwamba kila mtu ajitafutie pesa zake na ikitokea wameachana kila mtu aondoke na chake, lakini cha kushangaza kwenye majukumu mengine hawasemi kila mtu afanye kwa usawa na kwenye suala la mamlaka hawasemi kila mtu ajitawale mwenyewe
Wale waumini wa ukristo hasa wanaume kama mmeamua kufuata maandiko basi fuateni yote, na kama mmeamua kuyapuuzia basi yapuuzieni yote msichague yale yanayowanufaisha ninyi tu halafu mengine mnajifanya hamyaoni, kwa sababu maandiko yanasema mume ndio atakula kwa jasho na si mke, halafu mbele ndio yanaendelea kwamba mwanaume atamtawala mwanamke, yule mke mnayemuota wa Mithali 31 yalikuwa mawazo binafsi ya mfalme Suleiman na si maagizo ya muumba
Hivo basi ifike pahala wanaume mchague moja kati ya mwanamke mfanyakazi/mfanyabiashara au mama wa nyumbani, na aina yoyote utakayochagua hapo lazima ukubaliane na sifa zinazoambatana na aina hiyo ya mwanamke siyo unachagua mfanyakazi/mfanyabiashara mnasaidiana majukumu, halafu hapo hapo unataka awe kama mama wa nyumbani au unachagua mama wa nyumbani halafu hutaki kumhudumia unaanza kumuona golikipa
Ni kweli wamekuwa wakitumia 50/50 kama gia ya wema lakini imekuja kubadilika baada ya kuingiza masuala yasiyofaa katika jamii.Hii 50/50, imekuwa strategy ya muda mrefu ya mabeberu kusambaza ushoga duniani.
Je, waweza furahi kuona kijana wako wa kiume akijihuaisha na ushoga?
Faida kuu ya mfumo dume ni kuandaa vijana madume kweli kweli.
Siyo kijana wa kiume ajionaye kuwa sawa na Binti Kwa namna yoyote.
Mkuu sijui kama umeelewa hoja yangu, mfumo dume hauangalii mali mmechuma wote au la mfumo dume unataka umhudumie mkeo, and yes mkiachana mnagawana mali bila kujali mmechuma wote au umechuma peke yakovipi mfumo dume unatambulika kisheria? hapa na maan ya kwamba ikitokea tumeachana, mali tulizochuma wote tunagawana, ila mali zangu alizo nikuta nazo au zake nilizomkuta nazo hatugawani.