Mimi ni Mhandisi wa Mawasiliano NASA, uliza swali lolote utajibiwa

Mi kazi ninayo ni mhandisi wa mawasiliano NASA.

We unafanya kazi gani?
Nishushe faili lako hapa?

Tatizo unajisahau sana. Ulishaweka uzi wa kuomba prep ya interview ya kazi fln, na kuna sehemu ulishaacha kabisa personal details zako humu.

Nimeondoa ofa yangu sababu naona ukichaa umekukolea hadi kwenye core

Na kuna idiots kabisa zinauliza hii con artist maswali, jf aisee
 
Subiri muanze kupigwa hela za kupelekwa Harvard na NASA, na msije sema hamkuambiwa
 
shida nini?
 
Hebu tupe maana ya..
mpls label protocol I dp label allocate 100-200 range 1000 - 2000
 
Ip nat inside source list 1 pool NAT - POOL 1 over load.
Hapo vipi?
IT?
 
Reactions: 511
Mkuu,

Huyo jamaa hapo kwenye avatar yako ni noma_ TOMMY SHELBY

peaky blinders family hii familia ilikua hatari.
Thomas Michael Shelby aka
Tommy,
Tom,
Thomas,
Mr. Shelby,
Mr. Jones,
The Devil
 
Nguvu ya kuinua chombo kutoka mwezini wakati wa kurudi ilipatikanaje?......zingatia huku duniani tulishuhudia lile dubwasha linavyoondoka kwa nguvu nyingi.....iweje mwezini inyanyuke kama ka mdudu?
Swali zuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…