nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Tafsiri ya...Mimi sio astronaut bali ni muhandisi wa mawasiliano
Show run config- ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafsiri ya...Mimi sio astronaut bali ni muhandisi wa mawasiliano
Nishushe faili lako hapa?Mi kazi ninayo ni mhandisi wa mawasiliano NASA.
We unafanya kazi gani?
Mtu alijitolea kunilipia fee lakini entrance inategemea pia na academic background.Kabla ya hapo? Scholarship au self funded?
Uongo ni upi hapo? Uliza maswali technicalUkiwa muongo uwe na memory
Huku sio fb..
HahahaNaomba kujua kama kuna tochi inayowasha giza kwenye mwanga
shida nini?Nishushe faili lako hapa?
Tatizo unajisahau sana. Ulishaweka uzi wa kuomba prep ya interview ya kazi fln, na kuna sehemu ulishaacha kabisa personal details zako humu.
Nimeondoa ofa yangu sababu naona ukichaa umekukolea hadi kwenye core
Na kuna idiots kabisa zinauliza hii con artist maswali, jf aisee
Sitaki hela ya mtu mimi niko hapa kushare experience.Subiri muanze kupigwa hela za kupelekwa Harvard na NASA, na msije sema hamkuambiwa
🤣🤣🤣🤣🤣Yule Jogoo aliyewika baada ya Petro kumkana Yesu mara tatu alikuwa wa nani? Na alikuwa anatuma mawasiliano kwa nani?
Mkuu,🤣🤣🤣🤣🤣
Thomas Michael Shelby akaMkuu,
Huyo jamaa hapo kwenye avatar yako ni noma_ TOMMY SHELBY
peaky blinders family hii familia ilikua hatari.
The command indicates that the ACL invokes the related NAT address pool to convert IP addresses of LAN users to public IP addresses for Internet access. 🙃Ip nat inside source list 1 pool NAT - POOL 1 over load.
Hapo vipi?
IT?
Waaoooh!Mchizi wa NASA kaikimbia.The command indicates that the ACL invokes the related NAT address pool to convert IP addresses of LAN users to public IP addresses for Internet access. 🙃
Habari wakuu
Leo nipo free uliza swali lolote la mawasiliano... nina uzoefu wa miaka mitano katika mawasiliano hapa NASA.
shukrani
Mchizi wa NASA kazama PM kwa mdau alimwambia anampa ajira wakayajenge.Waaoooh!Mchizi wa NASA kaikimbia.
Swali zuriNguvu ya kuinua chombo kutoka mwezini wakati wa kurudi ilipatikanaje?......zingatia huku duniani tulishuhudia lile dubwasha linavyoondoka kwa nguvu nyingi.....iweje mwezini inyanyuke kama ka mdudu?