Mimi ni Mkristo mlokole, nimeanza kukosa Imani na ukristo nahisi Uislam ndiyo dini ya kweli

Mimi ni Mkristo mlokole, nimeanza kukosa Imani na ukristo nahisi Uislam ndiyo dini ya kweli

Ndugu yangu Mganguzi upo sahihi kabisa dini ya kiislamu dini pekee iliyobaki na mafundisho yake bila kubadilika na haitabadilika mpaka dunia inafika mwisho.

Karibu sana katika dini iliyo sawa. Uzuri katika Uislamu unakuwa bado unamuamini Issa mwana wa Maryam kuwa ni Mtume wa Allah na Mitume wote waliopita tunawaamini.

Nakushauri muombe muislamu yeyote unayemfahamu au nenda msikiti wowote ulio karibu muombe sheikh akupe Quran ya tafsiri ya kiswahili usome halafu ndio ufanye maamuzi.

Nakuhakikishia hutajutia maamuzi yako. Usiwasikilize hawa wachawi akina Mokiti etal ambao wao kazi yao ni kumtukana Mtume Muhammad SAW na kuutukana uislamu throughout. Hawa wasikukatishe tamaa, wewe jisomee mwenyewe maandiko na muombe Mungu akuongoze.
Asante Sana kwa muongozo mzuri sana nimefurahia ukarimu wako
 
Nakuhakikishia hutajutia maamuzi yako. Usiwasikilize hawa wachawi akina Mokiti etal ambao wao kazi yao ni kumtukana Mtume Muhammad SAW na kuutukana uislamu throughout. Hawa wasikukatishe tamaa, wewe jisomee mwenyewe maandiko na muombe Mungu akuongoze.
Onesha nilipotukana
 
Dini ya kweli ni upendo kutokuwa mnafiki kusamehe kupatanisha kusaidia kutenda mema ntaacha kanisa msikiti ila hayo ntayashikilia
 
Uzuri wa ukristo ni democratic sana...ukiamua kutoka ni hiyari yako wala sio vita.
Ila ingekuwa unatoka upande wa pili kwenda ukristo weeee hawakawii kukula kichwa!!.
ni vita!.
 
Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya Mungu.

Hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi, wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi. Mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga, kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000.

Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine, wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani. Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake. Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena!

Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah!

Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
Nina mashaka na ukristo wako! Nina wasiwasi wewe si mkristo wala hujawahi kuwa mkristo! Mkristo wa kweli hawezi kuwa na mashaka na Imani yake!

Kamsome Abraham au Ayubu utaelewa ninachomaanisha!

WEWE SIYO MKRISTO WALA HUJAWAHI KUWA MKRISTO!
 
Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya Mungu.

Hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi, wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi. Mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga, kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000.

Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine, wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani. Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake. Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena!

Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah!

Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
Nyie ndio huitwa kenge katika msafara wa mamba. Uliokoka na hujui maana ya kuokoka.
 
Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya Mungu.

Hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi, wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi. Mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga, kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000.

Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine, wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani. Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake. Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena!

Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah!

Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
TAFAKARI ni: ULIPO UNAPAJUA, UNAKOTAKA KWENDA HUKUJUI.
THE SACRED BLACK STONE AND HUBAL
We have evidence that black stones were worshipped in various parts of the Arab world; for example, Clement of Alexandria, writing ca, 190, mentioned that "the Arabs worship stone," alluding to the black stone of Dusares at Petra. Maximus Tyrius writing in the second century says, "The Arabians pay homage to I know not what god, which they represent by a quadrangular stone"; he alludes to the Kaaba that contains the Black Stone. Its great antiquity is also attested by the fact that ancient Persians claim that Mahabad and his successors left the Black Stone in the Kaaba, along with other relics and images, and that the stone was an emblem of Saturn. In the vicinity of Mecca are various other sacred stones that were originally
fetishes, "but have acquired a superficially Muhammadan character by being brought into connection with certain holy persons."
The Black Stone itself is evidently a meteorite and undoubtedly owes its
reputation to the fact it fell from the "heavens." It is doubly ironic that Muslims venerate this piece of rock as that given to Ishmael by the angel Gabriel to build the Kaaba, as it is, to quote Margoliouth, "of doubtful genuineness, since the Black Stone was removed by the . . . Qarmatians in the fourth [Muslim] century, and restored by them after many years: it may be doubted whether the stone which they returned was the same as the stone which they removed."
Hubal was worshipped at Mecca, and his idol in red cornelian was erected inside the Kaaba above the dry well into which one threw votive offerings. It is very probable that Hubal had a human form. Hubal's position next to the the Black Stone suggests there is some connection between the two. Wellhausen thinks that Hubal originally was the Black Stone that, as we have already remarked, is more ancient than the idol. Wellhausen also points out that God is called Lord of the Kaaba, and Lord of the territory of Mecca in the Koran. The Prophet railed against the homage rendered at the Kaaba to the goddesses al-Lat, Manat, and al-Uzza, whom the pagan Arabs called the daughters of God, but Muhammad stopped short of attacking the cult of Hubal. From this Wellhausen concludes that Hubal is no other than Allah, the "god" of the Meccans. When the Meccans defeated the Prophet near Medina, their leader is said to have shouted, "Hurrah for Hubal."

WHY I AM NOT A MUSLIM
Circumambulation of a sanctuary was a very common rite practiced in many localities. The pilgrim during his circuit frequently kissed or caressed the idol. Sir William Muir thinks that the seven circuits of the Kaaba "were probably emblematical of the revolutions of the planetary bodies."
While Zwemer goes so far as to suggest that the seven circuits of the Kaaba, three times rapidly and four times slowly were "in imitation of the inner and outer planets,"
It is unquestionable that the Arabs "at a comparatively late period worshipped the constellation of the Pleiades, which the sun and other heavenly bodies" was supposed to bestow rain, appears as a deity. There was the cult of the planet Venus which was revered as a great goddess under the name of al-Uzza.
We know from the frequency of theophorous names that the sun (Shams) was worshipped. Shams was the titular goddess of several tribes honored with a sanctuary and an idol. Snouck Hurgronje sees a solar rite in the ceremony of "wukuf'.
The goddess al-Lat is also sometimes identified with the solar divinity. The
god Dharrih was probably the rising sun. The Muslim rites of running between Arafat and Muzdalifah, and Muzdalifah and Mina had to be accomplished after sunset and before sunrise. This was a deliberate change introduced by Muhammad to suppress this association with the pagan solar rite, whose significance we shall examine later. The worship of the moon is also attested to by proper names of people such as Hilal, a crescent, Qamar, a moon, and so on.
Houtsma has suggested that the stoning that took place in Mina was originally directed at the sun demon. This view is lent plausibility by the fact that the pagan pilgrimage originally coincided with the autumnal equinox. The sun demon is expelled, and his harsh rule comes to an end with the summer, which is followed by the worship, at Muzdalifah, of the thunder god who brings fertility.
Muzdalifah was a place of fire worship, Muslim historians refer to this hill
as the hill of the holy fire. The god of Muzdalifah was Quzah, the thunder god.
As Wensinck says: "A fire was kindled on the sacred hill also called Quzah.
Here a halt was made and this wukuf has a still greater similarity to that on
Sinai, as in both cases the thunder god is revealed in fire. It may further be presumed that the traditional custom of making as much noise as possible and of shouting was originally a sympathetic charm to call forth the thunder."
Frazer in the Golden Bough has another explanation for the ceremony of stone throwing: Sometimes the motive for throwing the stone is to ward off a dangerous spirit; sometimes it is to cast away an evil, sometimes it is to acquire a good. Yet, perhaps, if we could trace them back to their origin in the mind of primitive man, we might find that they all resolve themselves more or less exactly into the principle of the transference of evil. . . . This notion perhaps explains the rite of stone throwing .. . at Mecca; . . . the original idea may perhaps have been that the pilgrims cleanse themselves by transferring their ceremonial impurity to the stones which they fling on the heap.
The Origins of Islam According to Juynboll, the hajj originally had a magical character.
Its purpose in early times must have been to get a happy new year with plenty of rain and sunshine, prosperity, and abundance of cattle and corn. Great fires were lit at Arafat and Muzdalifah, probably to induce the sun to shine in the new year. Water was poured on the ground as a charm against drought. Perhaps the throwing of stones at certain places in Mina, a relic of the primitive heathenism, was originally a symbol of throwing away the sins of the past year, and in this way a sort of charm against punishment and misfortune.
Similarly, the hurrying between Arafat and Muzdalifah, and from Muzdalifah to Mina may have had a magical significance. The feasting at the end of all the rituals was probably a symbol of the abundance that was hoped for at the end of the year. The various obligations of abstinence imposed on the pilgrim was originally to bring the pilgrim into a state of magical power.
Yes umenena
 
Asante Sana kwa muongozo mzuri sana nimefurahia ukarimu wako

Karibu sana ndugu yangu; usisahau kumuomba Mungu akuongoze katika njia iliyo sahihi. Njia zipo nyingi lakini ipi ndio sahihi? Wewe muelekee Mwenyezi Mungu aliyeumba mbingu na nchi na umuombe kwa dhati akuonyeshe njia sahihi. Mwenyezi Mungu atakuonyesha njia sahihi.
 
Hao wasabato na mafunzo yenu ya yule mchungaji na mwalimu wenu mwanamama anayewafundisheni kwamba mwanaume hatakiwi kula wali?
Good thing kuhusu wasabato ni kulana kwenye Makambi tu.
umenichekesha
 
Binamfsi ni msabato ila nina zaidi ya 10 yrs sijaenda knsn sababu moyo wangu ulishasilim sema tu naogopa kutengwa na familia na mke wangu. Ila moyoni mm tayari ni mwislam na jina langu ni Ally
Jiweke wazi ndugu , uungane na ndugu zako katika kumuabudu Mungu muumba wa mbingu na ardhi.
Uislamu wa moyoni haiwezi kukufaa kwa lolote Hadi utamke kwa ulimi baada ya kuamini moyoni kwamba hapana mwenye kuabudiwa, kunyenyekewa, kupendwa, kusujudiwa na kuogopwa kwa haki isipokuwa Allaah na uamini moyoni na utamke kwa ulimi kwamba Muhammadi ni mja na mtume wa Allaah na baada ya hapo usimamishe swala Tano, utoe zaka kama una uwezo , ufunge mwezi wa Ramadhani na ukafanye ibada ya hijja makka kama una uwezo , ufuate yote aliyoyaamrisha Allaah na mtu wake na uache yote aliyoyakataza Allaah na mtume wake. Huna haja ya kumuogopa mke Wala familia yako kwa sababu hao I'ma utakufa na kuwaacha duniani au wao watakufa na kukuacha wewe duniani lakini Allaah yupo na wewe duniani Hadi Akhera huwezi kuachana nae.
KARIBU SANA KATIKA UISLAMU.
 
. Huna haja ya kumuogopa mke Wala familia yako
Kwa mafundisho ya Allah yanasema akiwa muislamu awatenge mpaka wazazi wake na ndugu zake Kwanini asiogope?

Allah na Muhammad wanasema

Koran 9;23. Enyi mlio amini!(waislamu) Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri (wasio waislamu)kuliko Imani (uislam)....
 
Kwa mafundisho ya Allah yanasema akiwa muislamu awatenge mpaka wazazi wake na ndugu zake Kwanini asiogope?

Allah na Muhammad wanasema

Koran 9;23. Enyi mlio amini!(waislamu) Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri (wasio waislamu)kuliko Imani (uislam)....
Kumbe Quran ndiyo inataka Waislam wawatenge wasio waislam?

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
 
Uzuri wa ukristo ni democratic sana...ukiamua kutoka ni hiyari yako wala sio vita.
Ila ingekuwa unatoka upande wa pili kwenda ukristo weeee hawakawii kukula kichwa!!.
ni vita!.
Nani alie ritadi kafanyiwa hivyo we kitimo.t?
 
Kwamba Shia na Suni ibada zinafanana!!???
Peleka uongo wako kwenye vijiwe vya kahawa.
Wote wanaamini ALLAH ndie mola wetu sote au kuna anaeamin tofauti kati ya hayo makundi?nyie sasa?!!mwingine yesu ni mungu wengine Kuna mungu tofauti na yesu
 
Back
Top Bottom