Akikisha na hili unamwambia Muhammad said: 'Whoever changes his religion, kill him.'"Sunan an-Nasa'i 4063Karibu katika uislamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikisha na hili unamwambia Muhammad said: 'Whoever changes his religion, kill him.'"Sunan an-Nasa'i 4063Karibu katika uislamu
Asante Sana kwa muongozo mzuri sana nimefurahia ukarimu wakoNdugu yangu Mganguzi upo sahihi kabisa dini ya kiislamu dini pekee iliyobaki na mafundisho yake bila kubadilika na haitabadilika mpaka dunia inafika mwisho.
Karibu sana katika dini iliyo sawa. Uzuri katika Uislamu unakuwa bado unamuamini Issa mwana wa Maryam kuwa ni Mtume wa Allah na Mitume wote waliopita tunawaamini.
Nakushauri muombe muislamu yeyote unayemfahamu au nenda msikiti wowote ulio karibu muombe sheikh akupe Quran ya tafsiri ya kiswahili usome halafu ndio ufanye maamuzi.
Nakuhakikishia hutajutia maamuzi yako. Usiwasikilize hawa wachawi akina Mokiti etal ambao wao kazi yao ni kumtukana Mtume Muhammad SAW na kuutukana uislamu throughout. Hawa wasikukatishe tamaa, wewe jisomee mwenyewe maandiko na muombe Mungu akuongoze.
Onesha nilipotukanaNakuhakikishia hutajutia maamuzi yako. Usiwasikilize hawa wachawi akina Mokiti etal ambao wao kazi yao ni kumtukana Mtume Muhammad SAW na kuutukana uislamu throughout. Hawa wasikukatishe tamaa, wewe jisomee mwenyewe maandiko na muombe Mungu akuongoze.
Nina mashaka na ukristo wako! Nina wasiwasi wewe si mkristo wala hujawahi kuwa mkristo! Mkristo wa kweli hawezi kuwa na mashaka na Imani yake!Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya Mungu.
Hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi, wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi. Mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga, kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000.
Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine, wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani. Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake. Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena!
Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah!
Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
Nyie ndio huitwa kenge katika msafara wa mamba. Uliokoka na hujui maana ya kuokoka.Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya Mungu.
Hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi, wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi. Mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga, kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000.
Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine, wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani. Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake. Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena!
Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah!
Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
TAFAKARI ni: ULIPO UNAPAJUA, UNAKOTAKA KWENDA HUKUJUI.Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya Mungu.
Hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi, wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi. Mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga, kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000.
Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine, wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani. Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake. Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena!
Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah!
Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
Yes umenena
Asante Sana kwa muongozo mzuri sana nimefurahia ukarimu wako
umenichekeshaHao wasabato na mafunzo yenu ya yule mchungaji na mwalimu wenu mwanamama anayewafundisheni kwamba mwanaume hatakiwi kula wali?
Good thing kuhusu wasabato ni kulana kwenye Makambi tu.
Jiweke wazi ndugu , uungane na ndugu zako katika kumuabudu Mungu muumba wa mbingu na ardhi.Binamfsi ni msabato ila nina zaidi ya 10 yrs sijaenda knsn sababu moyo wangu ulishasilim sema tu naogopa kutengwa na familia na mke wangu. Ila moyoni mm tayari ni mwislam na jina langu ni Ally
Embu tueleze na mueleze Kwanini mnaenda kubusu jiwe macca?ukafanye ibada ya hijja makka
Kwa mafundisho ya Allah yanasema akiwa muislamu awatenge mpaka wazazi wake na ndugu zake Kwanini asiogope?. Huna haja ya kumuogopa mke Wala familia yako
Kumbe Quran ndiyo inataka Waislam wawatenge wasio waislam?Kwa mafundisho ya Allah yanasema akiwa muislamu awatenge mpaka wazazi wake na ndugu zake Kwanini asiogope?
Allah na Muhammad wanasema
Koran 9;23. Enyi mlio amini!(waislamu) Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri (wasio waislamu)kuliko Imani (uislam)....
Nani alie ritadi kafanyiwa hivyo we kitimo.t?Uzuri wa ukristo ni democratic sana...ukiamua kutoka ni hiyari yako wala sio vita.
Ila ingekuwa unatoka upande wa pili kwenda ukristo weeee hawakawii kukula kichwa!!.
ni vita!.
Wote wanaamini ALLAH ndie mola wetu sote au kuna anaeamin tofauti kati ya hayo makundi?nyie sasa?!!mwingine yesu ni mungu wengine Kuna mungu tofauti na yesuKwamba Shia na Suni ibada zinafanana!!???
Peleka uongo wako kwenye vijiwe vya kahawa.