Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Kwahiyo mtume alipagawa?
 
😂😂😂😂😂 Mate mi leo sitii neno.
 
Kuwa nawafuasi wengi hakuhalalishi mambo ya hovyo aliloyafanya... Dini ni aina fulani ya ugonwa wa akili, how on earth unaweza kusimama na kutetea upuuzi wa kiwango hiki kisa tu ni dini yako. Hivi sasa hivi mtu akija akakwambia amempenda binti yako wa miaka 6 utamruhusu amuoe?
 
Unataka watoto wakabakwe na kupewa fistula? Mtoto wa miaka 9 anaweza kulea watoto na kulea mume? Au unataka wapoteze kaisha wakati wa kujifungua? Shule anasoma vipi?
Kwani akiwa mke wa mtu ndo atashindwa kusoma?

Huyo anaweza akaolewa na miaka 9 ila akaanza kuingiliwa na miaka hata 16.
 
Lots of pedophiles & brain washed pedophiles victims in the comment section.

Ficheni tu huo upumbavu wenu humu kwenye fake ID, mkileta ujinga wenu mtaani tutawapiga mawe na jela itawahusu.

Ukomavu ni kujua kuwa hata dini yako inaweza kukosea, ni maandiko ya kale sana.
 
Kumbe Mungu anakosea? Kumbe maandiko maneno ya Mungu yanakosewa anyway ukute Kuna mambo mengi yamekosea ila tumeshaambiwa tusikilize sana kuhusu Mungu Naona iyo ndio limit
 
Kwani akiwa mke wa mtu ndo atashindwa kusoma?

Huyo anaweza akaolewa na miaka 9 ila akaanza kuingiliwa na miaka hata 16.
Shida inakuja pale ambapo mtoto wa miaka 9 anaolewa na jitu zima la miaka 40. Uliona wapi mtu anasoma huku kaolewa labda awe chuo
 
Zipo Jamii Mpaka Sasa Wana Booking Mimba Sasa Kama Karne Hii Zipo Utashangaa Nini Karne Ya Sita Kuoa Mtoto Wa Miaka Sita Kinachowasumbua Makafiri Ni Chuki Dhidi Ya Uislam Hata Ndani Ya Quran Tumeambiwa Juu Ya Hilo Na Sasa Tunajionea.

Huyo Mtume Hamjaanza Nyie Kumtukana Tokea Kwa Makafiri Wenzenu Wa Makka Walikuwa Kama Nyinyi Au Zaidi Ya Nyinyi,Na Jambo Hili Lingekuwa Geni Miongoni Mwa Jamii Zao Wakati Huo Basi Tungekuta Matusi Mengi Toka Kwa Wapinzani Wake Wa Enzi Hizo.

Chuki Ikitangulia Akili Inakuwa Nyuma Huyo Mtume Mke Wake Wa Kwanza Alimzidi Mtume Miaka 20 Na Ndo Alizaa Nae Watoto Akiwemo Fatima Ila Jambo Hili Makafiri Wala Hawakomplein.Badala Wajiulize Je Kuna Watu Walikuwa Wanaoa Wasio Wa Umri Huo? Na Hata Hiyo Hadithi Inayotolewa Huyo Aisha R.a Mbona Kama Alikuwa Anajisifu Na Sio Kauli Ya Lawama ?Ukichukua Mifano Ya Karne Ya Sita Ukalinganisha Na Karne Ya 21 Ni Utaahira Wa Kiwango Cha Lami Enzi Hizo Mwanamke Fahari Yake Ilikiwa Ni Kuolewa tu Na Si Vinginevyo.
 
Kwao kumeenda wapi ? Kwanini asikae kwao asome? Kwanini umuoe?
Hajasema Mungu kakosea au maandiko yamekosea bali amesema dini inaweza kuwa na mapungufu na ikumbukwe ya kuwa dini ililetwa na wanadamu.
 
Kwahiyo mtume alipagawa?
Kwani zile verse zilizo zuiliwa kusomwa hadharani na mtu yoyote hapa duniani zilishushwa na nani na zilipokelewa na nani ?

Na ni kwanini zimezuiliwa kusomwa na mtu yoyote ?

Akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Acha makasiriko mkuu mtoto ni mtoto tu. Kwani huyo Aisha alisema anampenda Mtume?
 
Akiwa na utayari wa kuwa mwanamke kamili, usinambie mama yako alitolewa na 9yrs 😥

Mimi bado na Sina haraka ya kutolewa bikra
Ujajibu Swali,Alikuwa Na Miaka Mingapi?
Na Kuhusu Wewe Huna Zote Mbili.
 
Kwani zile verse zilizo zuiliwa kusomwa hadharani na mtu yoyote hapa duniani zilishushwa na nani na zilipokelewa na nani ?

Na ni kwanini zimezuiliwa kusomwa na mtu yoyote ?

Akili za kuambiwa changanya na zako.
Hili ni swali la ndiyo au hapana.
Kwahiyo mtume alipagawa?
 
Umemezwa na dini kiasi kwamba hata hauelewi. Kuwepo kwa jamii zinazobook mimba haihalalishi mtu mwingine kuoa mtoto wa miaka 6. Yaani kama kwenye jamii yenu ni halali kuua mtu anayetuhumiwa kuwa ni mwizi, ukiambiwa hii si sawa then unajitetea kwa kusema mbona wengine wanaua watoto wachanga. Kitu cha hovyo ni cha hovyo tu, haijalishi kinafanywa na watu wengi kiasi gani...
 
Sahih Al-Bukhari imetungwa na wakristo??

Hivi akili mnaziwekaga wapi nyie?
Akili zinaanza kuja eeeh huyo sahihi Bukhari kama utunzi wake unakinzana na aya hio tunaiita kajanja
 
Hili ni swali la ndiyo au hapana.
Kwahiyo mtume alipagawa?
Mimi sio mtoto wa chekechea anaye ulizwa maswali ya kujibu ndio au hapana.
Mimi ni mtafiti mchambuzi huwa najibu kwa ufafanuzi wa mambo mwenye kutaka kuelewa ameelewa.
 
Ujajibu Swali,Alikuwa Na Miaka Mingapi?
Na Kuhusu Wewe Huna Zote Mbili.
Akiwa na 25 kwahiyo wewe mama yako alibakwa akiwa na 9yrs 😥

Mimi ninazo zote, usitake kunambia hata wewe walikutoa ukiwa na 6yrs unaniletea makasiriko hapa..!! 😹😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…