Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Huna Akili Hizo link Ni Za Makafiri Wenzio Wamekusanya Uongo Na dhana Za Kutunga Ili Kuwa Babatiza Makafiri Kama Nyinyi Ila Kwa Muislam Hawezi Kubabaisha Na Upuuzi Kama Huu.

Kwenye Conclution Ndo Utajua Ni Nini Lengo La Huo Ujinga Eti Watu Wamuamini Kristo.We Kiazi Hiyo Sio Quran Ila Kuna Wajinga Wenzio Wana Lengo La Kukupoteza Usiijue Kweli.
😂😂Ukweli utakuweka huru chief,fimbo ya kuniita mimi kafiri haibadilishi ukweli. Wewe jiulize swali muhimu moja tu,kama Quran ni moja tu neno kwa neno mpaka nukta dunia nzima. Kwanini hii Hafs inayotumika bongo mpaka Saudi Arabia hairuhusiwi Morocco, Libya na Tunisia?

Nakupa kidogo maarifa kafiri mimi,waislam hamkuwahi kubwa na Quran (kitabu) kimoja mpaka mwaka 1924. Hiyo Hafs Quran unayoisifia sana imechapwa kwa mara ya kwanza mwaka 1924 nchini Misri.

Mfalme wa Misri alitoa amri kwa Al Azhar university waandae copy moja ambayo ingetumika nchi nzima. Baada ya Al Azhar university kuja na hiyo compilation (Hafs) mfalme Fuad wa kwanza alitoa amri Quran zote ambazo sio Hafs ziharibiwe. Kuna Quran zilichomwa moto,kuna nyingine zilizamishwa mto Nile.

Mwaka 1985 ndipo nchi ya Saudi Arabia ilirasmisha Hafs Quran kama Quran rasmi kwa waislam wote. Bahati mbaya kwa wakati huo nchi kama Tunisia, Libya na Morocco
Tayari walikua na Quran zao ambazo ni Qaloon , Warsh na nyinginezo.

Nenda kajifunzw historia ya dini yako,historia halisi sio ile ya walimu wa madrasa chief 🥂.
 
Kama Point Yako Ni Hiyo Umechemsha.Kwa Upande Wa Ndoa Upendo Huja Ndani Ya Ndoa Unaonyesha Ni Jinsi Gani Hujui Unachozungumza .Hujui Nani Anapenda Kati Ya Mwanaume Na Mwanamke?Waislam Tuna Jenga Taasisi Imara Ya Ndoa Kwa Kuozesha Mabinti Wangali Wadogo Mwanamke Ni Kama Bamia Kadili Inavyokomaa Ndivyo Inavyokosa Thamani Kaa Nayo Hiyo Nimekupa .

Makafiri Mna lengo La Kubomoa Maadili Ya Mwanadam.Mwanamke Ndo Jamii Akialibika Yeye Imealibika Jamii Mna Lengo Kuistawisha Zinaa Kwa Nguvu Kubwa Hapa Hakuna Hata Mmoja Asiye Wahi Kuona Mabint Wa Shule Za Msingi Wakigegedwa.Wa Sekondari Ndo Balaa Ila Ni Bora Kuwapiga Sindano Za Kuzuia Mimba Ni Sawa Ila Kumuozesha Wanakuwa Ni Watoto?
Dini imekupa upofu wee kafiri!
 
Sasa Kama Unakubali Kijamii Nyakati Hizo Ilikuwa Ni Sawa Nyinyi Mlitaka Mtume Asioe? Hata Sasa Ukiwaleta Watu Wa Nyakati Hizo Ukawapa Story Za Wakati Huu Wao Watatuona Hatuko Sawa Kulingana Na Ustaarabu Wao.
Kwa hili mtume wako hasacidhiki,ni mbakaji!
 
Mmh, sielewi hoja yako.

Kama waliokuwa wanampinga mtume hawakuja ns hoja hiyo na sisi tuone kuwa jambo hilo linafaa?

Kwani tunaishi kwa kufuata hoja za waliokuwa wanampinga mtume?

Unataka kunionyesha kasisi shoga ili iweje sasa? Akiwepo kasisi shoga ndio inahalalisha kuoa watoto wa miaka 6?

Hivi nyie watu wa dini ndiyo hoja gani hizi? Mbona kama za hovyo!
Nieonyeshe sasahivi nani kama bint wa miaka 6 au 9,
 
Mungu haimkatai hata kidogo ila hilo jina ndio kwenye sayansi halipo,hata hicho kifaa unachotumia kuingia jamii forum ni sayansi
We Umeng'ang'ana Sayansi Sayansi Kabla Ya Hiyo Sayansi Watu Walikuwa Hawagegedani? walikuwa Hawali Chakula? Hawapumui?Chanzo Cha Kila Kitu Unachokiona Ni Mungu Hata Aliyegundua Simu Au Kompyuta Nae Pia Aliumbwa Akapewa Hiyo Elimu

Tatizo La Makafiri Mna Akili Za Kuvalia Suti Na kula Nguruwe.
 
We bibi mke wa sheikh mbona hivyo lakini?!!
Yani wewe kubakwa utotoni visirani na trauma zako zote unaniletea mimi 😹😹

Basi bibi wewe endelea kula muhogo wa mumeo hata wajukuu zako nao waozeshe miaka 6 ila tukikubahini jela hatulei uovu..!!
Kaoshe KitendeA Kazi Uingie Road Mida Ndo Hii.
 
Leta Sahih Al-Bukhari original ambayo wewe unaona haija editiwa na wakirsto, alaf tusome yaliyomo humo ndani kama yana utofauti wowote.

Let's do this....
Kwa Kukusaidia Ndugu Kafiri.
Maisha Ya Mtume Ni Quran Na Quran Ndo Maisha Ya Mtume Kwa Hiyo Wafuasi Wake TumeambiwA Tukitaka Kujua Maisha Yake Ipo Ndani Ya Quran.

Na Kila Mnapotukana Ndo Anazidi Kupata Wafuasi Ulaya Baada Ya Miaka Kadhaa Makanisa Yatabaki Magofu .
 
😂😂Ukweli utakuweka huru chief,fimbo ya kuniita mimi kafiri haibadilishi ukweli. Wewe jiulize swali muhimu moja tu,kama Quran ni moja tu neno kwa neno mpaka nukta dunia nzima. Kwanini hii Hafs inayotumika bongo mpaka Saudi Arabia hairuhusiwi Morocco, Libya na Tunisia?

Nakupa kidogo maarifa kafiri mimi,waislam hamkuwahi kubwa na Quran (kitabu) kimoja mpaka mwaka 1924. Hiyo Hafs Quran unayoisifia sana imechapwa kwa mara ya kwanza mwaka 1924 nchini Misri.

Mfalme wa Misri alitoa amri kwa Al Azhar university waandae copy moja ambayo ingetumika nchi nzima. Baada ya Al Azhar university kuja na hiyo compilation (Hafs) mfalme Fuad wa kwanza alitoa amri Quran zote ambazo sio Hafs ziharibiwe. Kuna Quran zilichomwa moto,kuna nyingine zilizamishwa mto Nile.

Mwaka 1985 ndipo nchi ya Saudi Arabia ilirasmisha Hafs Quran kama Quran rasmi kwa waislam wote. Bahati mbaya kwa wakati huo nchi kama Tunisia, Libya na Morocco
Tayari walikua na Quran zao ambazo ni Qaloon , Warsh na nyinginezo.

Nenda kajifunzw historia ya dini yako,historia halisi sio ile ya walimu wa madrasa chief 🥂.
Hizo Ni Stori Kutoka Kwa Mayahudi Ambao Ni Miongoni Mwa Makafiri Kama Wewe Ushahidi Wa Haya Ni Mashindano Ya Quran Washiriki Wanatoka Kwenye Nchi Zote Hata Hizo Ulizosema Kwamba Wana Quran Yao .
 
We Umeng'ang'ana Sayansi Sayansi Kabla Ya Hiyo Sayansi Watu Walikuwa Hawagegedani? walikuwa Hawali Chakula? Hawapumui?Chanzo Cha Kila Kitu Unachokiona Ni Mungu Hata Aliyegundua Simu Au Kompyuta Nae Pia Aliumbwa Akapewa Hiyo Elimu

Tatizo La Makafiri Mna Akili Za Kuvalia Suti Na kula Nguruwe.
Mimi kafiri nina akili ya kuvaa suti kali na kula kitimoto rosti na wewe mtoto wa mudi una akili ya kuvaa kanzu za warabu na kugegeda vitoto vya miaka sita ok kila kitu kina chanzo chake na chanzo cha Allah ni nini
 
Kwa hili mtume wako hasacidhiki,ni mbakaji!
Asafishike Kwa Nani Mbona Unapenda Kujifurahisha.Yaani We Unanuka Mavi Unanuka Umasikini Ndo Huyo Mtume Asafishike Kwako ?Huyo Mtume Ana Wafuasi Ambao Wamekuzidi Kila Kitu Tena Sio Wewe Mpaka Kabila Lenu Lote.
 
Mimi kafiri nina akili ya kuvaa suti kali na kula kitimoto rosti na wewe mtoto wa mudi una akili ya kuvaa kanzu za warabu na kugegeda vitoto vya miaka sita ok kila kitu kina chanzo chake na chanzo cha Allah ni nini
Najadiriana Na Mtu Ambaye Sio Size Yangu Kiakili We Endelea Kula Kitimoto Na Makafiri Wenzio.
 
Najadiriana Na Mtu Ambaye Sio Size Yangu Kiakili We Endelea Kula Kitimoto Na Makafiri Wenzio.
Wewe mwenye akili ndio unaamimi yule aliyeoa mtoto wa miaka 6 alienda mwezini akaugawa katikati ,na bado unasema una akili
 
Back
Top Bottom