Miongo miwili wamekataa kubadilisha jina la mtaa wa Tandamti kuwa Mshume Kiyate

Kajirutaluka,
Historia rasmi kwa sasa haina maana tena baada ya kuwapo kitabu
cha Abdul Sykes (1998).

Ikiwa hujakisoma kitabu hiki kisome kuna mengi:

 
Ndio alikua anatoa mfano kwamba hakukua na kupigania uhuru kutoka kwa Muingereza.
Kwake yeye mapambano ya wakati wa Mjerumani ndio yalifaa kuitwa "kupigania uhuru".

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila Mbongo,
Tukubaliane kuwa mapambano dhidi ya Wajerumani 1905 - 1907 ndiyo
harakati za kupigania uhuru.

Je, Kitali anaijua historia ya Sultani Abdulrauf Songea Mbano
aliyepigana na Wajerumani katika Vita Vya Maji Maji?

Hili swali nimemuuliza lakini hjaweza kutoa jibu.
Anaweza akaingia hapa kumjua shujaa huyu:



Mohamed Said: CHIEF ABDUL RAUF BIN SONGEA MMOJA WA MAJEMADARI WA VITA VYA MAJI MAJI NDIYO HUYU SONGEA MBANO?
 
Mzee elewa nimesema hawa Watu hawakuwa na kitu cha kambana nacho walipokuwa wanataka kujitawala so kutumwa tu kuwashawish Watu waungane na nyie kutaka kujitawala hiyo Sio kupigania uhuru hiyo Ni kutafuta madaraka Kama vyama vyingine tu Ndio maana nikakwambia Huwez kuvaa vikoi halafu unaniambia unapigania uhuru. Nenda Kenya hapo wakuambie mai mai walivyopigania uhuru ndio utaelewa nisemacho.
 
Mbona walikuwa wengi we umemkariri Huyo tu watemi karibu wote na mangi Sina kule Kibosho walipigania uhuru
 
Kitali,
Huna uwezo wa wewe kunifunza mimi historia ya Kenya au yoyote iwayo ile.

Ninachokisoma kwako ni kibri na jeuri tu.
Huna ulijualo.

Mwenye elimu hatukani wala hana fedhuli.
Utakuwa unaelimika na kalamu yake.

Mwaka wa 2014 French Research Institute Kenya walifanya kongamano la mashujaa waliopigania uhuru Afrika Mashariki lakini historia imewasahau.

Nilitoa mada katika kongamano hilo lililofanyika Nairobi.

Ukitaka naweza kukuwekea hapa hiyo mada yangu na iliwauma wengi mfano wa wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
utakufa kihoro mfia dini inabidi utengwe km huyo dalali mwenzio mshume kiyate
 
huyo aliyekufa kihoro kwa kutengwa historia yake peleka msikitini
 
km porojo za mudi toka kwakina daisy sykes
Ndugu zangu,
Yericko tunafanya mjadala nami sioni tabu kumjibu kwani hajanitukana
kwa kiasi cha mie kumsusa na pale anapotoka nje ya mstari yeye huwa
mwepesi wa kunitaka radhi.

Lakini huyu mtu yeye kawaida yake ni kuja nyuma ya Yericko na kunitusi.
Akutukanae katika pombe nawe mrudishie hapo hapo kwenye ulevi:

Huyo hapo chini ni Emily Calachi (University of Winsconsin) msomi katika
historia ya Afrika hapo tuko New York, Brooklyn Heights, 2011.



Sikwenda kwake kumuomba fedha.
Kilichotukutanisha ni ujuzi wetu katika African History.

Nimepata taarifa siku chache zilizopita kuwa Emily ana kitabu
kitatoka hivi karibuni.

[IMG]

Huyu ni Benjamin Kirby (University of Leeds) leo asubuhi nimepokea
Ph D Thesis yake na kanitaja kama mmoja wa watu waliomsaidia katika
kukamilisha ''thesis,'' yake.

Picha hii tumepiga nyumbani kwangu 2015 na sikumwita kuja kumuomba
fedha kwa ajili ya ''njaa kali,'' yangu.

[IMG]

Nathaniel Mathews (Northwestern University), hapo ni Chicago sikwenda
kwake kumuomba fedha ila yeye aliposikia niko mjini alikuja hotelini kwangu
Hilton, Evanston kuniamkia.

Huyu bwana kama ana hoja na azilete lakini huku kuwa yeye ananivunjia utu
na heshima yangu si uungwana.

Nina picha nyingi na ''Wazungu,'' hizo hapo juu nadhani zinamtosha.
Muhimu kwake ni kuwa sijakutananao kama omba omba.

Alhamdulilah Allah kanisitiri kwa hilo riziki yangu hijapatapo kutoka kwenye
mkono wa binadamu.

Sent using [URL=http://r.tapatalk.com/byo?rid=77694]Jamii Forums mobile app[/URL]

 
hapa bdo umetema pumba za karne,kuzaliwa tu haitoshi kupewa mtaa! kwa poroho zako si hata wewe ungekuwa na mtaa!
nkrumah,selasi,azikiwe wamepewa mitaa na sio wazawa!
km inakuuma kaipe miskiti yen majina yao!
 
Kwa faida ya JF Nyerere aliunda chama gani kisha akawambia kina nani waje kukiendeleza?

Ofisi zake zilikuwa wapi Dar es Salaam?

Tunasubiri majibu.
 
kufanya kipindi haimaanishi ndo ukweli hata mama tapeli wa tanga aliyelia mbele ya magu alikuwa anafanya vipindi ilhali tapeli!
 
Mbona walikuwa wengi we umemkariri Huyo tu watemi karibu wote na mangi Sina kule Kibosho walipigania uhuru
Tupe ushahidi watu wajifunze hapa JF tufahamishe hizo harakati za kupigania uhuru za Mangi Sina kule Kibosho zilianzia wapi na kuishia wapi?

Tunasuburi jibu vizuri zaidi utuwekee na picha za hao mashujaa wetu wa Kibosho.

Ahsanta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…