Miongo miwili wamekataa kubadilisha jina la mtaa wa Tandamti kuwa Mshume Kiyate

Miongo miwili wamekataa kubadilisha jina la mtaa wa Tandamti kuwa Mshume Kiyate

kufanya kipindi haimaanishi ndo ukweli hata mama tapeli wa tanga aliyelia mbele ya magu alikuwa anafanya vipindi ilhali tapeli!
Ndugu zangu,
Nimesafiri kwingi nikihadhiri na kuandika na kuandikwa katika journals za Marekani na Uingereza. Oxford University Press, Nairobi na New York wote wamenipa kazi na wamechapa kazi zangu mbili 2007 na 2011. Niko katika Dictionary of African Biography mradi wa Harvard uliojumuisha wasomi karibia 500 dunia nzima na limechapwa kamusi la volume 6 na mimi nimo humo. I am not bragging ila nataka ujue kuwa hili somo nalifahamu na si hayo tu niko katika Cambridge Journal of African History.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila Mbongo,
Tukubaliane kuwa mapambano dhidi ya Wajerumani 1905 - 1907 ndiyo
harakati za kupigania uhuru.

Je, Kitali anaijua historia ya Sultani Abdulrauf Songea Mbano
aliyepigana na Wajerumani katika Vita Vya Maji Maji?

Hili swali nimemuuliza lakini hjaweza kutoa jibu.
Anaweza akaingia hapa kumjua shujaa huyu:

CYgjIZKWYAA1G2j.jpg


Mohamed Said: CHIEF ABDUL RAUF BIN SONGEA MMOJA WA MAJEMADARI WA VITA VYA MAJI MAJI NDIYO HUYU SONGEA MBANO?
Harakati za 1905-1907 zilikua za kupigania uhuru wa makabila na sio uhuru wa taifa tulilonalo leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee elewa nimesema hawa Watu hawakuwa na kitu cha kambana nacho walipokuwa wanataka kujitawala so kutumwa tu kuwashawish Watu waungane na nyie kutaka kujitawala hiyo Sio kupigania uhuru hiyo Ni kutafuta madaraka Kama vyama vyingine tu Ndio maana nikakwambia Huwez kuvaa vikoi halafu unaniambia unapigania uhuru. Nenda Kenya hapo wakuambie mai mai walivyopigania uhuru ndio utaelewa nisemacho.
Mbona maneno yako ni ukweli wa uwazi tu.....tatizo la mzee kutokubali ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sote tunaamini hivyo, hata Nyerere hakuwa Mzee wa Dar alikuja tu na kukuta harakati za kisiasa zipo na zinaendelea.

Unaweza ukatupa historia za wanaharakati wa nje ya Dar. Tutafurahi sana.

Sisi wa Dar tumejaaliwa na AlhamduliLlah tunae Mohamed Said aliyejaaliwa kutuandikia kuhusu wazee wetu wa Dar na kugusia harakati zao zilizowatoa nje ya Dar na hata nje ya Tanganyika.

Tutafurahi sana tukipata historia ya nje ya hapo. Na itakuwa ni rejea safi kabisa.
Mbona mnatutenga jamani sie watu wa bara wenye kswahili chenye kukatakata...btw ukisoma kwa jicho la kujifunza hivi anavyoandika Mohamed Said ni historia tosha kuliko ile tuliosoma shuleni kwa ajili ya kujibu mtihani wa NECTA
 
Kitali,
Tafadhali toa hoja bila kutukana na kejeli.

Hatari ya matusi ni kuwa tutawakaribisha katika mjadala huu mabingwa
wa kutukana na mjadala utavurugika.

Mzee Said Chamwenyewe na mfano kama wake wakivaa kanzu na
kikoi na ndiyo waliojenga TANU na kuingiza wanachama wa mwanzo
kutoka Rufiji 1954 baada ya Msajili wa Vyama kukataa kuisajili kwa
kukosa wanachama.

Hiyo historia ya Uganda si sawa.

Soma kitabu cha Judith Listowel, ''The Making of Tanganyika,'' utajifunza
mengi.

WG4h7tQPP0hM5JvmrwXId3a6nnsr9HUvh0Zyjt6U0a34Le1Yrz2qh7sh_owwg7h5t3o1vKXFU7LJa65Okri7FZZgZxL9Ic2OplHYor5knOS6ZlmRR-l3tmElLiONVBnEOtote0Zidjd_YaOqZSTIaiy75aqmL8u_cLzyKxPek0OIUElK2yBlWVDlsHiCCzLjmLmDwIoibRARplAMUKHGD1bSLaXg4RAuemjXDePsktqezTQp7X7KEbl8NvwQmzzyAx7HfUIqMF-iZ7VCI9VaSlxJ3evjXf7ucUVT7nWcLpQr4hXy4mpZwvXsvOSl5ew_7gLRCA1eF8MkHzbdr4nXdNKzsRXamSH1iIiB3K1VgBv2gPpNRY5VVUx0vxcw_SwDDP7W_8NPEygwQNRHYQts-4BjMGQwLnARRdmwXEer-cL_XBSt-Wh0Seh3nt0xBYIUDQ6Ap20nV8e2Xqi73q1ILUUE2lW_mHHHYuvJkITHWwvoKYygcjZYmWkglEsEE1woXMXu0nJ-H-ZyhDAh4Svo_xf8oz2b6s3dRxt7JZYo4WXhAJMagML3-UznzYnGn_8cwwcmDbRmgJI6SKdiECL-T0roIRGc_jfV4XF5cXbvI74=w423-h629-no


Uongozi wa TAA kuanzia 1950 ulikuwa na vijana hawa wazeee
unaowazungumza wewe walikuwa wawili tu - Mufti Sheikh Hassan
bin Amir
na Sheikh Said Chaurembo.

Waliobakia Abdul Sykes, Dr. Vedasto Kyaruzi, Hamza Mwapachu,
Stephen Mhando, Dossa Aziz,
hawa walikuwa vijana.

Hawa ndiyo walikuwa wajumbe wa TAA Political Subcommittee kamati
iliyokuja kuunda TANU 1954.

Katika hawa hakuna yeyote aliyekuwa na mawasiliano na Nyerere akiwa
Uganda.

LIWALI%2BAHMED%2BSALEH.jpg


Kulia ni Sheikh Said Chaurembo
Huyu kitali anaonesha chuki yake wazi wazi juu ya imani flani ya kidini.ila tumia busara ndugu yangu katika kupinga hoja,fikiria itakuaje kama kila mmoja wetu hum atatumia kejeli na kashfa katika kuwasilisha mawazo yake??

Hulazimishwi pia kuchangia,ukiona yanayoelezewa huyaendani na mawazo yako,waachie wengine wafaidike.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa faida ya JF Nyerere aliunda chama gani kisha akawambia kina nani waje kukiendeleza?...

Mkuu, tangu awamu hii iingie madarakani, naona umeacha kabisa kukipigania chama, badala yake naona umeelekeza nguvu kwenye stori za Wazaramo enzi za kupigania uhuru. Nini kimekusibu? Au hukupendezwa chama kumuweka Mkatoliki ambaye hasomeki katika teuzi za wenzetu?
 
Mzee unakosea Sana kusema Eti ninaa
Ndugu zangu,
Nimesafiri kwingi nikihadhiri na kuandika na kuandikwa katika journals za Marekani na Uingereza. Oxford University Press, Nairobi na New York wote wamenipa kazi na wamechapa kazi zangu mbili 2007 na 2011. Niko katika Dictionary of African Biography mradi wa Harvard uliojumuisha wasomi karibia 500 dunia nzima na limechapwa kamusi la volume 6 na mimi nimo humo. I am not bragging ila nataka ujue kuwa hili somo nalifahamu na si hayo tu niko katika Cambridge Journal of African History.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unakosea Sana kusema kuwa Eti umeandikia vyuo tofauti vingi dunian na umepewa kaz za vyuo vingi unaiandaa. Labda Mimi nikusaidie wazungu hawana tabia ya kupuuza vitu kila kitu wanakichukua hata upuuz na Ndio maana hata mashoga wamewaruhusu kufanya watakavyo ni free states zile so kupewa kaz na haO jamaa Usichukulie kuwa ni jambo kuubwa Sana ni kawaida ya mtu muelewa anajifunza kila kitu. Hiyo haimaanishi unachotaka tukielewe ni sahihi. Kwenda nje Sio big deal labda kwa hao wenye akili Kama hiz zako ndio ataona kitu kikuubwa. Kwanini hujatutajia vyuo vya Japan au China kuhtaji hizo kaz zako. Kwenda nje jaman ni Sawa na kutoka magomen na kwenda hapo masaki tu c zaid Mimi kila miez mawili niko nje cjaona jipya zaid ya kujua dunia Katika fikra mpya so kitu unachotakiwa kufanya muda huu ni kufundisha watoto wenu waondoe mentality hizo kichwan waweze kufanya kaz wapeleke watoto Shule ili wawe washiriki wa uchumi waache kuwa washangaa uchumi ukienda kwa wahangaikji
 
baba wa taifa ilkuwa lazima yeye ndo alete uhuru hata hao wazee wako washinda na misuli kunywa kahawa wasingekuwa naye km mmunavyodai
Hivi wewe kwenu wapi tueleze ili tuone mliacha lini kuvaa vipande vya kaniki.

Ungaliijuwa raha ya kikoi wewe usinge bwabwaja na kuhororoja bila mpango.

Hapo sasa.
 
Kitali,
Nimekuelewa vyema sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nnilitoka Kenya mwaka 1998 na kwa wakat ule nilikuwa nimekaa Kenya kwa miaka 8 so kilichotokea mwaka ule kulitokea vita. Watu wa pwan walitaka Watu wa bara warud bara wanadai Watu wa bara wamekuja pwan wamechukua kaz za Watu wa pwan so vijana wao hawapat kaz wakaunda kikundi chao cha kaya bombo wakaanzisha gasia. Sasa ukienda deep down hawa Watu na Watu wa tanga mjin na waswahili WA Zanzibar acha kidogo wapemba na wale Watu wa ujiji kigoma na Tabora mjin kidogo na Mtwara Lindi kidogo na hawa wenyeji wa pwan ni Aina moja ya watu. Hawapend kaz ngumu na wala hawana malengo makubwa. Na ni Watu ambao wamewekeza Sana midomon Sio kazin nimekaa Nnao nawajua vizur Sio Watu wa kuaminika na ukifanya nao kitu chochote jitahd uwe na mkataba wa sheria kabisa hawaaminiki. Niliishi Mombasa majengo king'oran
 
Kitali,
Nimekuelewa vyema sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nnilitoka Kenya mwaka 1998 na kwa wakat ule nilikuwa nimekaa Kenya kwa miaka 8 so kilichotokea mwaka ule kulitokea vita. Watu wa pwan walitaka Watu wa bara warud bara wanadai Watu wa bara wamekuja pwan wamechukua kaz za Watu wa pwan so vijana wao hawapat kaz wakaunda kikundi chao cha kaya bombo wakaanzisha gasia. Sasa ukienda deep down hawa Watu na Watu wa tanga mjin na waswahili WA Zanzibar acha kidogo wapemba na wale Watu wa ujiji kigoma na Tabora mjin kidogo na Mtwara Lindi kidogo na hawa wenyeji wa pwan ni Aina moja ya watu. Hawapend kaz ngumu na wala hawana malengo makubwa. Na ni Watu ambao wamewekeza Sana midomon Sio kazin nimekaa Nnao nawajua vizur Sio Watu wa kuaminika na ukifanya nao kitu chochote jitahd uwe na mkataba wa sheria kabisa hawaaminiki. Niliishi Mombasa majengo king'oran
 
Mzee unakosea Sana kusema Eti ninaa

Unakosea Sana kusema kuwa Eti umeandikia vyuo tofauti vingi dunian na umepewa kaz za vyuo vingi unaiandaa. Labda Mimi nikusaidie wazungu hawana tabia ya kupuuza vitu kila kitu wanakichukua hata upuuz na Ndio maana hata mashoga wamewaruhusu kufanya watakavyo ni free states zile so kupewa kaz na haO jamaa Usichukulie kuwa ni jambo kuubwa Sana ni kawaida ya mtu muelewa anajifunza kila kitu. Hiyo haimaanishi unachotaka tukielewe ni sahihi. Kwenda nje Sio big deal labda kwa hao wenye akili Kama hiz zako ndio ataona kitu kikuubwa. Kwanini hujatutajia vyuo vya Japan au China kuhtaji hizo kaz zako. Kwenda nje jaman ni Sawa na kutoka magomen na kwenda hapo masaki tu c zaid Mimi kila miez mawili niko nje cjaona jipya zaid ya kujua dunia Katika fikra mpya so kitu unachotakiwa kufanya muda huu ni kufundisha watoto wenu waondoe mentality hizo kichwan waweze kufanya kaz wapeleke watoto Shule ili wawe washiriki wa uchumi waache kuwa washangaa uchumi ukienda kwa wahangaikji
Hivi kikichokuuma haswa nini? Umemtaja Mkwawa ukapewa dozi ndogo, hukurudia tena. Ukamtaja Songea ukijidai ilikuwa vita ya kikabila, ukapewa dozi kidogo kuulizwa unamjuwa Abdurauf Songea? Ukabana kimya hukujibu.

Hapo umeambiwa watu wanaifahamu historia vilivyo na huna cha kuwafundisha wameenda mpaka ma vyuo vikuu ya nje huko, Unakuja na porojo kuwa eti "mimi kila miezi miwili niko nje". Kuwa nje hata kila siku si muhimu, huko nje unaenda kufanya nini, ndiyo muhimu. Unaalikwa vyuo vikuu kuwasilisha mada zako? Kwa namna unavyoandika humu nnamashaka kuwa hata kama "corridor" za chuo kikuu unazifahamu wacha kuwasilisha mada.
Nnilitoka Kenya mwaka 1998 na kwa wakat ule nilikuwa nimekaa Kenya kwa miaka 8 so kilichotokea mwaka ule kulitokea vita. Watu wa pwan walitaka Watu wa bara warud bara wanadai Watu wa bara wamekuja pwan wamechukua kaz za Watu wa pwan so vijana wao hawapat kaz wakaunda kikundi chao cha kaya bombo wakaanzisha gasia. Sasa ukienda deep down hawa Watu na Watu wa tanga mjin na waswahili WA Zanzibar acha kidogo wapemba na wale Watu wa ujiji kigoma na Tabora mjin kidogo na Mtwara Lindi kidogo na hawa wenyeji wa pwan ni Aina moja ya watu. Hawapend kaz ngumu na wala hawana malengo makubwa. Na ni Watu ambao wamewekeza Sana midomon Sio kazin nimekaa Nnao nawajua vizur Sio Watu wa kuaminika na ukifanya nao kitu chochote jitahd uwe na mkataba wa sheria kabisa hawaaminiki. Niliishi Mombasa majengo king'oran
Afrika Kusini walipoua na kuwachoma moto Waafrika wenzao kwa kuwa "wanawachukulia kazi zao" nao walikuwa watu wa Pwani wasiopenda kazi?

Kitu usichokielewa ni usiku wa kiza. Katazame miji uliyoitaja yote ilivyoendelea na hata wewe ukahamia huko kwa kuwa ni wavivu? Au kuna fursa kwa kuwa wameweka mazingira ya uchumi kuwa sahali. Fikiri.
 
Hivi kikichokuuma haswa nini, umemtaja Mkwawa ukapewa dozi mdogo, hukurudia tena. Ukamtaja Songea ukijidai iliiuwa vita ya kikabila, ukapewa dozi kidogo kuulizwa unamjuwa Abdurauf Songea? Ukabana kimya hukujibu.

Hapo umeambiwa watu wanaifahamu historia vilivyo na huna cha kuwafundisha wameenda mpaka ma vyuo vikuu ya nje huko, Unaijua na porojo kuwa eti "mimi kila miezi niko nje". Kuwa nne si tatizo, huko nne unaenda kufanya nini? Unaalikwa vyuo vikuu kuwasilisha mada zako? Kwa namna unavyNnashaka Hata kama corridor za chuo kikuu unazifahamu wacha kuwasilisha mada.

Afrika Kusini walipoua na kuwachoma moto Waafrika wenzao kwa kuwa "wanawachukulia kazi zao" nao walikuwa watu wa Pwani wasiopenda kazi?

Kitu usichokielewa ni usiku wa kiza. Katazame miji uliyoitaja yote ilivyoendelea na hata wewe ukahamia huko kwa kuwa ni wavivu? Au kuna fursa kwa kuwa wameweka mazingira ya uchumi kuwa sahali. Fikiri.
Cjakuelewa unalenga nini lakin nilichomkumbusha Huyu Mzee hiz ngano zake za wavivu waliopitwa na nyakati wanaojaribu kuwapa watoto wao ili kujibu kiu zao za nini kilitokea mpaka wao wako nje ya mfumo. Huyu Mzee anajua historia za kiislam tu na Sio za nchi ndio maana anakazana kutuaminisha waislam ndio walioleta uhuru. Na Mimi nimejibu kwa namna Ile Ile kuwa huyu ameathiriwa na ule ugonjwa ya jamii flan badala kupeleka watoto Shule Wamebaki kuwaadithia story walizofeli.
 
Kwan wewe hujui wazulu ni Kama hawa waswahili tu wanachojua ni kuoga na kuwaachia wake zao kutafuta pesa
 
Nnilitoka Kenya mwaka 1998 na kwa wakat ule nilikuwa nimekaa Kenya kwa miaka 8 so kilichotokea mwaka ule kulitokea vita. Watu wa pwan walitaka Watu wa bara warud bara wanadai Watu wa bara wamekuja pwan wamechukua kaz za Watu wa pwan so vijana wao hawapat kaz wakaunda kikundi chao cha kaya bombo wakaanzisha gasia. Sasa ukienda deep down hawa Watu na Watu wa tanga mjin na waswahili WA Zanzibar acha kidogo wapemba na wale Watu wa ujiji kigoma na Tabora mjin kidogo na Mtwara Lindi kidogo na hawa wenyeji wa pwan ni Aina moja ya watu. Hawapend kaz ngumu na wala hawana malengo makubwa. Na ni Watu ambao wamewekeza Sana midomon Sio kazin nimekaa Nnao nawajua vizur Sio Watu wa kuaminika na ukifanya nao kitu chochote jitahd uwe na mkataba wa sheria kabisa hawaaminiki. Niliishi Mombasa majengo king'oran
Kitali,
Nakushauri tumia muda wako kujifunza.
Kwanza anza na kujifunza kuandika vizuri.

Wewe bado hujafika katika makamo ya kujadiliana na Maalim Faiza
kitu chochote.

Elimu nzuri itakuondolea ujinga, kibri na ufedhuli.
Turejee Mombasa.

Mimi Mombasa ni kwetu na nina ndugu Chuda, Mtondia, Takaungu,
Vipingu, Tononoka, Stone Town, Kisauni na kwingi tu hadi Malindi na Lamu.

Hii pwani yote ni yetu wazee wetu wameoleana sana na sisi sote ni ndugu
na jamaa.

Ikiwa wewe kweli uliishi Mombasa bila shaka utaujua ukoo wa Khitami na
wa Bamumin na Matano kukutajia koo chache maarufu za hapo mjini.

Hizo kashfa unazoleta za ndugu zangu wala sijui unataka useme nini.

Huyo hapo chini ni Prof. Mohamed Bakari ni mtu wa Mombasa niko ofisini
kwake Fatih University, Istanbul:

uuBkc5TFrC2-x8aNgecYW3dE3x4600hcVeZ8P_SR0NXA-KivFQhUTpzgYpBOcB7ryzgit14iFBKpOWBNFVaOOntQsN4jmm-J2Vk0lpZcOkZnuykqkwSYng5P0Wwo7XIy0IBLldl3DD44o8BEsLITGlf4m_5J6_xTemQ3LXkGNZXy38pReguo25ZVIynD8QoPqIG1JOKQU4pNTVB2rZAcxYjg4_KBs9U1OQTcOLz8zxPC4DC9LfF6XjRFyjZqvfYFUF27lhZpJc72oHTEgQwySDmtg7ZWVZ91JvyxxcRunKpv-HBcgLGFw23DV400RyjcpcPEG7jRZlJWQrmOadrbeAgOcKCJNYjdfZVS58jEcSpDt3L-UczWyWeqN-GqYTq14XsSOWeGcQ6-3Tkriq5NV8cGmP5UDFVyoT-llId_n7RGgqFyjIt9BeLT1oBDHbOAONzwPxISwi9_Ke-Z5mb2IupWPGfEqfmPcTTcEKtyqAlGOh2RoPQzFRbwLU9o2z3tlmy1iqha6ZiQKGzDX-sfIYTuR75Km9g49xXyUGhAsZbJvGqtPCXJZEwjtotlYIjzOzAO8LeELbo-TYUM3pMOLrMVAnB-QAjO_rt4ZQy23i0=w293-h220-no


Huyo hapo chini Sharif Salim Abdallah aka Sal Davis, mwanamuziki nguli
na mfanyabiashara kutoka Makadara, Mombasa:

MGxTvohZsRwTgLUWb7BWp74BoSBvDqtndmdw3JSdWei4YuDfS0Zhy-fOqFKVHDGjrTSEe4ud1SE4llOb8DLqLWFOjTHz9O8cyp0QSC9zcBUZi1zz_r6yuMsE1aqK-M7O6move3rMe9j5HeqGUmTmoW2FwXbbqswEAOUtaGlZg1tMF9-hMBPa9xfQXUmkfD-8Nlhj7NAuxtVfK824ws975qolFoaW-EukOTaEbnAvSEvH3wRBjyLjP-WsSpoksFhG7y6EmtGMqyuMw32z2zmhtVU7_3XtSRUGR3NjAV58gMb6qGmTJqLYY2NlJR72crC03Qdu5C7shAhp8bie-mORbAwE7UokqjRQGxryq-s-yObVgGX1GpY_XrrPM1Li_vx72orwIBremLhmcA1B-XYVlXoMAKtNpRAhwPE918boRHR0tLJXlXi8aJYs4WZuOuvVsSlVfMqVueEWbHCGibmvsZl_1baHCMi-wGKxfZ721DGHYlVgjDvQOIol1N0Ooog6XY01jycMPyLBC1eNgz-h9ilXigDZLkeaJK6ZgJefJQMp5JapIkMS4_pRI1MGSls32kXG09UDQk0-NWjns4ac5eUOf6mEKm4fkuKfoKtY6_5uCGzjL9jezZ4Ty83kklmaAHw=w263-h279-no


Huyo hapo chini ni Dr. Ahmed bin Sumeit yeye ni Microbiologist kwao ni Mombasa:

CIMG0644-1.JPG
 
Back
Top Bottom