Mishahara imechelewa kutoka June 2024, watumishi wa Umma wana maisha magumu sana

Mishahara imechelewa kutoka June 2024, watumishi wa Umma wana maisha magumu sana

Status
Not open for further replies.
Mbona sisi huku privatw hatuulizani?
Kila mmoja anajipatia msg zake kwenye simu yake.
 
Watu wanakopa Hadi ATM card zinawekwa rehani hivyo huduma za mobile bank zinakuwa blocked Hela ikiingia lazima ujipeleke mwenyew machinjioni baada ya kupewa taarifa na watu ndio upewe chako. Tembea uyaone so sad poor civil severnts
Kumbe naafuu kwa sisi wa binafsi🤗.Basi hamieni huku.
 
Hakuna watu wa hovyo kama watumishi wa UUMA. lakini kwa upande mwingine ukilianzisha wanakupoteza..... mpaka ukombozi utoke kuleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hii Dunia inashangaza sana. Kwa mfano mshahara ukitoka tu utasikia Mwashambwa anamsifia mama Samia, utamsikia MAMA SAMIA ANAWAJALI SANA WATUMISHI AMEWAPA MISHAHARA YAO. TUNAMPONGEZA MAMA SAMIA AMETOA PESA
 
Wivu unakusumbua,
Warumishi wa, umma,nchi nzima, kuanzia, Rais mpaka mwenyekiti wa kijiji, VEO,hawafiki milioni 7! Nchi, inawatu milioni 65!
Their problem is minor issue,
Kuna watu maisha magumu tangu wanazaliwa, hao watumishi wa umma, ni kwa muda tu,
Ila wengine ni mazwazwa! Mnakopesheka kwa, asilimia ndogo, 8%, kwanini hamkopi mkawekeza? Mnakopa mnanunua, vitz, ist!
 
Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma
Hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.

Hili ni tatizo ,na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.
Wakanunue nini wakati wafanyabishara wamegoma wacha serikali ikae na hela zake huko uliko. Mgome na nanyi wa mabasi pia si mmegeuza nchi hii yenu pekee yenu na ninyi ndio muhimu. Tulidishe maduka ya mitaa, vijiji na kitongoji
 
Warumishi wa, umma,nchi nzima, kuanzia, Rais mpaka mwenyekiti wa kijiji, VEO,hawafiki milioni 7! Nchi, inawatu milioni 65!
Their problem is minor issue,
Kuna watu maisha magumu tangu wanazaliwa, hao watumishi wa umma, ni kwa muda tu,
Ila wengine ni mazwazwa! Mnakopesheka kwa, asilimia ndogo, 8%, kwanini hamkopi mkawekeza? Mnakopa mnanunua, vitz, ist!
Kuwekeza sio kupata
 
Hiv.mnashindwaje kufunga karanga za mayai,kwenda na dumu la mtindi unawauzia staff wenzako,jufuga kuku je? Unashindwaje kufunga ice cream za ubuyu unapiga sh 100 za watoto,hivo vi ist mnavyokopa.unapakia ma hotpot ya chakula mchana unawauzia wenzio wizara nzima
Sasa kila mtu akifanya hivyo, nani atakua mnunuzi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Taarifa kutoka TUCTA

Ndugu wafanyakazi napenda kuwataarifu kwamba kuanzia mwezi huu mishahara itakua ikitoka tarehe za mwisho wa mwezi yaani tarehe 28-30. Lengo la kufanya hivyo ni kuondoa gap lililopo kati ya tarehe za mishahara wa sektabinafsi na sekta za Umma. Mwenyekiti wa TUCTA kasema hayo leo wakati akipongeza kuongezeka kwa asilimia ya Kikokotoo kutoka asilimia 33 mpaka 40.
Kumekuchaaaaa!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom