mashuka collection
JF-Expert Member
- Apr 10, 2023
- 608
- 1,409
Kha! kwani walimu ndo wafanyakazi peke yao nchi hii mpunguze kujidekeza na nyieMwalimu Kalokola, huku akishushia kangala la mkopo akiwa na kishikwambi kapwani .Mwalimu huyu anasema walimu wana maisha magumu sana.
Mshahara ukichelewa kidogo tu na mikopo inaongezeka.
Walimu wengi walitarajia mishahara kutoka jumosi tar 21 lakini haijatoka.
Huenda ikatoka kesho tar 23. Lakini walimu wengi hawana kitu. Hivyo kesho watarundikana kwanza benki za NMB kuhakikisha wanatoa pesa kwanza ili walipe madeni na kuacha nyumba zao ziko salama. Hii itasababisha wasiende kufundisha kwanza .
Acha roho mbaya. Mara nyingi tu unatoka tar 21.Aiseee
Hivi siku ikitokea mkalipwa tarehe 30 si mtakufa? Mnaishi maisha ya shida sana, mnashindwa kubajeti mishahara yenu
Toka lini mshahara ukatoka tarehe 21? Halafu jumamosi.
Ilitegemewa 23.
Unatia aibu sana wewee mtu.
Ach uongo na wewe umeshafatilia tgts zao au unaongea tu kufurahisha jukwaa!Laki saba ni mwaliku aliyefundisha miaka zaidi ya kumi na ana Diploma
Tupe ufafajuziAch uongo na wewe umeshafatilia tgts zao au unaongea tu kufurahisha jukwaa!
HAhaha wanaume wote ni walimuHivi hizi tuhuma za walimu kila siku ni kweli au mnatania..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Maana ilikua ndoto yangu hii
Bilashaka atakua alishapigwa ban.Alikua anawakera sana walimu.Huu uzi Mpwayungu Village hajauona aje kuwapopoa maticha
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umeonaaa eehHAhaha wanaume wote ni walimu
Yaly' embuzi yamela amaembe.Chonka iwe msigazi notabanguka muno[emoji16]
😁Akasigazi katamile nkanywa amalwaYaly' embuzi yamela amaembe.
Unaliwa back.Marinda huna hela huna.
Serious bastard
Ikiwa hata 150k itakua poaTeaching allowance inakuja, walimu wata enjoy
Kaba nka Byabato ayalizile omubantu.[emoji16]Akasigazi katamile nkanywa amalwa
Njooni Halmashauri za pembezoni huku mjionee....daktari gani huyo analia njaa?
Byabato natina abajumbe mwa aliyo umuisiki wa Ccm nagombea mbwenu nagaba egesi ombajumbe na omkaikulu wange bamuaile omtungi so natina muno mwa chonka byabato Aina rugezi rugezi mushuma😁Kaba nka Byabato ayalizile omubantu.
We Lofa tuMbwa weweee....unatuoanje walimu Kwa Nini mnatudhalilisha kiasi hikiii
Ushawahi ishi na watumishi wengine wewe...?!!
Manesi,watendaji n.k
Hebu mtukome kwanza tumewachoka Kila Siku walimu walimu walimu,maisha yetu magumu tunakula makwenu?!!!
Si useme wewe ndo una maisha magumu Sasa hiviii...ulaaniwe na dhihaka zako...!!
Wangapi humu wanaoulizia mishahara na sio walimu?!!!
Mbwa weweeeeeee..umenikera sanaaa
Mwalimu Kalokola, huku akishushia kangala la mkopo akiwa na kishikwambi kapwani .Mwalimu huyu anasema walimu wana maisha magumu sana.
Mshahara ukichelewa kidogo tu na mikopo inaongezeka.
Walimu wengi walitarajia mishahara kutoka jumosi tar 21 lakini haijatoka.
Huenda ikatoka kesho tar 23. Lakini walimu wengi hawana kitu. Hivyo kesho watarundikana kwanza benki za NMB kuhakikisha wanatoa pesa kwanza ili walipe madeni na kuacha nyumba zao ziko salama. Hii itasababisha wasiende kufundisha kwanza .
Nkashobelwa ,omushaija kulila omubantu mara mushana.Byabato yaba muto kazilo.Byabato natina abajumbe mwa aliyo umuisiki wa Ccm nagombea mbwenu nagaba egesi ombajumbe na omkaikulu wange bamuaile omtungi so natina muno mwa chonka byabato Aina rugezi rugezi mushuma[emoji16]
Byabato is Afraid about his position
😁Natina abajumbeNkashobelwa ,omushaija kulila omubantu mara mushana.Byabato yaba muto kazilo.