ILLUMINATI RUMI
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 323
- 327
Imeniuma sana nimeenda benki nimekuta hola,nampigia jamaa huko wizarani anasema yupo kwenye kikao natamani kuhamia tamisemi,hii sio mara ya kwanza kutokea wenzetu wanatangulia kupata.Nimesikia kwa watumishi wa serikali kuu bado.