Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Mwisho wa mwezi ni tarehe 30, leo ni tarehe 24, unawezaje kulalamika?
Pili, ukiona mwajiri anakulipa mshahara mapema sio kwamba anakupenda sana, anacheza na akili zako, kama huamini jaribu kuhesabu ni siku ngapi zitapita kabla ya kukulipa mshahara utakaofuata.
Pili, ukiona mwajiri anakulipa mshahara mapema sio kwamba anakupenda sana, anacheza na akili zako, kama huamini jaribu kuhesabu ni siku ngapi zitapita kabla ya kukulipa mshahara utakaofuata.